Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio uko serious mzee!??Serikali ya ccm haipo siriasi na mafisadi.
Kuna fisadi yeyeto keshawahi fungwa?Wewe ndio uko serious mzee!??
Polepole naye ni mhuni km wahuni wengine.... nadhani ndio wale wahuni aliosema Polepole! Wote hao wana green cards mifukoni na kwenye mikoba yao.
Yuko nje ya mudaHongera Mh. Rais kwa kuliona....nashauri IGP pia abadilishwe. Haendani na kasi yako au bado ni mfuasi/ana uraibu na Mwendazake. Wajibisha au Pangua safu za Jeshi la Polisi na TAKUKURU hasa wale wanaozembea. Ama sivyo utatoa maagizo alafu yataishia hewani.
Mmmhhhanaweza? hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..
vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Ule ulikuwa unafiki tu wa Jiwe.Kwani Seth na Ruge walivamia BOT wakachukue zile fedha?Walioidhinisha fedha zitoke wako mahabusu gani?Kwenye wezi Magufuli alikuwa hafikirii mara mbili wakina Singa na Rugemalila walidakwa kama vifaranga tu, ila kwa kuwa ashatoa tamko tutegemee kamatakamata kabla ya mwaka huu kuisha.
Awamu hii ni mpyaUle ulikuwa unafiki tu wa Jiwe.Kwani Seth na Ruge walivamia BOT wakachukue zile fedha?Walioidhinisha fedha zitoke wako mahabusu gani?
Msitufanye wajinga.
Jibu hayo maswali kijanaUpuuzi wako utaisha lini?
Wakamatwe twuRais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
==
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Hahaha! Atoe tu passwordFunguka jombaa mbona unatembea na codes??
Kuanzia wiki ijayo mtaona watu ndani ya pingu kwa Ufisadi,Hahaha! Atoe tu password
Sasa kiki itapatikanaje bila kutoa matamko?Kulikuwa na haja gani kutoa tamko hadharani?
Ripoti imewaweka wazi, yeye kama Rais angewaita kama wakuu ama wa Takukuru au Polisi, kuanza kushughulika na ukamatwaji wa wahusika...
Hivi wiki ijayo inaanzia lini? Au J3 ya tarehe 13/12/2021? Sie yetu macho na masikioKuanzia wiki ijayo mtaona watu ndani ya pingu kwa Ufisadi,
Jumatatu kinawaka mzee nimepata taarifaHivi wiki ijayo inaanzia lini? Au J3 ya tarehe 13/12/2021? Sie yetu macho na masikio
Mama aluta continuehamna lolote ni kiki za pikipiki tu!
Anapesa chafu mno,