Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Huyu Chalamila ni yule aliyefukuzwa kazi mwaka jana akaanza kuimba imba mapambio au ni mwingine?
 
Raisi amefanya teuzi, mikoa yote ya Tanzania Bara ipo kwenye mkeka, kasoro Mkoa wa Simiyu tu.

Tayari watu wana assume Kafulila kaliwa kichwa, pamoja na Mkoa wake kitoonekana kwenye huo mkeka.

Zuhura Yunus weka sawa mambo yako, makosa madogo madogo yanajirudia sana, kila siku na jambo jipya.
 
Sijui mpoje sometimes yani kama majinga
 
Hata wakiwemo wana kusaidia nini? Low mind
 
Soma hiyo taarifa ya uteuzi kipengele cha tisa. (9).

Kuna mkuu wa mkoa mpya.
 
Hata wasipotaka kujua njaa na kupoteza influence kutawajulisha.
 
Lile agizo la Mkuu wetu wa mkoa wa Mtwara kuwashughulikia wale wajinga waliosambaza picha za watoto wetu( Mwenyezi Mungu Awarehemu) litakuwaje Sasa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…