cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nasubiri mkeka wa ma DC, shogaa angu lazima awepo, maana anavyofurahi huyooo, hatareeeeh.Bi Mkubwa amechafukwa.....
Wamemchokoza nini sijui...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri mkeka wa ma DC, shogaa angu lazima awepo, maana anavyofurahi huyooo, hatareeeeh.Bi Mkubwa amechafukwa.....
Wamemchokoza nini sijui...
Yule jamaa ana mizizi hawamuweziWizara ya fedha kuna jambo litawaka si muda mrefu sana.
ni mule mule Buda.Naomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Kuna mikoa mfano Ruvuma haupo popote kwenye hio taarifaRais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 28 Julai 2022 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi Makatibu Tawala wa mikoa 10 na wengine tisa kubakia kwenye vituo vyao vya kazi.
Uapisho wa viongozi hao utafanyika Ikulu Chamwino, Dodoma tarehe 01 Agosti 2022
View attachment 2306488View attachment 2306489View attachment 2306490View attachment 2306491
Sweeping all the remainingYule aliekuwa mmbeba mkoba wa rais wetu hayati naona katupisha Mwanza
Kapelekwa Lindi, una lingine?Sweeping all the remaining
Kahamishiwa lindiYule aliekuwa mmbeba mkoba wa rais wetu hayati naona katupisha Mwanza
Mtu wa watuKahamishiwa lindi
Hapa tunaangalia wadhfa. Mkuu wa Mkoa ni mwakilishi wa Rais mkoani na kwa upande ana nguvu kubwa kuliko waziri. Mkuu wa Mkoa ni mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na ana mamlaka ya kumtia mtu ndani. Mkuu wa Mkoa ndie anahusika moja na raia wa mkoa tofauti na waziri. Hata makazi yake yana hadhi ya Ikulu ndogo. Ni hivyo hivyo kwa Katibu Tawala. Yeye ndie accounting officer wa mkoa na anasimamia utekelezaji wa miradi yote inayofanyika katika mkoa wake. Waziri ni kiongozi wa kitaifa lakini hana mamlaka kama ya waziri. Sehemu muhimu Waziri anapomzidi Mkuu wa Mkoa ni yeye kuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri. Kwa vile Naibu Waziri hawezi kujivunia hilo kwa sababu yeye sio sehemu ya Baraza la Mawaziri.Good point [emoji117]
Sikuwahi kufahamu Mkoa ni mkubwa kuliko Taifa. Nashukuru Mkuu kwa shule nzuri.
Lingine wakukumbuke kwenye mkeka wa ma das(kama upstairs upo vizuri) ili uache kushinda jfKapelekwa Lindi, una lingine?
[emoji38][emoji38][emoji38]Halafu wale wale. AKina Eltwege na crocordile wenyewe kazi makofi tu
Unahisi sina teuzi?Lingine wakukumbuke kwenye mkeka wa ma das(kama upstairs upo vizuri) ili uache kushinda jf
[emoji38][emoji38][emoji38]Kihamia RAS Arusha kapigwa chini au?
Wenye teuzi wapo bize kusoma miongozo kupitia madodoso/dokezo mafaili yaliyoko mezani kufuatilia taarifa za miradi mikakati kupokea maelezo na kuyatimiza na sio kutwa kushinda jfUnahisi sina teuzi?
Hapa tunaangalia wadhfa. Mkuu wa Mkoa ni mwakilishi wa Rais mkoani na kwa upande ana nguvu kubwa kuliko waziri. Mkuu wa Mkoa ni mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na ana mamlaka ya kumtia mtu ndani. Mkuu wa Mkoa ndie anahusika moja na raia wa mkoa tofauti na waziri. Hata makazi yake yana hadhi ya Ikulu ndogo. Ni hivyo hivyo kwa Katibu Tawala. Yeye ndie accounting officer wa mkoa na anasimamia utekelezaji wa miradi yote inayofanyika katika mkoa wake. Waziri ni kiongozi wa kitaifa lakini hana mamlaka kama ya waziri. Sehemu muhimu Waziri anapomzidi Mkuu wa Mkoa ni yeye kuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri. Kwa vile Naibu Waziri hawezi kujivunia hilo kwa sababu yeye sio sehemu ya Baraza la Mawaziri.
Amandla...
Kushinda jf? Basi sawaWenye teuzi wapo bize kusoma miongozo kupitia madodoso/dokezo mafaili yaliyoko mezani kufuatilia taarifa za miradi mikakati kupokea maelezo na kuyatimiza na sio kutwa kushinda jf