Pre GE2025 Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tengeneza tatizo halacu jisifu kulitatua. Ccm mna shida sana
Kwani ni Chadema walifuta tarafa? Kwani ni ACT Wazalendo walimzuia vyoo vya shule? Kwani ni TLP walikata maji shuleni? Kwani ni Chauna walikata huduma za hospitali? Acheni kutuona maboya? Lakini jana kuna walio waita watanzania ni mbwa wajinga.
 
TUMEKWISHA MAZIMA TUSIFURAHIE BAADA YA MIAKA 20 HATUNA TENA NGORONGORO, TUMEPUUZWA KWA UPUMBAVU WETU, HASARA ITAKUWA YA TANZANIA BARA KWA SIKU ZA USONI, TUSIFURAHI KWA HILI, TUMEKWISHA, NAKAZIA TUMEKWISHA, ACHA NIENDELE NA KAHAWA YANGU HAPA
-->>lililofanyika kwa issue ya ngorongoro ni mpumbavu mwache na upumbavu wake!
-->Bado nasisitiza masai waondolewe aidha wapunguzwe kwa 3/4.
---Idiot yoyote ni ngumu sana kunielewa - - -
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…