Rais Samia acha kumbeba Waziri wa Maji Jumaa Aweso. Hakuna cha maana kinachofanyika nchi hii

JAMAA ANAPIGA KAZI,,MUSOMA MJINI MAJI SAFI TELE TUNAKARIBIA 100%,,COVARAGE na ata Idara ya Maji safi na taka,,(muwasa)awasumbui kuvutiwa bomba km unaitaji,chap Maji yanaingia,,AWESO mchapakazi
Unavyoandika nahisi hukumaliza darasa la saba. Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Nonsense
 
Aweso muongo, martini, msanii na mla rushwa wa kutosha. Hafai, period
 
Sababu ni Juma ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…