Sasa hivi habebi. Hata kama anabeba huko kwao. Hata wamasai wakebebe silaha misituniKwahiyo Muisilamu ndie anahaki ya kubeba Silaha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi habebi. Hata kama anabeba huko kwao. Hata wamasai wakebebe silaha misituniKwahiyo Muisilamu ndie anahaki ya kubeba Silaha?
Acha dharau, ninyi mumeletwa na TIPPU TIP mkiwa kwenye Minyororo kutoka Misitu ya Kongo Uisilamu muliingizwa kwa nguvu acheni kuwaonea Wamasai wakazi halisi wa EAST AFRICA.Sasa hivi habebi. Hata kama anabeba huko kwao. Hata wamasai wakebebe silaha misituni
Sishangai. Sumu uliopewa kanisani kuhusu biashara ya utumwa .Acha dharau, ninyi mumeletwa na TIPPU TIP mkiwa kwenye Minyororo kutoka Misitu ya Kongo Uisilamu muliingizwa kwa nguvu acheni kuwaonea Wamasai wakazi halisi wa EAST AFRICA.
Huyo huyo TIPPU TIP aliogopa kwenda kuwachukua Wamasai Utumwa kwa sababu ya Sime Rungu na Mkuki na roho ya Kijasiri.
Sio Kanisani hiyo ni Historia inafundishwa hata huko Uarabuni.Sishangai. Sumu uliopewa kanisani kuhusu biashara ya utumwa .
Hawa ndiyo wasomi wetu na viongozi wetu wamesoma lakini hawazijui jamii zinazo.wazunguka
Niviongozi lakini hawatambui Mira na desturi za watu wao wakati kutunza na kurinda Mira na desturi zao no jukumu lao
Usishangae kesho wakisema marufuku ngoma za asiri kupigwa mjini
Af utaskia wanajiita wasomi😂😂😂
Historia ya kanisani hioSio Kanisani hiyo ni Historia inafundishwa hata huko Uarabuni.
Al Abidi Al Afrqiya au unakataa?
Masikini wa Kipemba ni mpumbavu nyakati zote!! Wewe ndege ndo umeiona Mungu wako? Jinga kabisa usiye na hojaVipi akienda airport anaweza kuruhusiwa kupanda ndege akiwa na sime??
Tusiwaendekeze sana, ndo yaleyale ya magu na wamachinga.
Sayidna Bilal Mtumwa kutoka Afrika ya Mashariki ametajwa na Hostoria ya Kanisa?Historia ya kanisani hio
DC wa Wilaya ya Mjini Unguja amepiga marufuku kwa watu wa jamii ya kimasai kutembea na rungu na sime akiviita kama silaha.
View: https://youtu.be/W-xkQJRDO0c?si=AFIG5omTxVoCeNyZ
Kauli yake si tu inavunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali inakiuka mikataba mbali mbali ya kimataifa ambayo Tanzania imeiidhinisha inayolinda haki ya raia kushiriki katika mambo ya kitamaduni.
Rejea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13.
Rejea, Universal declaration of Human Rights, 1948.
Rejea, International Covenant on Economic, Social and Cultural rights.
Sheria zote hizo zinaipa serikali wajibu wa kulinda na kutengeneza mazingira kwa raia wake kuishi wakiwa na uhuru wa kufuata tamaduni zao.
Rungu na sime ni moja wapo ya utambulisho wa tamaduni ya wamasai inayokwenda pamoja na vazi la Rubega.
Kuwapiga marufuku wamasai kufuata tamaduni zao si tu kwenda kinyume na haki za binadamu bali ni kukiuka misingi yote iliyowekwa na jamii za kistaarabu katika kuhakikisha kuwa binadamu anafurahia uwepo wake duniani bila kunyanyapaliwa na mwenzake.
Kauli hii ya DC si tu ya kibaguzi bali inahatarisha ustawi wa Muungano na amani katika nchi.
Ni jambo la kukemewa na kila mwenye nafasi ya kufanya hivyo.
Nakuomba Rais Mwinyi usiache kumchukulia hatua DC huyu au la itatafsiriwa kuwa haya ni maagizo yako na itaingia katika historia ya Taifa kuwa katika utawala wako uliwahi kukandamiza haki za wengine.
Usione aibu kuchukua hatua.
Kwani wakiristo wa Afrika sio wakifanywa watumwa na wazungu?Sayidna Bilal Mtumwa kutoka Afrika ya Mashariki ametajwa na Hostoria ya Kanisa?
Akienda bungeni atachukua sime?Masikini wa Kipemba ni mpumbavu nyakati zote!! Wewe ndege ndo umeiona Mungu wako? Jinga kabisa usiye na hoja
Unaongea nini mbona hueleweki?Kwani wakiristo wa Afrika sio wakifanywa watumwa na wazungu?
Jibu swali masai anapanda simu kunako ndege??Masikini wa Kipemba ni mpumbavu nyakati zote!! Wewe ndege ndo umeiona Mungu wako? Jinga kabisa usiye na hoja
wanyakyusa wanatembea na sime??Mnyakyusa mmoja akipiga Askari si wanya kyusa wote Wana husika mkuu
DC ni ndogo kifikra
Sheria za zenji pia haziruhusu, mbona mnakua na double standards. Za airport mnaziheshimu za Zenji mnataka busara itumike.Na wewe acha argument za kijinga. Unalinganishaje na airport ambako Sheria zake haziruhusu hata mafuta ya ngozi zaidi ya 100gm/mls. Huko micheweni na mchamba wima Nako ni airport?
Basi niseme mmasai mmoja akipiga Askari si wamasai wotewanyakyusa wanatembea na sime??
Huko chuga si ndio kwao, wenyeji wao wanawajua.Walichokozwa. Masai mpaka agombane ujue kachokozwa na atachofanya atatumia fimbo kujihami na sio sime.. na kama ana kosa atakubali. Ingekuwa hatari sana Arusha MAANA wangeuwa watu, lkn Masai Hana madhara.. wanamwonea wivu anatumia akili yake kunufaika na utalii.. hiko ndo DC na wenzie wanaleta siasa
Tahadhari kabla ya hatari.Basi niseme mmasai mmoja akipiga Askari si wamasai wote
Bila shaka hawatumii busara bali sheria na taratibu.Ndiyo, ataruhusiwa. Kama wenye bastola/bunduki tunaruhusiwa iweje kwa wenye sime?
Zenji wanajihami, kama wameweza kushambulia kwa marungu yao watashindwaje kufanya tena.Wewe ni wa hovyo tuu! Aliyedunda mtu ndo akamatwe,
ujambazi hauna kabila bhana!
Yaani itokee Mmakonde mmoja kadunda mtu hapo Zanzibar basi wahusishwe wote?
Huo ni ubaguzi na ukabila tu hapo zenji