Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Akiwa anajitajidi basi maji yatoke. Umewahi kufika moro?Acheni chuki zenu kenge nyinyi, Aweso anajitaidi Sana sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa anajitajidi basi maji yatoke. Umewahi kufika moro?Acheni chuki zenu kenge nyinyi, Aweso anajitaidi Sana sana
Kaka utakua na chuki nae tu hiyo wizara ni ngumu sana na jamaa anafanya kazi sanaHuyu Waziri, anajionesha sana kwenye vyombo vya habari na kila anapopewa mic., lazima ataje jina la Samia Suluhu Hassan kama kibwagizo cha shairi...
😳Za chini ya kapeti,
Ndio baba yenu wa kambo.
Hizo picha na jiwe la msingi limegeuka kuwa maji? Unamtetea lakini tunajua nyendo zake za wizi. He is just a committed thief!Kama hakuna kitu Kinafanyika,Kwa hiyo haya hapa unafanya wewe na baba yako sio? 👇
View attachment 2113911
View attachment 2113912
View attachment 2113913
View attachment 2113914
View attachment 2113915
View attachment 2113916
View attachment 2113917
View attachment 2113918
View attachment 2113919
View attachment 2113920
Watoto wa zinaa hamna adabu aweso ana mke wake DC wa bagamoyo na watoto watu nadhaniZa chini ya kapeti,
Ndio baba yenu wa kambo.
Hao ni vijana wa kazi maalum, siyo kama unavyodhani wewe.Huyu Waziri, anajionesha sana kwenye vyombo vya habari na kila anapopewa mic., lazima ataje jina la Samia Suluhu Hassan kama kibwagizo cha shairi...
Wewe lini umeacha kuiba? Maji yatajileta bila mawe ya msingi? Hujaona Rais na PM wakizindua miradi?Hizo picha na jiwe la msingi limegeuka kuwa maji? Unamtetea lakini tunajua nyendo zake za wizi. He is just a committed thief!
Je waijua hali halisi mtaani? Usipumbazwe na mapichpicha na stori.Kama hakuna kitu Kinafanyika,Kwa hiyo haya hapa unafanya wewe na baba yako sio? 👇
View attachment 2113911
View attachment 2113912
View attachment 2113913
View attachment 2113914
View attachment 2113915
View attachment 2113916
View attachment 2113917
View attachment 2113918
View attachment 2113919
View attachment 2113920
Hizo unazoitwa.picha zimepigwa mbinguni sio mtaani au?Je waijua hali halisi mtaani? Usipumbazwe na mapichpicha na stori.
Wewe lini umeacha kuiba? Maji yatajileta bila mawe ya msingi? Hujaona Rais na PM wakizindua miradi?
Hayo hayawezi kutokea kipindi cha Samia.Kuna sehemu msafara wa mwenge walizinduaga mradi wa maji wa mamilioni, achilia mbali jiwe la msingi, na hakujawahi kutoa maji hata nusu siku!
Kuna injinia niliwahi msikia amechezea miradi ya mabilioni, na bado album kuwa uraiani. Hata marehenu - Magufuli - alifura.
Ukiona hivyo pesa zinazofujwa zina mgao mpana. Maji hayahitaji balozi, maji ni uhai kila mtu anayahitaji. Maji yanajiuza yenyewe. Kumweka msanii kuwa balozi wa maji ni usanii.Jamaa sijui huwa ana bahati ya NGEKEWA!!ukiangalia hakuna kitu cha maana alichokifanya kwenye wizara hiyo lakini, waliomteua wana muamini sana!!toka enzi za jiwe!!!