Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Hakuna cha maendeleo, wakijiona hawana mpinzani watafanya upumbabu mara kumi yahuu wanao wafanyia waTanzania kwenye makampuni yao.
 
Kazidiwa tactics za kivita mbwa huyo Putin anatishia nyau nani?

Muda wake unahesabika muda wowote majeshi ya Russia yatamuua magenerali wengi wamegoma kushambulia Ukraine baada ya vikwazo vilivyoathiri akaunti zao nje na biashara zao nje

Putin muda wowote magenerali wa jeshi la Russia wanamchinja mbwa putin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…