bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
'anaupiga mwingi' maana yake nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yako hatufaiSiro anamkwamisha mama Yetu
Sisi tuna wazoom tu,kutoka huku mashambani .Kweli tunaambiwa ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Hivi si ndio mwaka huu Mhe Rais alisema kua kesi nyingi zilizoko mahakamani ni za kubambikiza? Sasa hao wanaobambikiza watu kesi ni kina nani kama siyo jeshi la polisi chini ya IGP SIRO? Kwanini anadanganya umma na kujispiza mchana kweupe?
Hizo kesi alizosema Mhe Rais za kubambikiza si ndio yeye alikua IGP? Huyu staafu tu kwa hiyari aache kuendelea kuharibu CV yake wazi wazi.
Apewe ubalozi? Hapana arudi kwao.IGP Sirro ni ukweli Watanzania wengi hawamuamini kuanzia kwa kutekwa kwa Mo, kupigwa risasi kwa Lissu na matukio mengine ambayo Polisi mpaka leo hawana jibu!
kuongeza imani kwa Watanzania ni wakati muafaka wa kumpumzisha IGP Sirro au umpe ubalozi. Kwa sasa Sirro anacheza kwenye rope na si punde atakuchafua bure
Akachunge zagambaApewe ubalozi? Hapana arudi kwao.
Mimi na majirani tunamuaminiIGP Sirro ni ukweli Watanzania wengi hawamuamini kuanzia kwa kutekwa kwa Mo, kupigwa risasi kwa Lissu na matukio mengine ambayo Polisi mpaka leo hawana jibu!
kuongeza imani kwa Watanzania ni wakati muafaka wa kumpumzisha IGP Sirro au umpe ubalozi. Kwa sasa Sirro anacheza kwenye rope na si punde atakuchafua bure
Basi nyie ni sehemu ya team mbambikizi.Mimi na majirani tunamuamini
Yakishampata ndugu wa karibu yako, tutaelewana tu.Mimi mtanzania namuamini IGP Siro.
Kwani nawe mmoja ya wabambikaji?Mimi mtanzania namuamini IGP Siro.
unajuaje kama hajatumwa na huyo bos unaempiia kelele.?IGP Sirro ni ukweli Watanzania wengi hawamuamini kuanzia kwa kutekwa kwa Mo, kupigwa risasi kwa Lissu na matukio mengine ambayo Polisi mpaka leo hawana jibu!
kuongeza imani kwa Watanzania ni wakati muafaka wa kumpumzisha IGP Sirro au umpe ubalozi. Kwa sasa Sirro anacheza kwenye rope na si punde atakuchafua bure
unajuaje kama hajatumwa na huyo bos unaempiia kelele.?
Wangapi wanaapa na wanatenda kinyume na kiapo walicho apa,wapo wengi.Aliapa kwa katiba ya nchi kufuata sheria.
Ni wewe tu. Wantanzania wote tuliobaki tunamwamini sana. Ni kiboko wa mgaidi. Alipambana na magaidi wa Kibiti na sasa anapambana na gaidi MboweIGP Sirro ni ukweli Watanzania wengi hawamuamini kuanzia kwa kutekwa kwa Mo, kupigwa risasi kwa Lissu na matukio mengine ambayo Polisi mpaka leo hawana jibu!
kuongeza imani kwa Watanzania ni wakati muafaka wa kumpumzisha IGP Sirro au umpe ubalozi. Kwa sasa Sirro anacheza kwenye rope na si punde atakuchafua bure
Ni wewe tu. Wantanzania wote tuliobaki tunamwamini sana. Ni kiboko wa mgaidi. Alipambana na magaidi wa Kibiti na sasa anapambana na gaidi Mbowe