Huna lolote unalojua we ndo hao hao wa majungu. Nimeamua kukupuuza.O level kasoma Tanga Secondary
A level kasoma Kinondoni Musilim
Kasoma Certificate ya Info Tech IFM
Kasoma Diploma ya Insurance IFM
Kasoma Masters Coventry UK
Twende kazi sasa! Na alifikaje Masters bila yakua na Advanced Dip, Post Graduate au Bachelor???
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Tuwekeeni pivha wengine hatumjuiNi yupi huyo mwanaFA, mkuu 'Jidu'?
Ni kwa kuwatendea haki wasomaji wa mada yako, ukaishia hapo kwenye mistari miwili, basi!
Huna akili! Nimekupa kila kitu, then unasema nina majungu???Huna lolote unalojua we ndo hao hao wa majungu. Nimeamua kukupuuza.
JeshiiiNausubiri wa maDED kwa hamu,kaimu mkurugenzi wangu hatoshi kwenye kiti,inshort amepwaya sana,hana maamuzi na ana uzawa sana.
Huko changamoto zake ni ngumu maana kuna magenge yanaconnection za marking kila mwaka, na wanatoa tu chochoteTafadhali mheshimiwa rais,
Mrudishe Baraza La Mitihani(NECTA),Dr.Charles E.Msonde.
Hii ni kwa maslahi ya Taifa letu.
Naipenda Tanzania.
Huo ni mtazamo wako kwa jinsi upeo wako na resources ulizonazo vinapoishia, hawa wanaofanya vetting plus 'referees' wao wanaowabeba kwenye mbeleko upeo wao na resources walizonazo vinawapa majibu tofauti
Huna lolote zaidi ya wivu. Pole sanaHuna akili! Nimekupa kila kitu, then unasema nina majungu???
Aliyesoma Tech ni AY, alisoma Ifunda Tech!
Acha ushamba wakushoboka na mambo usiyoyajua!
Kama ni msomi kipi kilimfanya aanze na Cheti?? Kipi kilimfanya atoke Diploma hadi Master's?? Au hafa hajui sifa zakuzoma Masters???
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Tatizo lenu mnapenda kukurupuka bila kujua mtu ka comment nini!!?Sasa ndio hapo tunapoona Ustaarabu wako kwa matusi bila shauri tako langu au la mamaako koma kutukana mtu usiemjua tako wewe
Siwezi kukuhoji kila mmoja ana haki ya kutoa maoni bila kuulizwa. Suala la kuelewa maoni yako ni letu. Ungetaka tuelewe kama upendavyo usingeandika maneno yenye utata.Ulitakiwa unihoji kwann niliandika vile, wee ukakurupuka eti jamaa ana uwezo. Kwan nlisema hana uwezo??
Sijasema kuumizwa mie, hilo ni lako.
Ndiyo nina wivu! Leta na wewe basi hizo data ambazo hazina wivu!Huna lolote zaidi ya wivu. Pole sana
Hawezi acha lamba viatu ndo wanamweka mjini,yule ni chawa promax😅😅Ndiyo nina wivu! Leta na wewe basi hizo data ambazo hazina wivu!
Yaani nimuonee wivu Hamis?? Aliyetoka huko kwao Handeni Tanga akakosa pakufikia dsm,akawa analala kwao GK?? Hebu acha basi ujinga! Hamis ananizidi cheo cha Naibu Waziri tu, mengine nikijana wangu sana tu! Mwambie aache kulamba miguu ya Msoga Family na GSM!
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hamis MwinjumaJina halisi ndo lipi?
Uchawi upo,pole Mashimba.Naibu waziri wako aliitaka sana nafasi yako hatimae kaipata. Ni kama Ridhiwan alivyokuwa anaitaka nafasi ya Angela Mabula.
Mambo ya ajabu kabisa!!Kwamba Mahera bado anaweza kuaminiwa kwenye Uongozi!!!?
Duh!Hakunaga Hamis fala by Dr Kigwangalla
Dah!Mambo ya ajabu kabisa!!
CCM ingekua imeoza yote unadhani tungekua hapa tulipo!?..angalieni nchi ambazo uongozi wake umeoza mlinganishe na tzTatizo CCM yote imeoza ni kubahatisha tu labda huyu hajaoza sana .
Nilitaka nithibitishiwe uvurundaji wao,au ukiwa na nasaba na kiongozi wa zamani hutakiwi kuwa kiongozi hata Kama una sifa!?Makamba, pinda, Riziwan, Nchengerwa(japo yuko sawa) hao wote ni wakupewa hata wavurunde vp hawawezi kuondolewa