Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Rais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa ndani.
Pia, Soma: Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji