Rais Mstaafu Kikwete ashangaa kuibuka kwa Machifu Tanzania "Uchifu ulishakufa"

Rais Mstaafu Kikwete ashangaa kuibuka kwa Machifu Tanzania "Uchifu ulishakufa"

Lipumba ndo alibutua kombolela

mbowe akadakia

Jakaya akamalizia
Mchakato aliuhatibu yeye na Mbowe,walifanya miujizayao mbowe akamaliza mchezo kwa kususia kikao nakutoka nje, alafu dili likawa done.

Kama hujui utajua badaesana tupo hapa!.
 
Umesahau mkabila number moja rais marehemu. Aliendesha nchi kibaguzi sana mpaka wasukuma wote wakajiona the first class ndani nchi.

Na akataka kuifanya chatle iwe gbdolite ya Tanzania.
Umeandika upumbavu
 
Nd
Nusu hii ya pili ya mwaka Tutaona mengi.

Kuna wanyama pia walokatwa mikia ambayo imeanza kuota wamerudi kundini Kwa KAZI màalum, wenye akili tu wataweza ng'amua wanamtumikia nani.

Baada ya DHORUBA Kali na upepo usiku kucha, hatimaye KUTAPAMBAZUKA. Amen.
Ndipo
FDR
Atavikwa taji
 
Ila kama kuna kitu tunajivunia kama Watanzania ni kutokuwa wakabila na wadini.

CHADEMA wanajitahidi sana kuturudisha huko, kamwe tusiwaruhusu aisee.

Tusione dini na kabila kwenye kila kitu.
Na wasukuma aisee ukabila mbele. Chadema una waonea tu
 
JK naye ni sukuma gang? Maana Kila alopinga aliitwa Jina Hilo.

Jifunze criticism ni nzuri kuleta ufanisi kama utachukuliwa in a positive way.
Amewekwa pembeni kwa hiyo kaanza kuwashwa washwa..

Machifu Wana shida gani? Wanawakilisha historia na utamaduni.
 
Amewekwa pembeni kwa hiyo kaanza kuwashwa washwa..

Machifu Wana shida gani? Wanawakilisha historia na utamaduni.
Alikuwa anaelekea kubaya, walianza Hadi kuwalipa machief wawe na ofisi zao wakaanza hd kudai utambulisho.

Jambo hili lilileta mizozo Kwa MAKABILA madogo maana walihsi wanatengwa, tungerudi nyuma sn, yule kiroboto alisaidia sana wakamzima.
 
Uchifu Wa Sasa umeasisiwa na Chiftress Hangaya kwa hisani ya CCM Tanzania. Mh.Kikwete hastahili kushangaa Bali kukemea Uchifu unaomea kila kukicha.
Hali hii ikiachwa iendelee hadi ifikapo 2025 nchi hii itakuwa vipande vipande.Tukifikia hatua hiyo,sisi Watanganyika tunaomba kushuka kwenye tuta ili turudi tulikokuwa kabla ya 1964.
Niliwaambia sa100 ni mpumbavu kamili watu wapuuzi wasio tumia akili zao wakasema natukana ....hiki kitendo cha yeye kushupaza shingo kwenye mambo ya uchifu yasiyo na tija yoyote kwa taifa letu kwa sasa hata kwa baadae na kuacha kupigania mambo ya msingi ni kigezo kamili cha upumbavu
 
Mtu ambaye aliliharibu Taifa letu Kwa ukabila na ukanda ni Magufuli na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alipoiona hatari hii akamfyekelea mbali na kumtupa kuzimu
Wewe unaongelea mambo ya past ..sisi tunataka kujua mambo ya present na future ....huyo unataka kualalisha upumbavu wa sa100 kwa sababu ya upumbavu wa rais yoyote aliye kwisha kupita ?[emoji849][emoji849][emoji849]tumia akili acha kutumia makalio
 
Lissu aliwahi kumkosoa wazi wazi suala la kuleta uchifu upya kwa kurejea katiba kua Chief Hangaya anavunja katiba,chawa na wapiga zumari wa watawala wakasema Lissu anaona wivu!!

Role model Jakaya Kikwete nae katoa yake ya moyoni!!
 
Umesahau mkabila number moja rais marehemu. Aliendesha nchi kibaguzi sana mpaka wasukuma wote wakajiona the first class ndani nchi.

Na akataka kuifanya chatle iwe gbdolite ya Tanzania.
Kwanini unatusemea wasukuma,Mimi ni Msukuma lakini sikujiona first class,Sasa mlitaka chato isiendelee kwani sio sehemu ya Tanzania ?
Magufuli kajenga uwanja wa Kigoma, Mbeya, Dodoma , Mwanza nk hayo hamkuyaona ?
 
Lissu aliwahi kumkosoa wazi wazi suala la kuleta uchifu upya kwa kurejea katiba kua Chief Hangaya anavunja katiba,chawa na wapiga zumari wa watawala wakasema Lissu anaona wivu!!

Role model Jakaya Kikwete nae katoa yake ya moyoni!!
View attachment 2254743

Hivi threat level kwa mstaafu ni kubwa kiasi chakuvaa nguo kujikinga?!
 
Hata ndani wazazi wako unaweza watukana hivi? Kama huwezi basi na hiki ulichokiandika hukupaswa kukiandika.🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom