Hapo sass tutakufa njaaa mwanawaneAta decade karibu ifutwe tu
Hili nalo langoli aachane nalo. Halina faida.vipi asha achakugawa mil 700 kwa kila gori
Nitajie umuhimu wa hizo shereheHapo sass tutakufa njaaa mwanawane
Distribution of resources.Nitajie umuhimu wa hizo sherehe
Mwamba jiweRais Samia Suluhu Hassan ametangaza kufuta sherehe za miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara na badala yake fedha zilizotengwa zitumike kusaidia huduma za kijamii.
Amesema fedha zilizotengwa katika kila taasisi kwa ajili ya maadhimisho hayo zielekezwe katika kutoa huduma za kijamii, huku akieleleza kila mkoa uhakikishe wilaya zake zinafanya shughuli za kijamii, ikiwemo upandaji miti, usafi wa mazingira kwenye maeneo ya kijamii kama masoko, hospitali, kumbi za wazee na wenye mahitaji maalumu.
Hayo yameelezwa leo Jumatano, Desemba 4, 2024 na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika kikao kazi cha mawaziri kilichofanyika ukumbi wa Hazina jijini Dodoma. "Sherehe za mwaka huu hazitakuwa na gwaride na shughuli nyingine za kitaifa".
Amesema Serikali inatoa wito kwa wananchi kushiriki katika shughuli hizo, ili kujivunia sifa za kipekee ambazo zimetokana na Uhuru wetu.
"Ninatoa rai kwa wakuu wote wa mikoa ya Tanzania Bara, kuzingatia na kufuata ipasavyo maelekezo mahsusi yaliyotolewa na Serikali ili kuhakikisha maadhimisho haya yanafanyika kwa ufanisi kwa lengo la kuuenzi Uhuru wetu."
View attachment 3168740
Which???😀😀naomba nifungue kichwa kwasababu bajeti ya mwaka si IPO inagusa resourcesDistribution of resources.
Sasa hapo mwanawane sii kuna pa diem so watu wanasafirisha vimada wazee wa bolt boda boda kama sie hapa tunafaidika ujue.Which???😀😀naomba nifungue kichwa kwasababu bajeti ya mwaka si IPO inagusa resources
Daah haya mkuu,naona resources ni nyingiSasa hapo mwanawane sii kuna pa diem so watu wanasafirisha vimada wazee wa bolt boda boda kama sie hapa tunafaidika ujue.
Wazazi wa vimada nao wanatumiwa japo tujisenti tuwili tutatu.
Na zitapigwa haswa!Sawa hizo hela zifanye hicho kilichokusudiwa,sio ziingizwe kwenye mahesabu mengine wajanja wazipige...
Hivi amefuta au ameelekeza namna tofauti ya kusherehekea tofauti na ile iliyozoeleka ya magwaride?Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kufuta sherehe za miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara na badala yake fedha zilizotengwa zitumike kusaidia huduma za kijamii.
Amesema fedha zilizotengwa katika kila taasisi kwa ajili ya maadhimisho hayo zielekezwe katika kutoa huduma za kijamii, huku akieleleza kila mkoa uhakikishe wilaya zake zinafanya shughuli za kijamii, ikiwemo upandaji miti, usafi wa mazingira kwenye maeneo ya kijamii kama masoko, hospitali, kumbi za wazee na wenye mahitaji maalumu.
Hayo yameelezwa leo Jumatano, Desemba 4, 2024 na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika kikao kazi cha mawaziri kilichofanyika ukumbi wa Hazina jijini Dodoma. "Sherehe za mwaka huu hazitakuwa na gwaride na shughuli nyingine za kitaifa".
Amesema Serikali inatoa wito kwa wananchi kushiriki katika shughuli hizo, ili kujivunia sifa za kipekee ambazo zimetokana na Uhuru wetu.
"Ninatoa rai kwa wakuu wote wa mikoa ya Tanzania Bara, kuzingatia na kufuata ipasavyo maelekezo mahsusi yaliyotolewa na Serikali ili kuhakikisha maadhimisho haya yanafanyika kwa ufanisi kwa lengo la kuuenzi Uhuru wetu."
View attachment 3168740
Kama ya mapinduzi zanzibar itatokana na bajeti yao wenyewe wazenji hakuna tatizo hapo.
Tanganyika ilishapotezwa siku nyingi.Kwa hiyo Tanganyika ndiyo mnaipotezea hivyo mna ita Tanzania bara mbona Zanzibar yenyewe hamsemi Tanzania visiwani