Shida sio hekari. Shida ni kitu kingine hujakijua.Bahati mbaya baadhi yenu hamjui hali au changamoto za biashara duniani. Kwani hizo hekta zilizotolewa kwa Zambia si ni kwa manufaa ya Tanzania pia ? Tafakari.
Halafu watu wengi hawajui, wale wazambia ni waarabu kwa asili, watakuja kutuletea al-shababu hapa!Simuelewi huyu rais. Nani kampa kibao cha kugawa ardhi ya watanzania kwa Zambia?
Shida niliyosema ndio hii. Imedhiirika kweupe. Nilisema shida sio hekar. Shida ni kitu kingine. Sasa kimewekwaHalafu watu wengi hawajui, wale wazambia ni waarabu kwa asili, watakuja kutuletea al-shababu hapa!
Tatizo lako wewe hujasoma seminari, ndio maana huelewi!Ujinga sana kujadili ardhi ya ekari 20 Kwala ambayo thamani yake hata milioni mia haifiki Kwa biashara inayoingiza mabilioni ya shilingi na ajira Kwa Watanzania. Kumbuka Msumbiji na AFRIKA kusini nao wanahitaji Hilo soko .Tena mjadala unaingiza Uzanzibar
"Mteja Zambia hapa amekamatwa mazima hawezi geuka"Mkuu wengi wanatazama mambo kihisia hasa Uzi kama huu,comment ya kwanza huwa INA athari sana kwenye mtiririko mzima wa mjadala. Watanzania tunapenda lawama sana.
Kivipi mkuuNyerere alijifanya mjanja kumbe alikuwa mpumbavu
Una akili"Mteja Zambia hapa amekamatwa mazima hawezi geuka"
That's the means of lobbying!
-force iwekwe jinsi ya kulobby DRC ili naye asiwe kigeugeu maana anakatabia ka kugeuka geuka!
Ni hekta 20(ekari 50) sio ekari 20 wewe kima wa chadomo,shule ukienda kukuza nywele?Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imetenga eneo la hekari 20 za ardhi katika Bandari kavu eneo la Kwala Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kuhudumia mizigo kutoka Zambia ambapo amesema hiyo ndio zawadi ya Tanzania kwa Zambia katika wakati huu wa sherehe za Uhuru wa Zambia.
Rais Samia amesema hayo kwenye hotuba yake akiwa ni Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Zambia iliyofanyika Ikulu ya Lusaka, Zambia.
“Kwa nia ya kuwaweka Watu wa Zambia kama kipaumbele katika mipango yetu na kutokana na azma yetu ya kurahisisha biashara kati ya Nchi hizi mbili, Serikali yangu imefanya maamuzi ya kutenga eneo la hekta 20 katika Bandari kavu ya Kwala katika ukanda wa pwani ya Tanzania kwaajili ya shehena maalum kwaajili ya Zambia”
“Zambia itakuwa na uwezo wa kuhifadhi bidhaa kwa muda mrefu na pia hatua hii itaondoa msongamano, ucheleweshaji na kupunguza gharama za kufanya biashara nchini Zambia ikipelekea kukuza biashara kati ya Nchi zetu mbili na kutengeneza fursa za kibiashara kwa Wananchi kutokea Zambia na Tanzania na hii ni zawadi yetu kutoka Tanzania katika wakati huu wa sherehe za uhuru wa Taifa lenu”
Zambia ni Mteja mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam, ikichukua asilimia 34 ya mizigo yote inayopitia Bandari hiyo kwenda nje ya Tanzania.
Millard Ayo
----
Maoni yangu
Hadi tukifika mwaka 2030 Tanganyika itabidi kuomba uhuru upya ili tujikomboe kwa sababu nchi nzima itakuwa mikononi mwa wachache.
Je, kwanini hakutoa bure eneo la zanzibar!
Unapokuwa na wateja ambao wapo guaranteed, inakurahisishia kupanga mipango yako kwa uhakika zaidi.Una akili
Hayo majinga usiwe unahangaika kuyajibu,kimsingi hayana akili.Bahati mbaya baadhi yenu hamjui hali au changamoto za biashara duniani. Kwani hizo hekta zilizotolewa kwa Zambia si ni kwa manufaa ya Tanzania pia ? Tafakari.
Kachukuwe 100 morogoro pasinashaka!Mwambieni mama hata mimi nina uhitaji wa kipande cha ardhi kwaajili ya uwekezaji. Nahitaji hekari 10 pekee, mimi kama mzawa wa nchi hii.
Unajaza maji kwenye netNi sehemu ya lengo la kujenga bandari kavu ya Kwala.
Kule bandarini hakuna ardhi ya kutosha kuwapa watumiaji bandari wakubwa mfano walivyopewa akina Malawi Cargo.
Ni kuifanya bandari ya Dar iwe efficient zaidi ili watumiaji wakubwa kama Zambia tuendelee kubaki nao.
Amewapa Kwa Matumizi ya mizigo Yao hakuna Kodi ya kulipaMi sijaelewa amewapa yote yotee au amewakodisha
Hakuna mahali Rais katamka ekari Bali hekta 20 sawa na ekari 50Mbona eka 20 ni kidogo sana hizo kwa mizigo ya Zambia?
Mimi naona wangepewa hekta 20 kwa uchahe. Mzigo wa Zambia ni biashara kubwa sana.
hawatafakari kuwa hiyo ni long term investment na ni kama kivitio kwa Zambia kutumia bandari ya Dar.