Rais Samia achana na siasa za watemi na machifu, ni hatari, hazikusaidii na hazilisaidii taifa

Rais Samia achana na siasa za watemi na machifu, ni hatari, hazikusaidii na hazilisaidii taifa

Tangu Rais Samia ashike madaraka amekuwa busy sana kuzing'ang'ania na kuzipigia debe siasa za kuwaenzi na kuuenzi utamaduni wa machifu na watemi hapa Tanzania. Hapa nitaweka kweli kadhaa kuhusu ubaya wa siasa hizo kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.

1. Utamaduni wa watemi na machifu ni utamaduni wa kikabila na kikoo kwa 100%. Hawa hawafanani, hawakubaliani na hawakai chungu kimoja. Unalenga kuwagawa watanzania kuliko kuwaunganisha.

2. Utamaduni wa watemi na machifu umezungukwa na mfumo dume kwa karibu 100%. Kadri unavyopaliliwa ndivyo ambavyo mfumo dume unakuzwa na kuota mizizi kwenye jamii.

3. Kwa sehemu kubwa sana tamaduni za watemi na machifu zimejikita kwenye ubagani, matambiko, ushirikina na mambo ya kale. Sioni mantiki yoyote kwa serikali kuukumbatia sasa kwenye karne ya 21.

4. Kwa sehemu kubwa utamaduni wa tawala za machifu unakinzana na mifumo ya tawala rasmi za kiserikali na kisheria. Huwa ni vitu visivyoweza kwenda sambamba. Kuimarika kwa tawala rasmi za kiserikali automatically kuliua tawala za machifu na watemi, kuzifufua upya hizo tawala za machifu sasa ni kuhatarisha uwepo wa tawala rasmi za kisheria na kiserikali.

5. Utamaduni wa tawala za watemi na machifu kwa sehemu kubwa umedhoofika, kufifia, kuparaganyika au ulishakufa kwa jamii nyingi sana hapa Tanzania. Wengi watakaoibuka sasa na kuitwa watemi au machifu huenda watakuwa waganga wa kienyeji, wazee wa kikoo, matapeli (wazee wa fursa), wajumbe wa CCM wa nyumba kumi kumi (wazee wazee). Kiuhalisia utakuta sio watu halisi wa kuwakilisha watemi na machifu wa zama zile. Kuwakumbatia watu wa namna hiyo ni kupoteza muda na rasimali.
Zaidi ya kutafuta kuwa mkuu wa wachawi sioni kingine anachotafuta huyu mama
 
Wanajua wanachokifanya, Wakoloni waliwatumia Machief kutawala the rest, Kenya Vita ya Kikabila huletwa na hao machief wanaotumiwa na Wanasiasa.
Kinachotokea ni hivi Wakoloni/Wanasiasa huwapa fedha na goodies nyingine halafu hawa machief kwa sababu wana command respect kwenye jamii wanayoiongoza huenda kuwafanyia Kampeni Wanasiasa/ Wakoloni na wanafanya hivyo kwa sababu hali ni mbaya na hawakubaliki.

Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu huu Uraisi wa sasa, kwa nini yote haya ?

Kila kitu kimepangwa!
 
Tangu Rais Samia ashike madaraka amekuwa busy sana kuzing'ang'ania na kuzipigia debe siasa za kuwaenzi na kuuenzi utamaduni wa machifu na watemi hapa Tanzania. Hapa nitaweka kweli kadhaa kuhusu ubaya wa siasa hizo kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.

1. Utamaduni wa watemi na machifu ni utamaduni wa kikabila na kikoo kwa 100%. Hawa hawafanani, hawakubaliani na hawakai chungu kimoja. Unalenga kuwagawa watanzania kuliko kuwaunganisha.

2. Utamaduni wa watemi na machifu umezungukwa na mfumo dume kwa karibu 100%. Kadri unavyopaliliwa ndivyo ambavyo mfumo dume unakuzwa na kuota mizizi kwenye jamii.

3. Kwa sehemu kubwa sana tamaduni za watemi na machifu zimejikita kwenye ubagani, matambiko, ushirikina na mambo ya kale. Sioni mantiki yoyote kwa serikali kuukumbatia sasa kwenye karne ya 21.

4. Kwa sehemu kubwa utamaduni wa tawala za machifu unakinzana na mifumo ya tawala rasmi za kiserikali na kisheria. Huwa ni vitu visivyoweza kwenda sambamba. Kuimarika kwa tawala rasmi za kiserikali automatically kuliua tawala za machifu na watemi, kuzifufua upya hizo tawala za machifu sasa ni kuhatarisha uwepo wa tawala rasmi za kisheria na kiserikali.

5. Utamaduni wa tawala za watemi na machifu kwa sehemu kubwa umedhoofika, kufifia, kuparaganyika au ulishakufa kwa jamii nyingi sana hapa Tanzania. Wengi watakaoibuka sasa na kuitwa watemi au machifu huenda watakuwa waganga wa kienyeji, wazee wa kikoo, matapeli (wazee wa fursa), wajumbe wa CCM wa nyumba kumi kumi (wazee wazee). Kiuhalisia utakuta sio watu halisi wa kuwakilisha watemi na machifu wa zama zile. Kuwakumbatia watu wa namna hiyo ni kupoteza muda na rasimali.
Hayo mawazo yako mepesi sana utumwa wa fikra mbaya, hutakaa uwe mzungu never , africa is africa and for african customs and traditions. You havnt lived the Wh questions esp. critical and analytical thinking of every wh. Agrarian perspective from western education, in a nutshell.
 
Mungu ni dhana na shetani ni dhana. Usifungwe na utamaduni wa kimagharibi. Hata sisi tunaweza kuwa na mungu wetu siyo lazima huyo mungu aliyeletwa na wazungu na wewe ukakalilishwa bila kujua
Kwa hiyo kuna Mungu wangapi.
 
Tangu Rais Samia ashike madaraka amekuwa busy sana kuzing'ang'ania na kuzipigia debe siasa za kuwaenzi na kuuenzi utamaduni wa machifu na watemi hapa Tanzania. Hapa nitaweka kweli kadhaa kuhusu ubaya wa siasa hizo kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.

1. Utamaduni wa watemi na machifu ni utamaduni wa kikabila na kikoo kwa 100%. Hawa hawafanani, hawakubaliani na hawakai chungu kimoja. Unalenga kuwagawa watanzania kuliko kuwaunganisha.

2. Utamaduni wa watemi na machifu umezungukwa na mfumo dume kwa karibu 100%. Kadri unavyopaliliwa ndivyo ambavyo mfumo dume unakuzwa na kuota mizizi kwenye jamii.

3. Kwa sehemu kubwa sana tamaduni za watemi na machifu zimejikita kwenye ubagani, matambiko, ushirikina na mambo ya kale. Sioni mantiki yoyote kwa serikali kuukumbatia sasa kwenye karne ya 21.

4. Kwa sehemu kubwa utamaduni wa tawala za machifu unakinzana na mifumo ya tawala rasmi za kiserikali na kisheria. Huwa ni vitu visivyoweza kwenda sambamba. Kuimarika kwa tawala rasmi za kiserikali automatically kuliua tawala za machifu na watemi, kuzifufua upya hizo tawala za machifu sasa ni kuhatarisha uwepo wa tawala rasmi za kisheria na kiserikali.

5. Utamaduni wa tawala za watemi na machifu kwa sehemu kubwa umedhoofika, kufifia, kuparaganyika au ulishakufa kwa jamii nyingi sana hapa Tanzania. Wengi watakaoibuka sasa na kuitwa watemi au machifu huenda watakuwa waganga wa kienyeji, wazee wa kikoo, matapeli (wazee wa fursa), wajumbe wa CCM wa nyumba kumi kumi (wazee wazee). Kiuhalisia utakuta sio watu halisi wa kuwakilisha watemi na machifu wa zama zile. Kuwakumbatia watu wa namna hiyo ni kupoteza muda na rasimali.
Cultural Tourism siyo matambiko! Rais hashiriki matambiiko bali ana promote utamaduni wetu uwe wa kitalii. Tusipende kukosoa tu kila kitu.
 
Huyu mama namwonea huruma wanavyompeleka puta, huu upuuzi si aukatae, kama vipi awaachie uraisi wao,

Wanamfanya aonekane kituko kisa uraisi 2025
Nawaza Sana kwamba washauri na wasaidizi wa mheshimiwa Rais wanalenga nini? Nchi na wananchi Kwa ujumla watapata tija gani katika hili?
Haya mambo ya uchifu, ukabila na ukanda,Nyerere aliyapiga Vita Sana.Na kiukweli alikuwa sahihi Sana
 
“Moja kati ya adhabu kubwa ya kukataa kushiriki au kujihusisha na Siasa pamoja na Uongozi ni kwamba Utaishia kutawaliwa au Kuongozwa na watu wenye uwezo Mdogo kuliko wewe”-Plato
EIw0.jpg
 
Hii kitu imeandaliwa kimkakati na system ili kuangalia hoja za watu wata jitokeza vipi hasa juu ya issue ya Mbowe. Ndio maana waka kusanya watu Boma kama trial. Na ujumbe wameupata.
Hoja yako haina mashing mbona JPM alikuwa anakusanya huko na alikuwa anapondwa na hao kina Mbowe.
 
Tawala za kichifu ziliwahi kuwa zetu waliongoza watu wetu wakaishi na kwa baadhi ya jamii walifanikiwa chini ya tawala hizi.
Na ndiyo kuna baadhi ya tamaduni zao zimepitwa na wakati mathalani mfhmo dume na ushirikina lakini haya yote yanaweza kurekebishwa na kupata kitu ninachoita “uchifu wa kisasa”

Ni kama marekebisho walofanya waingereza kwenye tawala zao za kifalme.
 
Tawala za kichifu ziliwahi kuwa zetu waliongoza watu wetu wakaishi na kwa baadhi ya jamii walifanikiwa chini ya tawala hizi.
Na ndiyo kuna baadhi ya tamaduni zao zimepitwa na wakati mathalani mfhmo dume na ushirikina lakini haya yote yanaweza kurekebishwa na kupata kitu ninachoita “uchifu wa kisasa”

Ni kama marekebisho walofanya waingereza kwenye tawala zao za kifalme.
Hatari sn
 
Back
Top Bottom