Rais Samia aagiza wote waliotajwa kwa wizi wa Fedha za Umma kwenye Ripoti ya CAG washughulikiwe

Rais Samia aagiza wote waliotajwa kwa wizi wa Fedha za Umma kwenye Ripoti ya CAG washughulikiwe

Tangu lini CCM wakawajibishana?

Hao ni ukoo mmoja wa wezi, hizo ni siasa na hutasikia chochote.
 
Uzuri wa Tanzania toka ianze mafisadi wote wanatoka CCM [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Too late hadi kina Kigwangala wameshatakasa hizo pesa haramu.

CCM ni ukoo wa panya.
 
Hongera Mh. Rais kwa kuliona....nashauri IGP pia abadilishwe. Haendani na kasi yako au bado ni mfuasi/ana uraibu na Mwendazake. Wajibisha au Pangua safu za Jeshi la Polisi na TAKUKURU hasa wale wanaozembea. Ama sivyo utatoa maagizo alafu yataishia hewani.
Yuko nje ya muda
 
anaweza? hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..

vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Mmmhhh
 
Kwenye wezi Magufuli alikuwa hafikirii mara mbili wakina Singa na Rugemalila walidakwa kama vifaranga tu, ila kwa kuwa ashatoa tamko tutegemee kamatakamata kabla ya mwaka huu kuisha.
Ule ulikuwa unafiki tu wa Jiwe.Kwani Seth na Ruge walivamia BOT wakachukue zile fedha?Walioidhinisha fedha zitoke wako mahabusu gani?

Msitufanye wajinga.
 
Rais Samia amesema haya...

Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-


==
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Wakamatwe twu
 
Kulikuwa na haja gani kutoa tamko hadharani?

Ripoti imewaweka wazi, yeye kama Rais angewaita kama wakuu ama wa Takukuru au Polisi, kuanza kushughulika na ukamatwaji wa wahusika...
Sasa kiki itapatikanaje bila kutoa matamko?
 
Back
Top Bottom