dinongo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 814
- 1,054
Jamaa Wana udini Sana na Chuki kwa wenzao, hila Waislamu Wala hawana nongwa wao! Wanajua sote Ni watanzania,yoyote akiteuliwa sawa, waislamu wameipa mgongo dunia!Watakosoaje na wagala wamejaa humo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa Wana udini Sana na Chuki kwa wenzao, hila Waislamu Wala hawana nongwa wao! Wanajua sote Ni watanzania,yoyote akiteuliwa sawa, waislamu wameipa mgongo dunia!Watakosoaje na wagala wamejaa humo?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Wewe ni mpumbavu kabisa, Nani kakuambia Mimi ni mkuu wa wilaya?
Ukiwa katibu wa wizara unakuwa mtendaji wa wizara nchi nzima na ukiwa RAS unakuwa ni hapo hapo mkoani kwako, yaani kwa ubobezi wote huo kwenda kuhangaika na ratiba za kuwapokea wakubwa ukiwa kama mwenyeji wa mkoa kwa kweli ni kushuka cheo na pia ni matumizi mabaya ya taaluma.Naomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Hata manufaa yake siyaoni sana sana ni kupoteza pesa zetu sababu sioni ya hizi hamisha,teua ,ondoa ,ongeza,punguza na hakuna matokeo chanya yoyote.Hivi hizi tengua teua zina positive impact kweli?
Hahahahaaaa...huyo ' nshomile' mwacheni akalee wajukuu...
Walioachwa? Kihamia alikua Arusha sijamuonaRais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 28 Julai 2022 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi Makatibu Tawala wa mikoa 10 na wengine tisa kubakia kwenye vituo vyao vya kazi.
Uapisho wa viongozi hao utafanyika Ikulu Chamwino, Dodoma tarehe 01 Agosti 2022
View attachment 2306488View attachment 2306489View attachment 2306490View attachment 2306491
Msalika makungu huyo alikuwa ddg tissKuna mmoja alitoka kwenye unaibu boss wa taasisi ya wavaa suti zisizo na makoti mpaka ukatibu tawala wa limkoa likubwa lisilo na maendeleo.
Matumizi mabaya ya taaluma, nashukuru kwa kufahamu hiliUkiwa katibu wa wizara unakuwa mtendaji wa wizara nchi nzima na ukiwa RAS unakuwa ni hapo hapo mkoani kwako, yaani kwa ubobezi wote huo kwenda kuhangaika na ratiba za kuwapokea wakubwa ukiwa kama mwenyeji wa mkoa kwa kweli ni kushuka cheo na pia ni matumizi mabaya ya taaluma.
Mkuu July 2022 teuzi zilifanyika unatoa hongera leoHongera sana
😂😂😂Mkuu July 2022 teuzi zilifanyika unatoa hongera leo
Ova