Thibitisha,wewe siyo nabii useme tu na tukuaminiUwwzo mdogo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha,wewe siyo nabii useme tu na tukuaminiUwwzo mdogo sana
Yaishie hapoMwana FA?
Wala sitaki imani yako kaa nayo kwa matumizi binafsiThibitisha,wewe siyo nabii useme tu na tukuamini
Umesomeka..ovaYaishie hapo
Wabebane tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Rizi anabadilishwa badilishwa kupima upepo, tutakuja kushangazwaaaa very soon.
Ee zamu ya wavuvi wa pomboo l walima karafuu na wazee wa vikoi kiunoni hii.Yaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Kula viporo!!! Yupo ofisi ya raisi sasa hivi. Safari yake sasa hivi ni fupi kuwa Waziri Kamili.Rizi ni kwamba anabebwa ty, ametolewa kwenye Maziwa na asali kwenda kula viporo tu
FA anazidi kutusua tyuuh.
Hongera zake sanaaaa
RamadhaniKailima[emoji51][emoji51]
Boga kama hilo unaweza ukalipa kazi gani asa?huo ubunge wenyewe amshukuru jiwe.Babutale mmetia kitumbua chake mchanga. Ndio matatizo tuliokimbia umande..lol
Hawezi kugawa ardhi kwani maneno yalikuwa mengi kuliko matendo. Bora tu akajisomee magazeti.Yule mkuu wa mkoa wa Tanga juzi alijitia kuwasimamisha kazi wenzie,nae leo kaliwa kichwa.
Ridhiwani kaenda wizara ya kusoma newspapers tu.
PwaniUlege ni wa wapi?
Mara Kuna Naibu mmoja, mambo ya ndani Jumanne SaginiMikoa ya Tanga na Pwani ina mawaziri na manaibu waziri kama wote. Sidhani mkoa wa mara ama Manyara ama Simiyu una waziri hata mmoja.
Sijui atakua kajificha wapi saiviMh kule Tanga aliawasimamisha kazi madaktari Leo yamemkuta, daah inasikitisha sana
Inabidi j3 akaage kaziniSijui atakua kajificha wapi saivi
Jamaa ana uwezo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Rizi anabadilishwa badilishwa kupima upepo, tutakuja kushangazwaaaa very soon.
Hakuna miradi ya kuzindua,Wala viwanda,asipofsnya hv,atakuwa hasikiki,
Hizi kwenye political science,zinaitwa,"events planned for political gains"