Rais Samia afanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa

Rais Samia afanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa

Baraka Mina

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2020
Posts
586
Reaction score
590
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 28 Julai 2022 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi Makatibu Tawala wa mikoa 10 na wengine tisa kubakia kwenye vituo vyao vya kazi.

Uapisho wa viongozi hao utafanyika Ikulu Chamwino, Dodoma tarehe 01 Agosti 2022

FB_IMG_1658981738943.jpg
FB_IMG_1658981742430.jpg
FB_IMG_1658981745275.jpg
FB_IMG_1658981747999.jpg


Pia, soma: Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya
 
Wa kwetu Songwe Dk. Shekalaghe simuoni.

Rudia kuchapa
 
Safu inazidi kupangwa ili kukidhi kazi iendelee ya awamu hii ya sita.

Naona pia makatibu wakuu kadhaa wa mawizara wamehamishiwa kuwa RAS mikoani, hii inaashiria wizarani kuna nafasi za kufanyiwa uteuzi wa makatibu wakuu wa wizara.
 
Naomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Inategemea na wizara na mkoa wenyewe. Inategemea pia na aina ya kiongozi aliye palee juu. Inategemea pia endapo Putin atamshinda Mmarekani.

In short, inategemea mambo mengine.
 
Wizara ya fedha kuna jambo litawaka si muda mrefu sana.
 
Naomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Kuna mmoja alitoka kwenye unaibu boss wa taasisi ya wavaa suti zisizo na makoti mpaka ukatibu tawala wa limkoa likubwa lisilo na maendeleo.
 
Back
Top Bottom