johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hapa Siyo darasani kwa Lucas Mwashambwa 😂Unakimbizwa mkuu au unawahi siti
Fafanua bandari ni kubwa 🐼Adani si wale wale waliopewa bandari ya Dar?
Wasukuma.gani tena?Adani karibu Tz hakikisha umewahonga wasukuma hashtag kama msukuma na kibajaji
Adani walipewa baadhi ya gati za bandari ya DarFafanua bandari ni kubwa 🐼
Hapana sio hao, wale ni waarabu dp worldAdani si wale wale waliopewa bandari ya Dar?
ADANI wapoHapana sio hao, wale ni waarabu dp world
Hapana sio hao, wale ni waarabu dp world
Wapo wengi tu pale Dodoma kwenye mjengoWasukuma.gani tena?
Walipewa magati aliokuwa anaendesha ticts! Atayaendesha Kwa miaka 30! Tanzania ni ya hovyo sana!Hapana sio hao, wale ni waarabu dp world
Hapa mnaitaja serikali na serikali yenye ndio Samia machawa mna kazi kubadili rangi kama kinyonga.My Take
Hizi kampuni ambazo ni matapeli wa Kimataifa zinapendwa sana na wanasymaana zinawapa hela ndefu Ili kuwasafishia njia ya kushika tenda.
Mwenzako akinyolewa zako tia maji.Serikali ya Tanzania imempa gati pale Dar Port.
Mradi wa uwekezaji wa umeme ambao ulikuwa njiani Bora usitishwe.👇👇
View: https://x.com/LarryMadowo/status/1859581821115060700?t=ORm0XxLo3UdmLidzv_TGxQ&s=19