econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
MTOTO JEURI DAWA YAKE KIPIGO
Kipigo gani wakati ile nchi huru unaipangia awe na Nani na asiwe na Nani?. I gekuwa Tanzania ndio inapangiwa hivyo ungekubali?. Pale wanapigana hamna Cha kipigo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTOTO JEURI DAWA YAKE KIPIGO
Ukiona anafurahia vita ujue maisha yake ni magumu sanaMbona unafurah vita ndugu? Jinga kabisa wewe.
haya ndo matatizo yakufatilia izi habari millardayo Sasa jamaa kakubali kwenda
Siku ikigeuka kuwa vita ya Nuclear hakuna kiumbe kitaexist duniani.Putin muoga ameona mambo magumu kageukia nuclear sasa nato nao wakiweka tayar ma nuclear yao russia si itaisha yote?! vita ni mbaya sana watakufa watu wengi wasio na hatia.
Siyo madude ya kuyashabikia kama wajinga wengi wanavyowaza.Mungu aepushie mbali manake madhara yake ni makubwa
Hakuna cha maendeleo, wakijiona hawana mpinzani watafanya upumbabu mara kumi yahuu wanao wafanyia waTanzania kwenye makampuni yao.Hata kuishambulia ukraine mlisema ni mikwara tu na amefanya kweli, sidhani kama Russia itakubali kushindwa hii vita wakati ina silaha za maangamizi bora wakose wote, ndio kinachoenda kutokea, waangamizane kisha China iinuke kuwa super power, labda na sisi huku Afrika tutaweza kupiga hatua ya maendeleo kidogo
Lazima ategemee nuclear si yupo pekeyake dhidi ya wengi......Na sasa ameshapaniki huyu fala tegrmeo lake la mwisho ni hizo nyuklia
hawana social kule ukren wana C&PYule millard watafuta habari wake sijui wanatoa wap habari.
PambafuUkiona anafurahia vita ujue maisha yake ni magumu sana
Huyu Bwana kwa mkong'oto anaokula amekimbilia kung'ata vita sio mivifaa tuu battle ni moyo.Sawa. He gonna pay the price.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!!wanatambaaaaa!!!!Mkuu,,, kwani wamarekani weusi wa tandale wanasemaje??
Mpo nyuma sana.😃😃Wale viherehere wa kumsaidia Ukraine wajitokeze sasa
Wazungu wanawazuia Waafika kuingia kwenye train wakimbikie poland wauane tuMungu ibariki Ukraine
Kwani hao wenzake wakina NATO na Marekani hawana hizo Nuclear? Na kama hujui Marekani/NATO wana Nuclear hapo jirani ya Russia, Poland.Wale viherehere wa kumsaidia Ukraine wajitokeze sasa
Nimekupiga apakat......imo hiyoPambafu