Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]CC Chief Hangaya
Mungu ibariki JF
Timu ya WAHUNI imeshatimia, utawasikia sana wakipush agenda zao time hizi. Bt ENGINE yetu kama Nchi Iko vzr sana. AmenUsiniambie ni historia imejirudia ya ile kauli hatujui kesho atashauriwa nini na mkewe. Khaas!
Amesaidia lakini kuuamsha umna maana Watanganyika wasipojiongeza watajikuta na wao kwenye yule Muunguja mimi Mpemba.
SAMIA anam dissapoint mpaka Kikwete !!!
She is such a lightweight. No brains.
Unarudisha kitu ambacho hata mashuleni kilifundishwa kilifutwa kwa tangazo rasmi la kisheria na sababu zake zikaelezwa ??
Umemaliza babu! Kweli uzee umeshamuingia mstaafu, dereva wa pili, mzee apendaye utawala…
SAMIA anam dissapoint mpaka Kikwete !!!
She is such a lightweight. No brains.
Unarudisha kitu ambacho hata mashuleni kilifundishwa kilifutwa kwa tangazo rasmi la kisheria na sababu zake zikaelezwa
Hakuna machifu, uchifu ilishafutwa. Mama mnataka uendelee badilisheni hizo Sheria zilizofuta uchifuKama Rais wa nchi lazima awe mkatoliki wakati tuna madhebu mengi,Kuna shida gani Rais kukutana na Machifu?
Duh! Hahahaha, na bado, safu ya mstaafu itaanza kuondelewa kidogo kidogo. Subirini…😅😂🤣Kelele hizo ni taarifa kuwa mstaafu amestaafishwa, amenyang'anywa remote. Nchi ngumu sana hii.
Mwandishi yule aliamua Kuongeza kurasa Ili kufuta hatua zake na kubalance story maana tension ilikuwa kubwa sana pande zote.Hii inaangukia ukurasa gani pale yoga-fans?
Teknolojia ni silaha hatari sana.
Jk naye ni s.gang?Jk atulie alee wajukuu, awamu yake hakuna raisi alikua akimpangia cha kufanya. Kama hataki uchifu ni yeye, sisi wengine tunataka.
Sioni kosa hapo. Chifu hangaya hana noma
Kazi inaendelea
Anamshangaa hata Chifu Hangaya? Au yeye hayumo kwenye mshangao wake?
Mamlaka ya kisheria ya machifu ndio yamekufa, hawatendi kazi kama maafisa wa serikali, ila uchifu wao kitamaduni upo katika jamii, hata chief wanzangi alibaki kuitwa chief, tena na Mzee Nyerere ... chief ni kiongozi wa kimila, sio wa kiserikali.
Umesahau mkabila number moja rais marehemu. Aliendesha nchi kibaguzi sana mpaka wasukuma wote wakajiona the first class ndani nchi.Ila kama kuna kitu tunajivunia kama Watanzania ni kutokuwa wakabila na wadini.
CHADEMA wanajitahidi sana kuturudisha huko, kamwe tusiwaruhusu aisee.
Tusione dini na kabila kwenye kila kitu.