Kuna kitu hujakielewa hebu tuliza akili keanza ueleweSi alipandisha juzi tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Leo anataka asifiwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kuna wajinga wanatoa pongezi na kumsifia
Hivi wewe Dalmine , mfano mtu anamla mkeo, akiacha utashukuru ?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bhebhe nang'ho!! Kwaiyo unataka bei iendelee iyo iyo co? Akipandisha munamponda, akishusha hamushukuru.
Usiangalie yeye kutaka kupokea pongezi hapo umeangalia hili suala kisiasa. Angalia ule ukweli kuwa maamuzi yamefanyika baada ya kikao na hao jamaa wa Ulaya.Si alipandisha juzi tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Leo anataka asifiwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kuna wajinga wanatoa pongezi na kumsifia
Mfano wako umekaa kihuni na hauna maadili ya kuandikwa hapa jukwaani.Hivi wewe Dalmine , mfano mtu anamla mkeo, akiacha utashukuru ?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unyumbu,zamani tulikuwa tunasema kufuata mkumbo ,kwa kinyakyusa tunasema herding behavior, an occurrence of thoughtful people suspending their individual reason because of fear, in this case fearing their leadersUtasikia maandamano ya kumpongeza hangaya
Swali fikirishi sheria ya manunuzi ya pamoja inasemaje 'bulk procurement act'Aidha, Rais Samia pia ameagiza ufanyike mchakato wa haraka wa kupeleka marekebisho ya Sheria Bungeni zinazohitaji marekebisho ya haraka katika kukabiliana na kupanda kwa bei za mafuta hapa nchini, ili kumlinda mtanzania na gharama za maisha zinazotokana na kupanda kwa bei ya mafuta
Hivi aliyeleta hizo tozo ni nani ?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza tozo zinazotozwa na Taasisi mbalimbali kwenye bidhaa za mafuta kupunguzwa ili kuwapa unafuu wananchi
Baadhi ya Taasisi zinazoguswa na maelekezo hayo ni Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Tozo ya udhibiti), Mamlaka ya Bandari (Tozo ya miundombinu) na Mamlaka ya Mapato (Tozo ya kuchakata taarifa)
Imeelezwa, Rais Samia amechukua hatua hiyo kukabiliana na upandaji wa bei za mafuta katika Soko la Dunia, hali ambayo imekuwa ikiathiri watumiaji hapa Nchini.
C unakumbuka ishu ya tozo walivyoicheza kisanii sasahv kimyaaaa baada ya kupunguza 30%
Wauza mafuta ndiyo watunga sera za Tanzania akina Mwigulu NchembaTanzania mafuta yakipanda leo Duniani, bei inapanda siku hiyohiyo ila mafuta yakishuka bei huko Duniani Tanzania tutaambiwa kuna shehena ya zamani ilinunuliwa kwa bei ya zamani.
Unajiuliza mbona kwenye kupanda hatuambiwi kuna shehena ya zamani tusubiri iishe?
Magenge ya wauza mafuta wameweka pale mawakala wao huko ewura, tunaokamuliwa ni sisi choka mbaya.
Huyu bibi hana mvuto hata kidogo ndiyo maana anafanya maigizo tupuWasanii hawa.. ila wanajua wanawaongoza wajinga ndo maana wanafanya yote haya
Toka ameingia mafuta yanapaa kama mweweSikuona sababu ya kuongezaga ile sh.100, bahati mbaya mama Samia nae akasema ni ndogo tu. Leo naona wanaanza kuiondoq, ni Jambo zuri ila muwe mnatafakari kabla ya kuongeza
Aliwaambia washushe tozo za miamala ya simu watendaji wakasema mpaka bunge lirekebishe vifungu, wakakauka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 chief hangaya na msimamo hana, wacha tuone ayo malekezo
Kuna a big fuel company owned by Msoga Family ndiyo guideToka ameingia mafuta yanapaa kama mwewe
Benny hapo chacha.Those with no profile, can not be heard
Na ndiyo maana watu wanakuwa wanafiki na waongo na kubambikizia watu makes ya hovyo hovyoBenny hapo chacha.
Mh. Rais amepunguza tozo kwenye mafuta, na wote tumesifu hili suala maana bei ya mafuta ukubwa wake unatokana na tozo na Kodi mbalimbali.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza tozo zinazotozwa na Taasisi mbalimbali kwenye bidhaa za mafuta kupunguzwa ili kuwapa unafuu wananchi
Baadhi ya Taasisi zinazoguswa na maelekezo hayo ni Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Tozo ya udhibiti), Mamlaka ya Bandari (Tozo ya miundombinu) na Mamlaka ya Mapato (Tozo ya kuchakata taarifa)
Imeelezwa, Rais Samia amechukua hatua hiyo kukabiliana na upandaji wa bei za mafuta katika Soko la Dunia, hali ambayo imekuwa ikiathiri watumiaji hapa
Mh. Rais amepunguza tozo kwenye mafuta, na wote tumesifu hili suala maana bei ya mafuta ukubwa wake unatokana na tozo na Kodi mbalimbali.
Lengo la kufuta baadhi ya tozo ni kumpunguzia mwananchi mzigo mkubwa. Cha kushangaza baada ya hizo tozo kupunguzwa mafuta yamepanda bei leo.
Chief hangaya banaAliwaambia washushe tozo za miamala ya simu watendaji wakasema mpaka bunge lirekebishe vifungu, wakakauka
Akawaambia washushe bei za vifurushi vya simu wakakauka
Sijui hili la mafuta litafanyikaje kama nyuma hawakumsikiliza