Rais Samia aipa Zambia ardhi hekari 20 katika bandari kavu Kwala mkoa wa Pwani

Rais Samia aipa Zambia ardhi hekari 20 katika bandari kavu Kwala mkoa wa Pwani

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imetenga eneo la hekari 20 za ardhi katika Bandari kavu eneo la Kwala Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kuhudumia mizigo kutoka Zambia ambapo amesema hiyo ndio zawadi ya Tanzania kwa Zambia katika wakati huu wa sherehe za Uhuru wa Zambia.

Rais Samia amesema hayo kwenye hotuba yake akiwa ni Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Zambia iliyofanyika Ikulu ya Lusaka, Zambia.

“Kwa nia ya kuwaweka Watu wa Zambia kama kipaumbele katika mipango yetu na kutokana na azma yetu ya kurahisisha biashara kati ya Nchi hizi mbili, Serikali yangu imefanya maamuzi ya kutenga eneo la hekta 20 katika Bandari kavu ya Kwala katika ukanda wa pwani ya Tanzania kwaajili ya shehena maalum kwaajili ya Zambia”

“Zambia itakuwa na uwezo wa kuhifadhi bidhaa kwa muda mrefu na pia hatua hii itaondoa msongamano, ucheleweshaji na kupunguza gharama za kufanya biashara nchini Zambia ikipelekea kukuza biashara kati ya Nchi zetu mbili na kutengeneza fursa za kibiashara kwa Wananchi kutokea Zambia na Tanzania na hii ni zawadi yetu kutoka Tanzania katika wakati huu wa sherehe za uhuru wa Taifa lenu”

Zambia ni Mteja mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam, ikichukua asilimia 34 ya mizigo yote inayopitia Bandari hiyo kwenda nje ya Tanzania.

Millard Ayo

----
Maoni yangu

Hadi tukifika mwaka 2030 Tanganyika itabidi kuomba uhuru upya ili tujikomboe kwa sababu nchi nzima itakuwa mikononi mwa wachache.

Je, kwanini hakutoa bure eneo la zanzibar!

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1717060764643594360?t=F9NG4P1x89uD3LDZEBOyJA&s=19
 
Sijui ametumia akilii gani. Atagawaje ardhi yetu kwa nchi yenye ardhi utadhani mali yake binafsi. Rais hana ardhi bali ni msimamizi tu. Kumbe ndiyo maana anagawa bandari zetu! Kama Zambia wanafanya biashara walipaswa kununua siyo kuzawadiwa. Inakuwaje wageni wamilki ardhi wakati wana diaspora hawaruhusiwi?
Tumia Akili Ata Kiasi Cha Kisude cha Soda Kufikiri.
Unapiizungumzia Zambia Kwanza Tambua Ni Nchi Usiifananishe na Mtu Mmoja mmoja.
Pili Tambua Nchi Nyingi Zinazotumia Bandari Yetu Zinapewa Maaeneo Katika Bandari Zetu Na hata Maeneo Yakiuwekezaji Ili Kuendelea Kuwapa Ushawishi Na Urahisi Wakutumia Bandari Yetu.
Kuna Maeneo Kurasini Yanaitwa MALAWI CARGO.
KUNA ZAM CARGO NA MENGINEYO.
Haya Maeneo zilipewa nchi ya Malawi Na Zambia. Wanashusha nakupakia Mizigo Inayoenda Katika Nchi Zao.
Hili siyo Mara ya kwanza hizo Nchi kupewa maeneo katika nchi yetu.
Ata mbeya ukifika ipo Malawi cargo.
 
Nimegundua humu ndani wajinga wamejazana kazi yao ni kulaumu kila kitu kwa sababu tu uelewa finyu,sijui mtu akisikia taarifa kama hii mawazo yake anayapeleka wapi kwa sababu mambo hayo hayakuanza leo lakini watu wasifikiri eneo kama Zambia wanaweza kuliuza au kuliweka dhamana.
Toka enzi ya Nyerere Malawi walipewa eneo pale kurasini kwa kazi kama hiyo japo sina uhakika kama bado wanalitumia au la lakini nchi kadhaa wakati wakupigania uhuru wao watu wao walikuja na wakapewa ardhi katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu ili kufanyia shughuli zao lakini hatukuwahi kumlaumu Nyerere kwanini amegawa ardhi yetu tofauti na sasa ambapo vijana wengi wanajifanya wajuwaji kumbe hawajui chochote.
Wewe ni mgeni na jf? Hili ni jukwaa la Wapinzani Sasa hivi wamepata wafuasi wao ambao ni Sukuma gang wote ni hater wa Samia
 
Tumia Akili Ata Kiasi Cha Kisude cha Soda Kufikiri.
Unapiizungumzia Zambia Kwanza Tambua Ni Nchi Usiifananishe na Mtu Mmoja mmoja.
Pili Tambua Nchi Nyingi Zinazotumia Bandari Yetu Zinapewa Maaeneo Katika Bandari Zetu Na hata Maeneo Yakiuwekezaji Ili Kuendelea Kuwapa Ushawishi Na Urahisi Wakutumia Bandari Yetu.
Kuna Maeneo Kurasini Yanaitwa MALAWI CARGO.
KUNA ZAM CARGO NA MENGINEYO.
Haya Maeneo zilipewa nchi ya Malawi Na Zambia. Wanashusha nakupakia Mizigo Inayoenda Katika Nchi Zao.
Hili siyo Mara ya kwanza hizo Nchi kupewa maeneo katika nchi yetu.
Ata mbeya ukifika ipo Malawi cargo.
Mwambie sio Zambia tuu waliopewa bali hata DRC Congo na hawajapewa Tzn tuu hata Kenya wamepewa Kwa Ajili ya ushindani wa kibiashara
 
Tumia Akili Ata Kiasi Cha Kisude cha Soda Kufikiri.
Unapiizungumzia Zambia Kwanza Tambua Ni Nchi Usiifananishe na Mtu Mmoja mmoja.
Pili Tambua Nchi Nyingi Zinazotumia Bandari Yetu Zinapewa Maaeneo Katika Bandari Zetu Na hata Maeneo Yakiuwekezaji Ili Kuendelea Kuwapa Ushawishi Na Urahisi Wakutumia Bandari Yetu.
Kuna Maeneo Kurasini Yanaitwa MALAWI CARGO.
KUNA ZAM CARGO NA MENGINEYO.
Haya Maeneo zilipewa nchi ya Malawi Na Zambia. Wanashusha nakupakia Mizigo Inayoenda Katika Nchi Zao.
Hili siyo Mara ya kwanza hizo Nchi kupewa maeneo katika nchi yetu.
Ata mbeya ukifika ipo Malawi cargo.
Tuekezee na DP world
 
Mbona Zanzibar wana eneo huku Tanganyika na hamlalamiki kwani Zanzibar siyo nchi ya jirani.
 
Wewe huwajui hawa watu wanavyopotosha mambo, Zambia wametengewa eka 20 ndani ya bandati kavu kwa mizigo yao, malipo ya huduma watazopatiwa kama kawaida.
Mmmm, naona watu mlioenda shule kusomea ujinga mmeanza kujitokeza moja baada ya mwingine!

FaizaFoxy, hekta moja ni sawa na eka karibia mbili na nusu...Zambia kapewa eka 20 sawa sawa na ekari karibia 50!

Au mnapotosha makusudi? Kwa malengo yapi?
 
Huyu mama inaonekana ana athiri ya kugawa kila kitu asee!! Ngorongoro, Bandari, Airport, ardhi.......!
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imetenga eneo la hekari 20 za ardhi katika Bandari kavu eneo la Kwala Mkoa wa Pwani

Hii ni hatua nzuri, tukisoma historia ya treaties kwa nchi zisizo kuwa na bahari kuingia mkataba kupewa gati ya bandari au bandari kavu, kununua hisa katika njia ya reli pia Tanganyika iliwahi kuwa na vituo vya nchi za nje maarufu kama Belbases yaani vituo vya wabelgiji kwa ajili ya Congo, Rwanda na Burundi kusafirishia mizigo n.k Congo DR, Rwanda na Burundi wangepewa maeneo au vituo kwa treaties maalum ikiwemo uwekezaji bandari ya Dar es Salaam.

MIRADI MIKUBWA YA SGR RELI MPYA, BANDARI ZA KIGOMA NA DSM ZIONDOKANE NA 'CHOYO'

Paul Kagame anaelewa alichoongea kwa undani hasa ukirejea makubaliano baina ya wakoloni wa ki-Belgiji na wale wa Kiingereza.


Wakoloni hawa wa Belge na shujaa wao gènèral Tombeur wa vita ya (Bataille de) Tabora, baada ya kushirikiana na Uingereza vita kuu 1914 -1918 kumshinda Mjerumani huku majeshi ya ki- Belgiji yakiwa yameweka makao yao makuu mjini Tabora hii ya sasa Tanzania wakati ule German East Afrika ilibidi mabwana wakubwa hawa wa ulaya wasaini mkataba.

1698222823618.png


Ubelgiji ilitaka kuendelea kukalia maeneo ya Tabora, Urambo, Kigoma, Biharamulo waBelge walifika na majeshi yao mpaka jimbo la Morogoro kilometa 200 toka bandari ya DSM lakini ikajiimarisha zaidi magharibi makao yakiwa Tabora na mtaji huu ukawa kama sehemu ya koloni lake ikimujuisha pamoja na nchi za Urundi-Ruanda, Free Congo ya mfalme Leopold. Belbases - Une page oubliée du colonialisme Belge en Afrique
Tabora, German East Africa

Belgian Congo and the Tabora Offensive (1916)​



The Tabora Offensive was an Anglo-Belgian offensive into German East Africa, which ended with the Battle of Tabora in the north-west of German East Africa, it was part of the East African Campaign in World War I.

Source: Belgian Congo

Intocht-tabora-19-september-1916.jpg
Belgo-Congolese troops of the Force Publique after the Battle of Tabora, 19 September

Ubelgiji ikaamua kutumia maeneo hayo iliyoyakalia ndani ya Ujerumani ya Afrika Mashariki baadaye ikapewa jina Tanganyika baada ya kuwafurusha waJerumani katika vita ya kwanza ya dunia upande huu wa Afrika ya Mashariki 1914 -1918, kama sehemu ya mtaji wao ktk mazungumzo kufungulia njia ya kufikia pwani ya bahari ya Hindi kupitia reli ya kati hadi bandari ya Dar es Salaam.
Hivyo wakakubaliana na Waingereza kuwa iwapo Ubelgiji itaondoa majeshi yake toka Tabora, Urambo, Uvinza n.k basi makoloni ya Ubelgiji ya Burundi, Rwanda na lile kubwa la Free Congo (DR Congo) upande wa mashariki watapewa hadhi maalum ya kutumia reli ya kati toka Kigoma mpaka Dar es Salaam bila usumbufu wowote. Ubelgiji itachangia uimarishaji wa gati ktk bandari za Kigoma na DSM ambazo hazitatozwa ushuru wowote na kurahishisha biashara baina ya makoloni ya Ubelgiji pande hii ya Maziwa Makuu na dunia kupitia bahari.

Gati hizi zilijulikana kama BelBases na kampuni maarufu ya Belgium ya AMI ilipewa haki miliki za kufanya jambo hilo la eneo huru la kusafirisha na kuingiza bidhaa toka ngambo au kuuza ngambo kupitia reli ya kati na bandari za Kigoma na DSM ktk gati exclusive kwa matumizi ya waBelgiji.


Hivyo mh. Rais Paul Kagame anashangaa kwanza Tanzania ilivyo na geopolitical power kibiashara kuto copy aina ya uendeshaji na uwekezaji wa walivyofanya waBelgiji /Waingereza kupitia BelBases AMI kwa kushirikisha nchi jirani wawekeze ktk reli ya SGR reli mpya DSM - Kigoma-Burundi-Rwanda na DR Congo. Kwa kuwashirikisha wawekeze basi nchi hizo zingetumia bandari ya Dar es Salaam na mifumo ya reli nchini kwani Rwanda, Burundi na DR Congo wangekuwa wadau wa maendeleo na wangeachana kupitisha mizigo Uganda, Kenya hadi bandari ya Mombasa kwa kuwa wangekuwa wajinga waache kutumia uwekezaji wao wawafaidishe wengine, huku kubwa ni kuwa mkataba wa ulioanzisha BelBases ulionesha mafanikio makubwa.
The Belbases: a little-known achievement of Belgian expansion in East Africa
Author:Darcis, LeonISNI
Year:2007
Periodically:Bulletin of the sessions = Mededelingen der zittingen
Volume:53
Issue:2
Pages:131-146
Language:French
Geographic terms:TanzaniaBelgium
_
Subjects:ports
colonial history
Abstract:The 'Belbase' (Belgian base) concept originated in 1914-1918, during the extension of the European war to the German overseas possessions. In East Africa, the Germans occupied Tanganyika, Urundi (Burundi) and Ruanda (Rwanda). Their 'liberation' by the allied powers, including Belgium, resulted in the Treaty of Versailles in 1919. The former German territories were initially entrusted unilaterally to Great Britain. Belgium had, however, 'liberated' Ruanda, Urundi and part of Tanganyika as far as Tabora. She claimed her due. The mandates of Ruanda and Urundi were entrusted to him. In addition, it obtained transit facilities for its goods through the ports of Tanganyika. Matadi, on the Atlantic coast, does not was more thus the only maritime port of Congo: with the birth of Belbase, an autonomous maritime frontage on the Indian Ocean was offered to him. This article examines the birth of the Belbase concept; the creation of the Belbase Company; modernization of Belbase facilities; and the consequences of the independence of territories managed by foreign powers. Bibliogr. [Abstract from the journal, adapted : Source : AfricaBib | Les Belbase: une réalisation peu connue de l'expansion belge en Afrique de l'Est

Mkataba ulioanzisha BelBases barani Afrika ulikuwa wa kuheshimika kama mikataba ya bahari nyeusi kule Turkey Bosphorus Strait (the Montreux convention) Implementation of the Montreux Convention / Rep. of Turkey Ministry of Foreign Affairs ambapo meli nyingi zinatumia kwa uhakika huku kuna kuaminika kimataifa.

Tanzania ingeweza kufufua makubaliano ya namna hiyo ya uwekezaji jumuishi baina ya mataifa ya eneo hili yangeigeuza bandari ya Dar es Salaam kuwa bandari mojawapo kubwa ki-operesheni kwa kupakua na kupakia mizigo, kuigeuza Dar es Salaam kuwa Dubai ya Afrika Mashariki kwa kuvutia wawekezaji na namna tunavyoheshimu mikataba ya kimataifa n.k kama zifanyavyo nchi za bandari za Singapore, Dubai n.k

Nini kifanyike?

Wazo la rais Paul Kagame linaweza kukabaliwa kwa kuwaingiza Rwanda katika ubia, nini kinashindikana ikiwa airport ya KIA Klilimanjaro Airports tumewakaribisha OmanAirports kuwa wabia ktk uendeshaji.
Nini sababu ya sisi majirani wa kihistoria na tamaduni kuogopana kuendesha miradi mikubwa ya reli na bandari mpaka twende alika kampuni ya India, China au South Afrika waje waendeshe wakati kuna mfano hai kuwa kulikuwepo ukaribu wa uendeshaji wa reli, gati na bandari baina ya nchi hizi jirani na zilisaini mikataba iliyona manufaa kwa eneo hili la Afrika hususan Ruanda-Urundi-Tanganyika na Free Congo? Tuache chonyo kwa kisingizio cha uzalendo uchwara wakati diplomasia ya kweli ya kiuchumi kupitia mikataba maarufu wa mwaka 1921 kama ya Belbases Agence belge de L'Est Africain. Belbase.

Le gènèral Tombeur et Bataille de Tabora


22. Exchange of notes accepting the protocol signed at Kigoma, on 5 august 1924, relative to the Tanganyika-Ruanda-Urundi frontier. Brussels, 17 May 192646,47​

(46League of Nations, Treaty Series, vol. 54, p. 239.)

(47See also the Agreement between the United Kingdom and Belgiun regarding Water Rights on the Boundary between Tanganyika and Ruanda-Urundi, London, 22 November 1934, in Legislative Texts and Treaty Provisions concerning the Utilization of International Rivers for Other Purposes than Navigation (United Nations publication, Sales No. 63.V.4), p. 97.)

No. 1 - The British Ambassador at Brussels to the Belgian Minister for Foreign Affairs

Brussels, 17 May 1926

Monsieur le Ministre,

I have the honour, under instructions from His Majesty's Principal Secretary of State for Foreign Affairs, to convey to Your Excellency by the present note the formal acceptance by His Majesty's Government of the Protocol signed at Kigoma on 5 August 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.

I am at the same time instructed to draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and to invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that, at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.

I should be grateful if Your Excellency would be good enough to confirm to me that the Belgian Government is in agreement with His Majesty's Government with regard to the arrangements indicated in the preceding paragraph.

I avail myself of this opportunity, etc.

No. 2 - The Belgian Minister for Foreign Affairs to the British Ambassador at Brussels

Brussels, 17 May 1926

Your Excellency,

I have the honour to acknowledge receipt of your letter of today's date, in which you are good enough to inform the Royal Government that His Britannic Majesty's Government accepts the Protocol signed at Kigoma on August 5, 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika Territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.

The Belgian Government also approves these documents.

At the same time you draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.

The Belgian Government has the honour to confirm to Your Excellency that they are in agreement with His Britannic Majesty's Government with regard to these arrangements.

................................................................
9 December 2020

Rais Magufuli aeleza sababu ya somo la Historia kuwa la lazima​


Magufuli : Historia ya kweli ifundishwe, vijana lazima waifahamu historia yetu tumetoka wapi. Haiwezekani watoto wetu wafahamu historia ya Mansa Mussa wa huko Afrika ya Magharibi lakini hata ya "kwetu" hawaifahamu. ( Kigoma iliyokuwa ndani ya Ruanda-Urundi mpaka 1924 chini ya utawala wa Ubeljii) hawaifahamu.....

100 YEARS BELBASES

A FORGOTTEN PAGE OF BELGIAN COLONIALISM IN AFRICA

Belgian bases in East Africa​



The Belgian colonial period ended with the independence of Burundi and Rwanda on July 1, 1962, but there is still a vestige of our colonial past: the Belbases in Tanzania.

In 1919, during the negotiation of the Treaty of Versailles, Great Britain was able to seize almost all the German colonies in East Africa. Rwanda and Burundi became Belgian mandate areas.

But Belgium, which had also participated in the war effort in East Africa, was not satisfied, protesting strongly. She received in 1921 from the British a commercial gesture as a consolation, the so-called Belbases (from "Belgian Bases"), sites in two ports of Tanganyika: Kigoma on Lake Tanganyika, and Dar es Salaam on the Indian Ocean , with free transit on the railway between these two ports.

This agreement was signed 100 years ago, on March 15, 1921.

Belgium leased the concession for a symbolic franc per year, where it could build docks and warehouses, initially in perpetuity, from 1956. for 99 years.
Goods to and from the Belgian colonies in Central Africa could pass tax-free via the railway. The Belgian government entrusted the operation to a private company, the Belgian East African Agency, which later became the International Maritime Agency (AMI).
In 1956, the Belbases were transferred to the colonial government, which now funded the infrastructure. After the independence of Congo, Burundi and Rwanda, the Belbases became the joint property of the former colonies.

The transit zone gradually lost its economic importance and, certainly after the riots of 1991 (Congo) and 1994 (Rwanda), traffic from Central Africa stopped. Between 1994 and 1995 the AMI began discussions on an "honorable end" to the management agreement, in 1996 Tanzania took over the sites.

Even if they have not been used for 25 years, in theory these Belbases still exist, because the four countries (Tanzania, Burundi, Congo and Rwanda) have not yet been able to agree on compensation for the takeover of the installations.

March 15, 1921​

On March 15, 1921, the Belgian and British governments signed a convention concerning " the free passage of persons, mail, goods, ships, vehicles and wagons from or to the Belgian Congo ", including the protectorate of the Rwanda - Urundi.

The last Belgian manager​

From January 1992 to December 1995, Guido Fallentheyn was the last Belgian manager of the Belbases in East Africa.

Source : Belbases - Une page oubliée du colonialisme Belge en Afrique

Kweli historia ni mwalimu hivyo tuwe tunaitumia kujifunza, kuboresha, kushawishi diplomasia ya kiuchumi maana madini mengi zaidi ya betri za Cobalt kuendeshea magari yamegunduliwa Congo hivyo madini haya badala ya mafuta yanahitajika sana Ulaya na China hivyo tujipange bandari kavu, gati kuvutia nchi jirani wawekeze. mfano archive hii toka internet kuhusu

Belgian bases in East Africa



The Belgian colonial period ended with the independence of Burundi and Rwanda on July 1, 1962, but there is still a vestige of our colonial past: the Belbases in Tanzania.

In 1919, during the negotiation of the Treaty of Versailles, Great Britain was able to seize almost all the German colonies in East Africa. Rwanda and Burundi became Belgian mandate areas.

But Belgium, which had also participated in the war effort in East Africa, was not satisfied, protesting strongly. She received in 1921 from the British a commercial gesture as a consolation, the so-called Belbases (from "Belgian Bases"), sites in two ports of Tanganyika: Kigoma on Lake Tanganyika, and Dar es Salaam on the Indian Ocean , with free transit on the railway between these two ports.

This agreement was signed 100 years ago, on March 15, 1921.

Belgium is leased the concession for a symbolic Franc per year, where it could build docks and warehouses, first in perpetuity, from 1956 for 99 years.

Goods to and from the Belgian colonies in Central Africa could pass tax-free via the railway. The Belgian government entrusted the operation to a private company, the Belgian East African Agency, which later became the International Maritime Agency (AMI).

In 1956, the Belbases were transferred to the colonial government, which now funded the infrastructure. After the independence of Congo, Burundi and Rwanda, the Belbases became the joint property of the former colonies.

The transit zone gradually lost its economic importance and, certainly after the riots of 1991 (Congo) and 1994 (Rwanda), traffic from Central Africa stopped. Between 1994 and 1995 the AMI began discussions on an "honorable end" to the management agreement, in 1996 Tanzania took over the sites.

Even if they have not been used for 25 years, in theory these Belbases still exist, because the four countries (Tanzania, Burundi, Congo and Rwanda) have not yet been able to agree on compensation for taking over the installations.
source : Belbases - Une page oubliée du colonialisme Belge en Afrique


The New York Times
https://www.nytimes.com › world
A Power Struggle Over Cobalt Rattles the Clean Energy Revolution


20 Nov 2021 — The quest for Congo's cobalt, which is vital for electric vehicles and the worldwide push against climate change, is caught in an ...
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imetenga eneo la hekari 20 za ardhi katika Bandari kavu eneo la Kwala Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kuhudumia mizigo kutoka Zambia ambapo amesema hiyo ndio zawadi ya Tanzania kwa Zambia katika wakati huu wa sherehe za Uhuru wa Zambia.

Rais Samia amesema hayo kwenye hotuba yake akiwa ni Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Zambia iliyofanyika Ikulu ya Lusaka, Zambia.

“Kwa nia ya kuwaweka Watu wa Zambia kama kipaumbele katika mipango yetu na kutokana na azma yetu ya kurahisisha biashara kati ya Nchi hizi mbili, Serikali yangu imefanya maamuzi ya kutenga eneo la hekta 20 katika Bandari kavu ya Kwala katika ukanda wa pwani ya Tanzania kwaajili ya shehena maalum kwaajili ya Zambia”

“Zambia itakuwa na uwezo wa kuhifadhi bidhaa kwa muda mrefu na pia hatua hii itaondoa msongamano, ucheleweshaji na kupunguza gharama za kufanya biashara nchini Zambia ikipelekea kukuza biashara kati ya Nchi zetu mbili na kutengeneza fursa za kibiashara kwa Wananchi kutokea Zambia na Tanzania na hii ni zawadi yetu kutoka Tanzania katika wakati huu wa sherehe za uhuru wa Taifa lenu”

Zambia ni Mteja mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam, ikichukua asilimia 34 ya mizigo yote inayopitia Bandari hiyo kwenda nje ya Tanzania.

Millard Ayo

----
Maoni yangu

Hadi tukifika mwaka 2030 Tanganyika itabidi kuomba uhuru upya ili tujikomboe kwa sababu nchi nzima itakuwa mikononi mwa wachache.

Je, kwanini hakutoa bure eneo la zanzibar!
Acha ushamba haya mambo yanafanyika duniani kote kwa shughuli za kibiashara kwa sababu hawapewi hiyo ardhi kwa kujenga nyumba za kuishi ni kwa kuweka mizigo ambayo IPO transit kutoka nje au inayosubiri kusafidishwa na serikali itakuwa inapata kodi sasa lipi baya hapo .
 
Tatizo mnadharau maoni mengine mnaona ya kwenu kwenu ndio sahihi. Acheni watu waongee.
hiyo ni inferiority complex yako tu, nani amedharau maoni humu? Bila ya shaka hakuna mtu anaweza kuyafanyia kazi maoni yooooote yanayotolewa na wadau (mengine ni pinzani).
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imetenga eneo la hekari 20 za ardhi katika Bandari kavu eneo la Kwala Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kuhudumia mizigo kutoka Zambia ambapo amesema hiyo ndio zawadi ya Tanzania kwa Zambia katika wakati huu wa sherehe za Uhuru wa Zambia.

Ekari 1 = mita 64
64x20=1280
1280=1.28 Km
 
Mbona Zanzibar wana eneo huku Tanganyika na hamlalamiki kwani Zanzibar siyo nchi ya jirani.
Ndiyo mnavyojidanganya eeh? sisi tunasema Zanzibar siyo nchi na wala haitokua nchi, mlikubali wenyewe kuingia kwenye muungano au mlilazimishwa?
 
Kama Mwarabu wa DP WOLRD kapewa bandari kwanini hao weusi wenzetu wasipewe..?
Mnatia aibu kwa hizi comment zenu hivi mnaelewa kwamba hiyo ni kwa faida ya Tanzania.
Yani kule kwenye bandari kavu ya kwala kila nchi inayopitisha mizigo kupitia bandari yetu imetengewa hekali kadhaa kwaajili ya kuhifadhi mizigo kabla ya kwenda kwenye nchi husika.
Kifupi ni kwa faida yetu ni si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom