Rais Mstaafu Kikwete ashangaa kuibuka kwa Machifu Tanzania "Uchifu ulishakufa"

Rais Mstaafu Kikwete ashangaa kuibuka kwa Machifu Tanzania "Uchifu ulishakufa"

Wao ndio wametufikisha hapa. Waliaminiwa na wananchi wenzao wakapewa kazi ya nchi wakashindwa kuweka sheria mama/Katiba ambayo isingeruhusu huu upuuzi kuongelewa.

Lakini kuna tofauti gani ya kurudi kuongelewa uchifu na mtu anaye ongoza nchi kwa kuangalia kigezo cha kubalansisha udini kwenye teuzi zake? Naibu IGP hatuja sahau vyeo vya aina hiyo na asijisahaulishe kwamba sasa ni malaika kashushwa tokea akhera.
 
Siku hizi tunaishi kama tuko kwenye tamthilia vile. .
Walomwelekeza njia ya upotevuni, Leo hao hao wanarudi kumuuliza na kumshangaa alipitaje njia Ile🤭🤭🤭

Tulionya mapema WAHUNI wasipewe nafasi mkapuuza.

Hivi sasa wanasukuma kete zao polepole.

All in all njia lazima ipatikane, ajaye apite katikati Yao AKABIDHIWE. Amen
 
Ila kama kuna kitu tunajivunia kama Watanzania ni kutokuwa wakabila na wadini.

CHADEMA wanajitahidi sana kuturudisha huko, kamwe tusiwaruhusu aisee.

Tusione dini na kabila kwenye kila kitu.
Usisahau JPM; na genge lake la Sukumagang!
 
Wewe mpuuzi kubwa umekula kwanza kazi kubwabwaja tu,Chadema wanahusikaje Kwenye huu uchifu Mh.Kikwete kataja chadema hapo?
Wanatuaminisha sana kwenye Ukabila na Udini.

Awamu ya Nne walituhubiria udini just because Kikwete alikuwa Rais.

Awamu ya Tano wakatuhubiria Ukanda ya Ziwa na Ukabila just because Magufuli alikuwa Rais.

Awamu ya sita wanatuhubiria Uzanzibari, Utanzania Bara na udini just because Samia ni Rais.

Tuwapuuze.
 
SAMIA anam dissapoint mpaka Kikwete !!!

She is such a lightweight. No brains.

Unarudisha kitu ambacho hata mashuleni kilifundishwa kilifutwa kwa tangazo rasmi la kisheria na sababu zake zikaelezwa ??
Chawa lazima mjue hii ni JF wekeni akiba ya maneno
images (90).jpeg
 
Hawa wataleta ukabila balaa
Uchifu Wa Sasa umeasisiwa na Chiftress Hangaya kwa hisani ya CCM Tanzania. Mh.Kikwete hastahili kushangaa Bali kukemea Uchifu unaomea kila kukicha.

Hali hii ikiachwa iendelee hadi ifikapo 2025 nchi hii itakuwa vipande vipande.Tukifikia hatua hiyo, sisi Watanganyika tunaomba kushuka kwenye tuta ili turudi tulikokuwa kabla ya 1964.
 
JK naye aache usanii wake,yeye ndiye chanzo cha matatizo yote hapa nchini,alikosea sana kutumia mamia ya mabilioni ya kodi zetu kuanzisha mchakato wa kuandika Katiba Mpya halafu katika hatua za mwisho akaenda kuuharibu yeye mwenyewe. Tena akae kimya tuna hasira naye sana
 
SAMIA anam dissapoint mpaka Kikwete !!!

She is such a lightweight. No brains.

Unarudisha kitu ambacho hata mashuleni kilifundishwa kilifutwa kwa tangazo rasmi la kisheria na sababu zake zikaelezwa ??
Marais wote waliosimikwa uchifu, wameutumia uchifu kisiasa.

Hili jambo halijaanza na Samia.

Even as Samia is an airhead.
 
CC Chief Hangaya
Siasa za Tanzania haziendelei kwa sababu ya wanasiasa uchwara kujaza chawa mitandaoni wa kuwasaidia kuficha aibu zao
Ila kama kuna kitu tunajivunia kama Watanzania ni kutokuwa wakabila na wadini.

CHADEMA wanajitahidi sana kuturudisha huko, kamwe tusiwaruhusu aisee.

Tusione dini na kabila kwenye kila kitu.
Chifu wa Chadema juu na chawa wake chifu mdogo chini.
images (90).jpeg
images (91).jpeg
 
JK naye aache usanii wake,yeye ndiye chanzo cha matatizo yote hapa nchini,alikosea sana kutumia mamia ya mabilioni ya kodi zetu kuanzisha mchakato wa kuandika Katiba Mpya halafu katika hatua za mwisho akaenda kuuharibu yeye mwenyewe. Tena akae kimya tuna hasira naye sana
Kwahiyo kama alikosea ndio awaache mkosee mwezavyo! Akili ya wapi hii?
 
mkuu
SAMIA anam dissapoint mpaka Kikwete !!!

She is such a lightweight. No brains.

Unarudisha kitu ambacho hata mashuleni kilifundishwa kilifutwa kwa tangazo rasmi la kisheria na sababu zake zikaelezwa ??
usiwaamini sana hawa huwenda kabla ya kuongea walishapigiana cm kuwa naenda kukupinga kuhusu hili tulia ili tuonekane tuko tofauti katika kuendesha nchi na sisi wadanganyika tukaingia kingi. mtu mmoja alishasema mwansiasa akikwambia kuna mwanga toka na tochi.
 
Marais wote waliosimikwa uchifu, wameutumia uchifu kisiasa.

Hili jambo halijaanza na Samia.

Even as Samia is an airhead.
Ya kweli halijaanza na Samia.. si unaona hata hawa walitangulia kusimikwa uchifu kabla ya Samia? Ila chawa hawakupiga kelele kuwalaumu! Yani Tanzania hii kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
 

Attachments

  • images (90).jpeg
    images (90).jpeg
    30.5 KB · Views: 17
  • images (91).jpeg
    images (91).jpeg
    40.6 KB · Views: 21
Kelele hizo ni taarifa kuwa mstaafu amestaafishwa, amenyang'anywa remote. Nchi ngumu sana hii.

Usiniambie ni historia imejirudia ya ile kauli hatujui kesho atashauriwa nini na mkewe. Khaas!

Amesaidia lakini kuuamsha umma maana Watanganyika wasipojiongeza watajikuta na wao kwenye yule Muunguja mimi Mpemba.
 
Mtu ambaye aliliharibu Taifa letu Kwa ukabila na ukanda ni Magufuli na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alipoiona hatari hii akamfyekelea mbali na kumtupa kuzimu
CHADEMA wanaona kabila na dini kwenye kila kitu. Ni wakabila sana. It's time we should rebuke them for this.
 
Back
Top Bottom