Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
OkKushinda jf? Basi sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkKushinda jf? Basi sawa
Mbeba maburungutu CashYule aliekuwa mmbeba mkoba wa rais wetu hayati naona katupisha Mwanza
Aende akajiajiri sasa mapori yapo mengi tu
Ndo maàna yakeKihamia RAS Arusha kapigwa chini au?
Kwa hali ilivyo bora ufurahi kuwa Mtu wa Masjala kuliko hizi teuzi za Mama...Nasubiri mkeka wa ma DC, shogaa angu lazima awepo, maana anavyofurahi huyooo, hatareeeeh.
Naona alistuka mapema. Amefungua shule ya vidudu inaitwa Elite, KorogweKihamia RAS Arusha kapigwa chini au?
Wahuni wanaita kukalia kiti tako moja ndio hukoKwa hali ilivyo bora ufurahi kuwa Mtu wa Masjala kuliko hizi teuzi za Mama...
Hali si hali...
Ni takwa la 'Remote Control' ya Msoga.Bi Mkubwa amechafukwa.....
Wamemchokoza nini sijui...
Huo ukuu wa wilaya unatumbuliwa soon kumbuka Mama alikuuliza unaimba saa ngapi na kazi zake unafanya saa ngapi?Unahisi sina teuzi?
Kamishna Dr. Musa Ali Musa 😳😳Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 28 Julai 2022 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi Makatibu Tawala wa mikoa 10 na wengine tisa kubakia kwenye vituo vyao vya kazi.
Uapisho wa viongozi hao utafanyika Ikulu Chamwino, Dodoma tarehe 01 Agosti 2022
View attachment 2306488View attachment 2306489View attachment 2306490View attachment 2306491
1. Mkuu wa Mkoa hawajibiki kwa waziri wa Tamisemi. Umesikia lini waziri wa Tamisemi amemkaripia au kumwadabisha Mkuu wa Mkoa yeyote? Mkuu wa Mkoa anawajibika kwa Rais tu na sio kwa Waziri yeyote.Waziri ni mkubwa kuliko mkuu wa mkoa,
Mkuu wa mkoa anaripoti kwa Waziri wa Tamisemi...
Mkuu wa mkoa anapeperusha bendera mkoani kwake tu, Waziri nchi nzima...
Waziri ndie serikali, yupo kwenye baraza la mawaziri lenye maamuzi makubwa kwa nchi....
Waziri pia anauwezo wa kumsweka mtu ndani, tushashuhudia hivyo sanaa....
Waziri ana diplomacy passport, mkuu wa mkoa hana...
Waziri ndie husaini mikataba ya uwekezaji
Waziri anakofia nyingi, mbunge pia
Walimfanyia ukatiri mkubwa sana ambao hatasahau na atalipiza au alifurahi 01732202Tabora hiyo na huyo mtu jina la kati ni Robert [emoji1][emoji1] code imefunguka
Watakosoaje na wagala wamejaa humo?mbona siwaoni watu wa dini hapa wakikosoa!!
Wewe ni mpumbavu kabisa, Nani kakuambia Mimi ni mkuu wa wilaya?Huo ukuu wa wilaya unatumbuliwa soon kumbuka Mama alikuuliza unaimba saa ngapi na kazi zake unafanya saa ngapi?
Ukishakua kwenye hizo nafasi unafanya kazi popote. Hata diwani alienda upolisi. Na hata Leo diwani akitolewa anaweza kwenda kuwa balozi. Mjifunze hizo nafasi sio za kugombaniwa unaweza kupelekwa popote paleWalimfanyia ukatiri mkubwa sana ambao hatasahau na atalipiza au alifurahi 01732202