Rais Samia aipa Zambia ardhi hekari 20 katika bandari kavu Kwala mkoa wa Pwani

Bahati mbaya baadhi yenu hamjui hali au changamoto za biashara duniani. Kwani hizo hekta zilizotolewa kwa Zambia si ni kwa manufaa ya Tanzania pia ? Tafakari.
Shida sio hekari. Shida ni kitu kingine hujakijua.
Zambia akipewa eneo kwanza itachagiza biashara sababu zambia anatumia 34% kama tulivvoelezwa. Hivi mdau mkubwa kama huyu hekta 20 awe anahifdhia mizogo yake nayo ni shida? Subir uwe laisi wewe bas uje utengue.
 
Ujinga sana kujadili ardhi ya ekari 20 Kwala ambayo thamani yake hata milioni mia haifiki Kwa biashara inayoingiza mabilioni ya shilingi na ajira Kwa Watanzania. Kumbuka Msumbiji na AFRIKA kusini nao wanahitaji Hilo soko .Tena mjadala unaingiza Uzanzibar
 
Simuelewi huyu rais. Nani kampa kibao cha kugawa ardhi ya watanzania kwa Zambia?
Halafu watu wengi hawajui, wale wazambia ni waarabu kwa asili, watakuja kutuletea al-shababu hapa!
 
Halafu watu wengi hawajui, wale wazambia ni waarabu kwa asili, watakuja kutuletea al-shababu hapa!
Shida niliyosema ndio hii. Imedhiirika kweupe. Nilisema shida sio hekar. Shida ni kitu kingine. Sasa kimewekwa
 
Tatizo lako wewe hujasoma seminari, ndio maana huelewi!
 
Mkuu wengi wanatazama mambo kihisia hasa Uzi kama huu,comment ya kwanza huwa INA athari sana kwenye mtiririko mzima wa mjadala. Watanzania tunapenda lawama sana.
"Mteja Zambia hapa amekamatwa mazima hawezi geuka"
That's the means of lobbying!
-force iwekwe jinsi ya kulobby DRC ili naye asiwe kigeugeu maana anakatabia ka kugeuka geuka!
 
Mwambukusi na chadema hawajaliona hili ?

Ila nauliza raia wa TZ anaweza kuomba ekari 20 akapewa bila ya masharti ya kukatiza tamaa ?
 
Ni sehemu ya lengo la kujenga bandari kavu ya Kwala.

Kule bandarini hakuna ardhi ya kutosha kuwapa watumiaji bandari wakubwa mfano walivyopewa akina Malawi Cargo.

Ni kuifanya bandari ya Dar iwe efficient zaidi ili watumiaji wakubwa kama Zambia tuendelee kubaki nao.
 
Mwambieni mama hata mimi nina uhitaji wa kipande cha ardhi kwaajili ya uwekezaji. Nahitaji hekari 10 pekee, mimi kama mzawa wa nchi hii.
 
Ni hekta 20(ekari 50) sio ekari 20 wewe kima wa chadomo,shule ukienda kukuza nywele?

Mwisho sio Zambia tuu hata DRC wamepewa na sio Tanzania tuu hata Kenya wametoa Kwa Wateja wao wa Bandari
 
Bahati mbaya baadhi yenu hamjui hali au changamoto za biashara duniani. Kwani hizo hekta zilizotolewa kwa Zambia si ni kwa manufaa ya Tanzania pia ? Tafakari.
Hayo majinga usiwe unahangaika kuyajibu,kimsingi hayana akili.

Mwisho sio tuu Tanzania Imetoa hata Kenya wametoa Kwa DRC,Uganda nk
 
Unajaza maji kwenye net
 
Mbona eka 20 ni kidogo sana hizo kwa mizigo ya Zambia?

Mimi naona wangepewa hekta 20 kwa uchahe. Mzigo wa Zambia ni biashara kubwa sana.
Hakuna mahali Rais katamka ekari Bali hekta 20 sawa na ekari 50
 
hawatafakari kuwa hiyo ni long term investment na ni kama kivitio kwa Zambia kutumia bandari ya Dar.

Tatizo mnadharau maoni mengine mnaona ya kwenu kwenu ndio sahihi. Acheni watu waongee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…