Kilawo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 1,631
- 2,778
Kapimwe mkojo sio bureMimi naona hata yeye Mwenyewe ajiondoe tu maana heleweki anachofaya.
Yupo kama nyoka haeleweki kalala au amekaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapimwe mkojo sio bureMimi naona hata yeye Mwenyewe ajiondoe tu maana heleweki anachofaya.
Yupo kama nyoka haeleweki kalala au amekaa
Mbona hukuongea enzi mpo wengi?Mawaziri karibu wote ni ukanda wa pwani tu?
Kanda ya ziwa alikua mashimba nae amefyekelewa mbali
Matatizo ya uongozi ndani ya Ccm hauwezi kuondolewa na fikra za watu wale wale.Kwamba Mahera bado anaweza kuaminiwa kwenye Uongozi!!!?
Geita yupo BitekoYaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Huyu nae siku zake zinahesabikaGeita yupo Biteko
1. Biteko,Hatimaye Kanda ya ziwa, katubakishia ..Angelina mabula.
Tunajua ugonvi wake na Kanda ya ziwa.
Mashimba amefanyiwa fitina za muda mrefu na naibu wakeUchawi upo,pole Mashimba.Naibu waziri wako aliitaka sana nafasi yako hatimae kaipata. Ni kama Ridhiwan alivyokuwa anaitaka nafasi ya Angela Mabula.
Ni kweli, maji yanafuata mkondoSio wote watapata bahati ya kulishwa keki ya Taifa, kwakuwa ni ndogo sana. Wengine wataila kwenye pilau na wengine watakosa sana.
Wanaopata kulishwa keki hiyo ni wale ambao Baba zao au Mama zao walipata kulishwa pia.
Nyota yako ina kutuMama nikumbuke kwenye teuzi please
Bado Biteko yupoMawaziri karibu wote ni ukanda wa pwani tu?
Kanda ya ziwa alikua mashimba nae amefyekelewa mbali
Biteko ni kanda ya kaskaziniMawaziri karibu wote ni ukanda wa pwani tu?
Kanda ya ziwa alikua mashimba nae amefyekelewa mbali
Mkuu nilisoma mara tatu kujua kama kweli mteuliwa ni huyu huyu mchafuzi wa Uchaguzi. Hakika kuwa Kiongozi Tanzania ni rahisi sana kwa kigezo chochote kile. More importantly uwe mwana CCM mtiifu.Matatizo ya uongozi ndani ya Ccm hauwezi kuondolewa na fikra za watu wale wale.
Juzi kamteua Biswalo kuwa jaji baadae ana kuja kulalamika kapigwa pesa za mahakama.
Mahera kaharibu uchaguzi 2020. Leo ana pewa ukatibu mkuu badala ya kipelekwa mahakamani. Mambo ya aibu kabisa. Huwezi kuona huu ujinga mahali pengine zaidi ya Tanzania.
KATIBA MPYA NI SASA!!!
Huenda he was eying for this, ndo kaikosaKazingua na PhD yake
Kinyope moko huyo.Mwana FA ndani...!!! all the best wateule wote!!!
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app