Na mbaya zaidi viongozi ndio wafanya biashara hiyoTanzania mafuta yakipanda leo Duniani, bei inapanda siku hiyohiyo ila mafuta yakishuka bei huko Duniani Tanzania tutaambiwa kuna shehena ya zamani ilinunuliwa kwa bei ya zamani.
Unajiuliza mbona kwenye kupanda hatuambiwi kuna shehena ya zamani tusubiri iishe?
Magenge ya wauza mafuta wameweka pale mawakala wao huko ewura, tunaokamuliwa ni sisi choka mbaya.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 chief hangaya na msimamo hana, wacha tuone ayo malekezoUtasikia maandamano ya kumpongeza hangaya
Acha ujinga wewe kuna tozo 23 lakini tozo 1 tuu ndio Rais aliiweka.Chief Hangaya unatengeneza matatizo halafu unajifanya kuyatatua. Hizo zilikuwa siasa chafu za Magufuli achana nazo.
Yule ni hamna kituTengeneza tatizo
Unajifanya mjuzi wa kitatua
Unapigiwa makofi
Tanzania hii magu alikili kweli tumedhurumiwa vyakutosha
Ziko 23 na Rais kawaambia wapeleke mswaada Bungeni wafute hayo matozo mewngi ya kijinga.Hujaelewa kuna tozo karibia 10 za ajabu ajabu kwenye kila lita moja ya mafuta inayoingia nchini,kitu ambacho kinasababisha mafuta hayo hayo kutoka bandarini kwetu Dar yakifika Zambia wao bado bei kwa lita ni chini ya 1800. Kuna tozo sijui EWURA, Bandarini, TRA, wakala wa vipimo, TBS na zingine kibao!! Hapa ilitakiwa zingine siyo kupunguza bali zifutwe kabisa na tungenunua petrol kwa 1500 kabisa hapa.
Hiyo move itakuwa na tija endapo agizo la Rais la kupeleka mswada Bungeni kufuta matozo yaliyopo kisheria ila kwa sasa tozo ambazo zilipachikwa tuu zimeishia kuongeza bei kwa sh.12 kwa Lita badala ya sh.145 .A great move if seriously and positively implemented.
Similar initiatives should be taken towards investments and moves aiming at reducing and curbing the Costs of Electricity.
.... if seriously (all inclusive) implemented.......Hiyo move itakuwa na tija endapo agizo la Rais la kupeleka mswada Bungeni kufuta matozo yaliyopo kisheria ila kwa sasa tozo ambazo zilipachikwa tuu zimeishia kuongeza bei kwa sh.12 kwa Lita badala ya sh.145 .
Mzanzibari ni mtanzania ila mtanganyika sio Mzanzibari, uliwahi kuona wapi muungano wa kitaahira kama huo?Mzanzibari na Mtanzania pia.
Unfortunately nimefanya kupitia tozo zote kumbe zilianzishwa na sheria ya Bunge..Hiyo sheria iligawanya tozo zinazoweza kurekebishwa na waziri inapobidi na tozo ambazo hazibadilishwi zinabaki kama zilivyo...... if seriously (all inclusive) implemented.......
Hizo haziwezi kufutwa maana hakuna tozo imefutwa bali viwango vya kutoza ndio vimerekebishwa..Unafiki tu. July tu wameongeza viwango vya kodi kwenye mafuta.....wafute na hizo pia!
Kwa nini hujapewa Wewe?Hivi kwa nini tunang'ang'ana na mafuta wakati tuna gesi ya kufa mtu? au yote kapewa mchina.......maana bongolala ni kichwa cha mwendawazimu.
Sawa. Isome barua mpaka mwisho.....wakazifute hata huko Bungeni tu.Hizo haziwezi kufutwa maana hakuna tozo imefutwa bali viwango vya kutoza ndio vimerekebishwa..
Tozo zilipitishwa na Bunge lazima zirudi Bungeni.
Usikariri matukio ya miaka iliyopita ukayahamishia mwaka huu. Hakuna aliyetengeneza tatizo.Tengeneza tatizo kisha lipe ufumbuzi halafu upate political mileage !
Hivi anayewadangnya virusi vinatengenezwa na wazungu ni nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni Kama mabeberu tu unatengeneza Ebola halafu unatengeza chanjo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mjinga mwingine ni wewe Stuxnet , serikali ikikwambia una matiti mgongoni utaisifia kwa kukujilishaWajinga mnaopinga kila kitu anachofanya Rais SSH mupo na mojawapo ni wewe Usher-smith MD. Wewe hata Serikali ikitaja jinsia yako utaibishia tu alimradi umebisha.
Kwani hizo tozo ziliwekwa na ACT wazalendo au CCM?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hujaelewa kuna tozo karibia 10 za ajabu ajabu kwenye kila lita moja ya mafuta inayoingia nchini,kitu ambacho kinasababisha mafuta hayo hayo kutoka bandarini kwetu Dar yakifika Zambia wao bado bei kwa lita ni chini ya 1800. Kuna tozo sijui EWURA, Bandarini, TRA, wakala wa vipimo, TBS na zingine kibao!! Hapa ilitakiwa zingine siyo kupunguza bali zifutwe kabisa na tungenunua petrol kwa 1500 kabisa hapa.