Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Ni kupanda…Katibu Tawala wa Mkoa ana rank sawa na Katibu Mkuu wa WizaraNaomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kupanda…Katibu Tawala wa Mkoa ana rank sawa na Katibu Mkuu wa WizaraNaomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Mkuu mikoa nayo ni sehemu ya TAMISEMINi Kasi ya kichefuchefu Cha 23.3 au ni chefu gani tena.
Ale vichwa vya tamisemi vina nepotism ya kipuuzi sana
Good point [emoji117]Amepanda. Katibu Tawala wa Mkoa ni kama Katibu Mkuu wa Mkoa.
Amandla...
Kiuteuz unaweza Sema ameshuka lkn kimajukumu amepanda, coz Kwa Sasa anamamlka kamili kimkoaNaomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Wakimaliza apisha Wakuu wa Mikoa, wa Wilaya wanafuata ili wakaapishwe na Wakuu WapyaDaadek!
Leo bi mkubwa kachefukwa! Wakuu wa wilaya, leo salini rozali, upanga urudishwe kwenye ala kabla haujawafikia! [emoji41]
Tabora hiyo na huyo mtu jina la kati ni Robert [emoji1][emoji1] code imefungukaKuna mmoja alitoka kwenye unaibu boss wa taasisi ya wavaa suti zisizo na makoti mpaka ukatibu tawala wa limkoa likubwa lisilo na maendeleo.
Kaamua wapi anatupiga changa tusiimbe mishahara mipyaDaaah, Naona Mama kaamua aise duuuh
Na yule bwana njaaHalafu wale wale. AKina Eltwege na crocordile wenyewe kazi makofi tu
Unaanzisha uswahiba na watoto wao.Hayo yanawezekana kama una 'connection' na wenye nchi.
hawa wasomi wetu ie maprof na ma Dr. naona warudi tu vyuoni watufundishie watoto wetu na wadogo zetu kuliko hvi vyeo vya maafisa tawala etcRais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 28 Julai 2022 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi Makatibu Tawala wa mikoa 10 na wengine tisa kubakia kwenye vituo vyao vya kazi.
Uapisho wa viongozi hao utafanyika Ikulu Chamwino, Dodoma tarehe 01 Agosti 2022
View attachment 2306488View attachment 2306489View attachment 2306490View attachment 2306491
Naona simwoni alikuwa mtu peace Sana itakuwa kapigwa chiniKihamia RAS Arusha kapigwa chini au?
MakunguKuna mmoja alitoka kwenye unaibu boss wa taasisi ya wavaa suti zisizo na makoti mpaka ukatibu tawala wa limkoa likubwa lisilo na maendeleo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afrika raha sana.
Teuzi kama zote, yaani ukifa hata bila kuambulia teuzi moja wewe una mkosi