Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kuna vitu vinachekesha aisee hao watu wameingiaje Tanzania😁😁Lissu na Heche waendelee kupiga spana kuhusu ukosefu wa ajira.
🤣Kuna vitu vinachekesha aisee hao watu wameingiaje Tanzania😁😁
Inashangaza sana
Mkuu wachina wameshapewa nchi hii kama nchina anaweza kumiliki mgodi kwa shilingi laki tano kwanini Raisi ana shangaa Mchina kufungua kibanda cha MIX by yashHii inawahusu wachina moja kwa moja maana washaanza hadi kufanya kazi za vinyozi, gareji, mama ntilie na bodaboda
Kwangu mi naona poa tu, acha tushindane nao tuone mbinu zao na sisi tutoboe tuwe kama guangzhouMkuu wachina wameshapewa nchi hii kama nchina anaweza kumiliki mgodi kwa shilingi laki tano kwanini Raisi ana shangaa Mchina kufungua kibanda cha MIX by yash
Kwani uchaguzi mkuu ni mwaka gani?Rais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
Unavyosema safi sana, kana kwamba huyo anayetoa maneno kama alikuwa anaishi ughaibuni ndio karudi kutoka safarini baada ya miaka mingi.Safi sana , haiwezekani. MTU atoke China aje afungue duka kariako ,anapaswa afungue kiwanda azalishe ajira na kuongeza mnyororo wa thamani
Siku zote alikuwa hawaoni?Rais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Sikuelewa kama hii kazi ya wamachinga iko reserved kwa ajili ya sisi wazawa. Aibu sanaRais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
Ana waagiza au anasaoma risala aliyoandikiwa na mwandishi akakumbuka kuwa tuko kipindi cha uchaguzi aanze kuzungumzia suala la ukosefu wa ajira wageni waondolewe.Rais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
Nchi imekuwa shamba la Bibi. Uongozi dhaifu sanaRais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
Kwa kwelii.Hii inawahusu wachina moja kwa moja maana washaanza hadi kufanya kazi za vinyozi, gareji, mama ntilie na bodaboda
Sio machinga tu. Kila taifa lina utaratibu wake kwenye fursa zinazopatikana inchini mwake na kipaumbele huwa ni kwa wazawa ,so sio sawa mchina au msomal au mnaijeria kuwa na duka kariako , wanapaswa wawekeze kwa ukubwa na teknolojia ambayo hatuna si kuuza viatu na protector,, mitaji ya kufanya hivo wazawa wanayoSikuelewa kama hii kazi ya wamachinga iko reserved kwa ajili ya sisi wazawa. Aibu sana