Rais Samia aagiza kushushwa tozo kwenye bidhaa za mafuta

Rais Samia aagiza kushushwa tozo kwenye bidhaa za mafuta

Bei ya bando imepanda kuanzia tarehe mosi hili nalo lahitaji kuangaliwa.
Umeme na mafuta Kuna makato mengi ajabu.
Hivi EWURA wanafanya kazi gani Hadi wapewe mipesa yote hiyo?
 
Chief Hangaya unatengeneza matatizo halafu unajifanya kuyatatua. Hizo zilikuwa siasa chafu za Magufuli achana nazo.
 
Si alipandisha juzi tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Leo anataka asifiwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kuna wajinga wanatoa pongezi na kumsifia

Bhebhe nang'ho!! Kwaiyo unataka bei iendelee iyo iyo co? Akipandisha munamponda, akishusha hamushukuru.
 
Hii mambo ya kutengua maamuzi yenu na kutufanya mnatujali kumbe ni uongo hatupendezwi kwani kabla ya kufanya maamuzi huwa hamkai pamoja na kumtathimini mipango yetu
 
Hawa jamaa hawa..
Yani km wanataka kupandisha bei ya mafuta toka 2300 to 2700.. wanachokifanya wanapandisha mpaka 3000 .... Halafu anakuja Chifu wa maChifu anajifanya kupnguza mpaka 2700 (ile waliyoilenga)

Wananchi wanashangilia.. Usanii mtupuu
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza tozo zinazotozwa na Taasisi mbalimbali kwenye bidhaa za mafuta kupunguzwa ili kuwapa unafuu wananchi

Baadhi ya Taasisi zinazoguswa na maelekezo hayo ni Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Tozo ya udhibiti), Mamlaka ya Bandari (Tozo ya miundombinu) na Mamlaka ya Mapato (Tozo ya kuchakata taarifa)

Imeelezwa, Rais Samia amechukua hatua hiyo kukabiliana na upandaji wa bei za mafuta katika Soko la Dunia, hali ambayo imekuwa ikiathiri watumiaji hapa Nchini

View attachment 1963765

View attachment 1963769
😍👍
 
Waondoe na tozo ya parking,
Jamaa kapigwa 40,000 kariakoo eti parking ya siku sita,
Kisa eti kachelewa kulipa, yaani hukuti risiti wao wanapiga picha tu kisha deni linazaliana tu,
Mwendo wa kuoneana tu
 
Kutoa maelekezo ni jambo moja, na kutekeleza ni jambo la pili.

Alisha agiza kuacha kubambikia watu kesi je Siro kaacha? Alisha agiza wasio na makosa watolewe mahabusu je? /vitengo wamewaachia?

Aliagiza mikutano ya ndani isibughudhiwe. Majibu na vitendo vya Siro na watu wake wamefikia wapi? Alisema vifurushi virekebishwe hebu tumuulize Mwigulu huyu watakae gombea nae urais kwenye chama chake kama alitii amri ya Mh Rais? Maana nakumbuka alituambie tusio taka tozo tuhamie Burundi
Na hapo ndipo fundisho lina kuja kwamba wabunge wa Ccm hupitisha vitu bila kufikiria. Ndio maana bosi wao akasema sheria hupitishwa akiwa amelala.
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza tozo zinazotozwa na Taasisi mbalimbali kwenye bidhaa za mafuta kupunguzwa ili kuwapa unafuu wananchi

Baadhi ya Taasisi zinazoguswa na maelekezo hayo ni Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Tozo ya udhibiti), Mamlaka ya Bandari (Tozo ya miundombinu) na Mamlaka ya Mapato (Tozo ya kuchakata taarifa)

Imeelezwa, Rais Samia amechukua hatua hiyo kukabiliana na upandaji wa bei za mafuta katika Soko la Dunia, hali ambayo imekuwa ikiathiri watumiaji hapa Nchini

View attachment 1963765

View attachment 1963769
Hongera mama , serikali yako ni sikivu.

Kwa kuwa kwenye soko la Dunia bei ya mafuta imepanda Sana ni jambo jema kwa serikali kufuta tozo zisizo na tija kwa Wananchi mathalani Ewura,Tasac,Wakala wa vipimo nk..

Zibakie tozo za maana tuu..👇

IMG-20210906-WA0002.jpg
 
Stamp/muhuri wa TRA kwa ajili ya mikataba ya kukopeshana 10,000/- . Unalipia kwa control number, na unashauriwa ulipe kwenye simu kuepuka foleni. Kwenye simu si mnajua kinachoendelea.

Kuna uwezekano, 1.9 T imekusanywa.
 
Back
Top Bottom