Rais Ruto afutilia mbali mkataba wa kujenga njia za umeme na kupanua Uwanja wa Ndege wa JKIA kati ya Kenya na Adani Group

Rais Ruto afutilia mbali mkataba wa kujenga njia za umeme na kupanua Uwanja wa Ndege wa JKIA kati ya Kenya na Adani Group

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA

Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao wizara ya nishati ulikuwa imesaini na Adani Group kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kusafirisha umeme nchini humo


Source Citizen TV
 
My Take
Hizi kampuni ambazo ni matapeli wa Kimataifa zinapendwa sana na wanasymaana zinawapa hela ndefu Ili kuwasafishia njia ya kushika tenda.

Mwenzako akinyolewa zako tia maji.Serikali ya Tanzania imempa gati pale Dar Port.

Mradi wa uwekezaji wa umeme ambao ulikuwa njiani Bora usitishwe.👇👇

View: https://x.com/LarryMadowo/status/1859581821115060700?t=ORm0XxLo3UdmLidzv_TGxQ&s=19

Hapa mnaitaja serikali na serikali yenye ndio Samia machawa mna kazi kubadili rangi kama kinyonga.

Kuna siku tutarudi hapa kujadili ya DP World.
 
Back
Top Bottom