robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
Huyu Waziri, anajionesha sana kwenye vyombo vya habari na kila anapopewa mic., lazima ataje jina la Samia Suluhu Hassan kama kibwagizo cha shairi.
Tunachotaka ni matokeo chanya na kukataa wizi kwenye miradi ya maji ktk nchi hii. Huu ni msimu wa mvua baada ya ukame mrefu.
Kipindi cha ukame maji ilikuwa taabu kwa kisingizio cha ukame. Eti hata Mwanza wanasumbuliwa na ukame. Mjini wa Bukoba na Musoma huko ndo usiseme kabisa! Miji ya Morogoro na wilaya zake wao walishakomaza miili kutokuwa na maji.
Naelekea Mikoa ya kusini sasa. Nimepita Morogoro tena. Bwawa limejaa maji, yanfurika. Hata hivyo mabomba hayana maji kama zile enzi za ukame! What a hell is this ministry? Hapo Moro ndo makao makuu ya bonde la wami Ruvu, limalotawala mikoa ya Dar, Pwani na moro yenyewe.
Kinachosikika ni kwamba pesa nyingi ya wizara iko bonde hili na hapa ndo inapigwa kwa ushirikiano. Huu ni mkoa ambao waziri amekuwa akionekana hata mida ya usiku ili kupiga dili zake.
Tuondolee waziri huyu. Kama bunge limeishiwa, kopa serikalini, jamani!
Tunachotaka ni matokeo chanya na kukataa wizi kwenye miradi ya maji ktk nchi hii. Huu ni msimu wa mvua baada ya ukame mrefu.
Kipindi cha ukame maji ilikuwa taabu kwa kisingizio cha ukame. Eti hata Mwanza wanasumbuliwa na ukame. Mjini wa Bukoba na Musoma huko ndo usiseme kabisa! Miji ya Morogoro na wilaya zake wao walishakomaza miili kutokuwa na maji.
Naelekea Mikoa ya kusini sasa. Nimepita Morogoro tena. Bwawa limejaa maji, yanfurika. Hata hivyo mabomba hayana maji kama zile enzi za ukame! What a hell is this ministry? Hapo Moro ndo makao makuu ya bonde la wami Ruvu, limalotawala mikoa ya Dar, Pwani na moro yenyewe.
Kinachosikika ni kwamba pesa nyingi ya wizara iko bonde hili na hapa ndo inapigwa kwa ushirikiano. Huu ni mkoa ambao waziri amekuwa akionekana hata mida ya usiku ili kupiga dili zake.
Tuondolee waziri huyu. Kama bunge limeishiwa, kopa serikalini, jamani!