Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Dr. Shekalaghe yupo wizarani. Naibu katibu mkuu afyaWa kwetu Songwe Dk. Shekalaghe simuoni.
Rudia kuchapa
Kushuka mkuuNaomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Inategemea na wizara na mkoa wenyewe. Inategemea pia na aina ya kiongozi aliye palee juu. Inategemea pia endapo Putin atamshinda Mmarekani.Naomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Amepanda. Katibu Tawala wa Mkoa ni kama Katibu Mkuu wa Mkoa.Naomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Kuna mmoja alitoka kwenye unaibu boss wa taasisi ya wavaa suti zisizo na makoti mpaka ukatibu tawala wa limkoa likubwa lisilo na maendeleo.Naomba kujuzwa kutoka kuwa naibu Katibu Mkuu wa Wizara na kwenda kuwa Katibu tawala wa mkoa hapa ni kupanda au kushuka?
Kuna Mama mmoja alikuwa RAS Pwani simuoniWa kwetu Songwe Dk. Shekalaghe simuoni.
Rudia kuchapa
Kuna Mama Mmoja alikuwa RAS Mkoa wa Pwani anaitwa Dr Dolphins D Magere hivi walimpelekaga wapi. Maana kwa umri ule sidhani kama amestaafuWa kwetu Songwe Dk. Shekalaghe simuoni.
Rudia kuchapa
Hayo yanawezekana kama una 'connection' na wenye nchi.Afrika haha sana.
Teuzi kama zote, yaani ukifa hata bila kuambulia teuzi moja wewe una mkosi
Halafu wale wale. AKina Eltwege na crocordile wenyewe kazi makofi tuAfrika haha sana.
Teuzi kama zote, yaani ukifa hata bila kuambulia teuzi moja wewe una mkosi