KAMA MJUAVYO
MAJUZI RAISI ALIAGIZA MAKATABA WA ADAN AMBAO ALIPEWA KUSIMAMIA UWANJA WA AIRPORT MIAKA 30
KRETIKO KAMPUNI YA NISHATI MIAKA 30
MH RAISI HUYUHUYU ALISIMAMA HADHARAN KUSEMA HII KAMPUNI N SAFI HAINA SHAKA WALA UFISADI WOWOTE
AKAMSIMAMISHA WAZIRI WAKE WA KAWI MUTHAI NAKUSISITIZA HAINA SHIDA WAMECHUNGUZA NA KUJIRIDHISHA
WAKAENDA KWA WABUNGE WALAFI NAO WAKASISITIZA KAMPUNI YA ADAN N SAFI NA ITAWASAIDIA HAINA SHIDA YA UFISADI
GAFLA ANAELEKEA BUNGEN NA KUSEMA AMEJIRIIDHISHA BILA SHAKA KAMPUNI YA ADAN INA KAKESI CHA UFISADI NA WAHUSIKA WANATAFUTWA MAREKANI
SWALI LA KUJIULIZA
1.WAZIRI HUSIKA WA KAWI BADO YUPO ANATAKIWA KUONDOLEWA
2.MPAKA RAISI KUSIMAMA NA KUKIIRI KAMPUNI HAINA SHIDA KUNA WAPUUZI WALISHIRIKI KUFANYA UTAFITI NAHAO NAO WAONDOKE
3.
Watu waliotangqza tenda hioo bodi ivunjwee iweje mwekezaji mmoja tu anajitokeza nakushinda wakati kuna makampuni makubwa yana uwezo wa kusimamia airports na kretiko
wakenya amkeni ufisadii kila kona Mungu anazidii kuwaaibisha mmojammoja
kiufupi hawa ma raisi wanaojifanya wakoo karibu na Mungu wa kuogopa sana sana u trusted kabisa
amken wakenya
tukutane Nairobi Dec 8