Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kustukiza katika soko la Kariakoo Dar es Salaam na kuongea na wafanyabisahara wa maeneo hayo

KARIAKOO

Rais Samia Suluhu amewatembelea na kuwasikiliza wanyabiashara wanaofanya biashara ndani ya soko la Kariakoo, baada ya matembezi Rais Samia alizungumza nao wote kwa pamoja.

Rais Samia: Nimeona nije nione mahali ambapo watanzania wengi wanafanya biashara, nimesikia baadhi ya malalamiko kwahiyo nikaona nije nione mlipo na mnavyofanya biashara zenu.

Nimefanya mahojiano na wachache ndani kati yenu lakini yamenipa sura ya soko linavyoendeshwa na sijui kama viongozi wa soko wako hapa.

Katika ziara yangu nimeona Serikali tusaidia kusimamia kufanya tathmini ya uendeshaji wa soko lote kwasababu hali niliyoiona ndani na hata nje kwenye vibanda hairidhishi.

Serikali pia kuanzia wakati mpendwa wetu Magufuli yupo hadi leo, nia yetu ni kusaidia wafanyabiashara wadogo wadogo. Naona usadizi kwa wafanyabiashara wadogo wadogo haupo ila kuna kutengeneza faida kwa uongozi wa soko au kwa shirika labda.

Jingine, nimeangalia bidhaa zilizomo ndani ni vurugu mechi, huoni bidhaa gani iko wapi, unakuta muuza vyerehani yupo katikati ya muuza madawa ya kilimo na dawa za panya na mambo mengine.

Wakati tunafanya tathmini ya soko, nimuagize na naambiwa waziri wa Tamisemi alitoa hayo maagizo, kusimamisha uongozi uliopo na tuwatake vyombo vya serikali vifanye uchunguzi kwanza halafu tutakuja kutoa maamuzi.

Kwa wakati huu naomba muendelee na biashara zenu kwa salama bila vurugu, serikali iko pamoja nanyi lakini na nyie ndugu zangu, wakati serikali inawabeba, wanasema bebweo hujikaza.

Wakati Serikali inawabeba nanyi jitahidini kufuata sheria zinazowekwa katika maeneo mlipo kwasababu nimeona njia zote zimezingirwa, vibanda kila pahali.

Kwahiyo nitakaa na uongozi wa Jiji nione njia nzuri ya kuwapanga na njia nzuri ya kugawa maeneo ya kufanyia kazi.

Vipi huyo mama Dodoma kahama? Maana siki hizi namsikia Dsm, Zenji
 
Mjerumani alitumia miaka 9 (1905-1914) kujenga reli ya kati (Dsm -Kigoma) wala siyo miaka mitano.
Assuming you are right. Alitumia miaka Tisa km 1400 which means kila mwaka alijenga zaidi ya kilomita Mia KWA TECNOLOJIA YA WAKATI HUO. NOW LOOK Hawa waturuki wametumia miaka mingapi kujenga km 190 na haijakamilika kwa tecnolojia ya 2021. HUONI KUNA SHIDA HAPO?
AMA NIONGEE KISUKUMA CHA TABORA NDAANI NDANI HUKO???
 
Eti ziara ya kushtukiza 😂😂😂😂😂😂 na wanyonge wanapiga makofi kibao!!! Bado tuna safari ndefu sana Mkuu.
Wewe uliona wapi Rais anatoa zawadi kwa wananchi katika mambo ambayo ni jukumu lake kuyafanya!Rais anapaswa kutumia kodi zinazotolewa na wananchi katika kuwapa huduma na haki.

Huyu yeye yuko busy kutoa zawadi katika mambo ambayo ni jukumu la Serikali kuyafanya.Yaani serikali inafanya uzembe katika kutoa huduma kisha inarudi na changa la macho la kutoa zawadi.Samia anakuja kuwa Rais wa ovyo zaidi kuwahi kuongoza Tanzania.
Af3Pn.jpg
 
Mashuka 200 si haba 😂😂😂😂😂😂 hospital husika ina vitanda vingapi? Yaani Mkuu mambo ya kustaajabisha sana eti anatoa zawadi!!!
Wewe uliona wapi Rais anatoa zawadi kwa wananchi katika mambo ambayo ni jukumu lake kuyafanya!Rais anapaswa kutumia kodi zinazotolewa na wananchi katika kuwapa huduma na haki.

Huyu yeye yuko busy kutoa zawadi katika mambo ambayo ni jukumu la Serikali kuyafanya.Yaani serikali inafanya uzembe katika kutoa huduma kisha inarudi na changa la macho la kutoa zawadi.Samia anakuja kuwa Rais wa ovyo zaidi kuwahi kuongoza Tanzania.
View attachment 1804769
 
Well and good.

Lakini kwa jinsi hawa wakandarasi wetu wa Kiswahili walivyo wababaishaji — Bila kuwakimbiza na kuwarusha kichura chura hatuwezi kufika popote!

Na sio tu kwa wakandarasi, lakini hata maofisini kwenye taasisi za umma, waswahili ni wababaishaji mno wanahitaji kupelekwa kwa kasi na kwa shinikizo.

Without some heavy reinforcement, you will achieve nothing.
Upole wake unakwenda sambamba na ukali wa Dr Mpango na wasaidizi wengine.

Huwezi kuwa na Rais moto na msaidizi moto lazima mmoja awe na sifa tofauti.
 
Tulicheleweshwa sana huku tunadanganywa na SGR na flyover ambazo hazitakaa ziishe.
SGR Ni Gbadolite Kama chattle.
Akili ya maandazi na mkate - short term (Afadhali kila mmoja wetu apewe mkate, maandazi na vitumua anywee chai yaishe! Kwani sisi tuna mizigo ya kusafirisha SGR?) - SGR Kwani itaishia lini! Mimi hainihusu - Nina umeme wa solar bulb 2! Umeme Wa bwawa la Nyerere wote wa nini!
Ndiyo mawazo yako mkuu!
 
Wewe uliona wapi Rais anatoa zawadi kwa wananchi katika mambo ambayo ni jukumu lake kuyafanya!Rais anapaswa kutumia kodi zinazotolewa na wananchi katika kuwapa huduma na haki.

Huyu yeye yuko busy kutoa zawadi katika mambo ambayo ni jukumu la Serikali kuyafanya.Yaani serikali inafanya uzembe katika kutoa huduma kisha inarudi na changa la macho la kutoa zawadi.Samia anakuja kuwa Rais wa ovyo zaidi kuwahi kuongoza Tanzania.
View attachment 1804769
Unajuaji kuhusiana na ufuatiliaji wake wa hapo hapo mwananyamala?.

Hapo kuna maagizo yametolewa juu ya watendaji watatu wabovu. Hatuwezi kuwaongelea kwa sababu tuna tabia ya kukosoa mpaka tunapitiliza.

Huyu sio kama RIP aliyependa kuwa na sura ya kibabe muda wote.
 
Wewe utakua MPUSH ambaye anaona SGR, BOMBARDIER na flyover ukijumlisha mataa ya barabarani ndio maendeleo. I am sorry for you.
Tafuta hela ili uone umuhimu wa kupanda ndege au kupita kwenye flyover n gari yako, wacha mboyoyo mingi😅.Hakuna umaskini mbaya hapa duniani kama umaskini wa akili.Tafuta maarifa ndio ujue umuhimu wa hiyo miundombinu😎
 
Unajuaji kuhusiana na ufuatiliaji wake wa hapo hapo mwananyamala?.

Hapo kuna maagizo yametolewa juu ya watendaji watatu wabovu. Hatuwezi kuwaongelea kwa sababu tuna tabia ya kukosoa mpaka tunapitiliza.

Huyu sio kama RIP aliyependa kuwa na sura ya kibabe muda wote.
Haujajibu nilichouliza!Unaelewa kuwa Rais ana jukumu la kutumia kodi za wananchi katika kuwapatia huduma na wala siyo zawadi?Yaani sisi wananchi tuchange hela zetu tukupe ili utuletee huduma halafu wewe udai kuwa unatupa zawadi kwa kutumia hela tulizochanga?!Samia ni Rais ambae ni hopeless kuwahi kutokea Tanzania!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Babu yako ndio alilaani?
Unaelewa kuwa Rais ana jukumu la kutumia kodi za wananchi katika kuwapatia wananchi huduma pamoja na haki na wala siyo zawadi?Yaani sisi wananchi tuchange hela zetu kupitia kodi kisha tukupe wewe Rais ili utuletee huduma pamoja na maendeleo halafu wewe udai kuwa unatupa zawadi kwa kutumia hela tulizochanga?!Halafu wananchi mpo tu kama mazuzu mnaona ni sawa!Kama hiyo siyo laana ni nini?Samia ni Rais ambae ni hopeless kuwahi kutokea Tanzania!
Af3Pn.jpg
 
Amefanya jambo jema kuja kuona maisha yalivyo,nafikiri itamsaidia kujua pia corona haipo.
kwa umati huo ingekuwepo tungekuwa tunasema mengine.
Nafikiri sasa ataamua kwa busara zaidi badala ya kuitegemea riporti iliyo andaliwa kupitia google.
 
Rais hana strategic plan eti anashtukiza, hii maana yake nini? kila rais ajaye anakuja na mambo yake mapya vile vibanda vimekosa kuwa controled earlier sasa watu vimeshakuwa ndio maisha yao leo uje uwambie hameni sijui mwende wapi na wapi., hakuna mfumo mzur wa kiutawala.,

Mwendazake aliwambia ata katika baraza ya mkuu wa mkoa kama mtu anahisi biashara yake inakwenda mtu apange biashara zake sasa leo eti watafutiwe maeneo wakati pale kariakoo ndio business place.,

Ajira wameshindwa kutoa lakini wanajifanya wajanja ku-control waliojiajiri, walimu elfu 6 ambao watatoa ajira kwenye yenye populatiaon milioni 60 karibu it is good for nothing.
HUNA AKILI KICHWANI. MATAKO YA BIBI YAKO.
 
Rais hana strategic plan eti anashtukiza, hii maana yake nini? kila rais ajaye anakuja na mambo yake mapya vile vibanda vimekosa kuwa controled earlier sasa watu vimeshakuwa ndio maisha yao leo uje uwambie hameni sijui mwende wapi na wapi., hakuna mfumo mzur wa kiutawala.,

Mwendazake aliwambia ata katika baraza ya mkuu wa mkoa kama mtu anahisi biashara yake inakwenda mtu apange biashara zake sasa leo eti watafutiwe maeneo wakati pale kariakoo ndio business place.,

Ajira wameshindwa kutoa lakini wanajifanya wajanja ku-control waliojiajiri, walimu elfu 6 ambao watatoa ajira kwenye yenye populatiaon milioni 60 karibu it is good for nothing.
Mkuu kunywa maji kidogo, rudi kwenu bush tu zama zenu za wanyonge zimeshapita maana mlijisahau sana..yaan mtu anakodi frame na mikodi kibao afu nyie mnapanga tu bidhaa mbele yake
 
Tafuta hela ili uone umuhimu wa kupanda ndege au kupita kwenye flyover n gari yako, wacha mboyoyo mingi😅.Hakuna umaskini mbaya hapa duniani kama umaskini wa akili.Tafuta maarifa ndio ujue umuhimu wa hiyo miundombinu😎
You are a disgrace to the sukuma community.
 
Haujajibu nilichouliza!Unaelewa kuwa Rais ana jukumu la kutumia kodi za wananchi katika kuwapatia huduma na wala siyo zawadi?Yaani sisi wananchi tuchange hela zetu tukupe ili utuletee huduma halafu wewe udai kuwa unatupa zawadi kwa kutumia hela tulizochanga?!Samia ni Rais ambae ni hopeless kuwahi kutokea Tanzania!
Hayati JPM alikuwa anatembea na mfuko wa pesa anawapa kina Peter Tino na nyingine anatoa mchango wa ujenzi wa vyoo vya sekondari mikoani, zile zilikuwa pesa zake binafsi au kodi zetu?.
 
Back
Top Bottom