Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Usukuma unahusu nini...mabadiliko hayana kabila..Na wote ni wasukuma
Msamehe....Leo nitampigia Hapi kumuuliza kwanini alinidharirisha kwenye ziara za Iringa Mpya. Kesho nitampigia na kumdai pesa zangu za kuinstall Drip Irrigation kwenye shamba lake la Ekari 10 hapa Iringa na asiponilipa natuma vijana wakazing'oe na kukatakata nyanya zilizopo shambani.
Kipindi cha kulipa kisasi sasa kwani hana ulinzi tena.
Sio jobless tu! anakuja kuwa professional jobless.Kwamba ally hapo ni jobless
Hatoki pale ndiyo penye mambo yetu pale !!Mataga mtapata taabu sana,Makamba hatoki pale.
Chalamila Kagera!!huyu mama anamatusi ya nguoni!Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa nchini huku akiingiza majina mapya tisa akiwemo Albert Chalamila aliyetuuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera...
Teua na tengua hazikuwepo kabla yake!!!!.....Huyu Bibi ndio kazi pekee anayoiweza hii. Teua, tengua.
MaraKwan alkua mkoa gan?
π€£Sukuma gang mfyuuuuu
Nchi ya visasi !! Au ??!!Huyu aliwahi Sema wazee Hawa wakae kimya.Wazee walikuwa wanamlia timing tu
Aliyewahi kukataa teuzi Tanganyika ni Tuntemeke Sanga pekee !!Sijawahi kusikia but I would never take one.
Revamption, resurface.Resurgence! Renaissance! Rejuvenation! Regeneration! Resumption!View attachment 2306441
Sure type ya akina filiku njombe. CCM watu kama hao ni mwiba. CCM haijawahi kupenda wazalendo na wenye uchungu na nchi hata siku mojaLkn ni mtu poa sana, amenyooka na hamung'unyi maneno....
Sema CCM mtu kama yule hawamuelewi maana wengi wao ni wanafiki...
>>>KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.<<<<
Ndio maana wajanja wanajiwahi na mighorofa !!Yeye kukuhamisha au kukuachisha anapojisikia ni dharau zaidi Bora nifanye michongo mingine kuliko Leo nipo DSM kesho kigoma keshokutwa sina kazi. Ndo maana wengi wanataka ubunge it offers more job security
wakajiunge na umoja partyMabaki ya waunga juhudi yamepanguswa
Yule comedian karudi tena. Watu walimiss kucheka