Rais Samia aipa Zambia ardhi hekari 20 katika bandari kavu Kwala mkoa wa Pwani

Wafanyabiashara wakubwa wa Tzn walikimbilia Zambia mojawapo ni Usangu Logistics ambae ni Mtanzania ila alihamisha base kutoka Mbeya na Dar kwenda Zambia Kwa sababu ya upumbavu wa Mwendazake
 
Ndio maana Huwa namlaumu Nyerere aliharibu sana watu wa bara na kuwa majinga hususani Wakristo akili za biashara hazipo.

Angalia tuu Uongozi wao Huwa ni mateso ,Mkapa pekee ndio walau alikuwa na akili ya tofauti licha ya kuishi pembeni ya Nyerere Kwa miaka Mingi but taaluma yake ya uandishi wa habari ilimsaidia kuwa na akili ya kutljitambua but wajamaa ni wapumbavu sana.
 
Tangu lini Machadema yakawa na akili? Kila siku Huwa nauliza swali hili,Umewahi ona Chadema inazungunzia Mpango wa kuondoa umaskini Tanzania?
 
Nimegundua humu ndani wajinga wamejazana kazi yao ni kulaumu kila kitu kwa sababu tu uelewa finyu,sijui mtu akisikia taarifa kama hii mawazo yake anayapeleka wapi kwa sababu mambo hayo hayakuanza leo lakini watu wasifikiri eneo kama Zambia wanaweza kuliuza au kuliweka dhamana.
Toka enzi ya Nyerere Malawi walipewa eneo pale kurasini kwa kazi kama hiyo japo sina uhakika kama bado wanalitumia au la lakini nchi kadhaa wakati wakupigania uhuru wao watu wao walikuja na wakapewa ardhi katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu ili kufanyia shughuli zao lakini hatukuwahi kumlaumu Nyerere kwanini amegawa ardhi yetu tofauti na sasa ambapo vijana wengi wanajifanya wajuwaji kumbe hawajui chochote.
 
Sioni kama kuna ubaya kwanza ni maswala ya kibiashara kenya wangewapa wakahamia huko tungekosa kufanya nao biashara. Wamepewa eneo ili waweze kuweka mizigo yao na mambo yaende
 
Mkuu Mbeya eneo la Ituta walipewa Wamalawi na Nyerere kwa ajili ya mizigo yao panaitwa Malawi Cargo tatizo la baadhi ya watu humu ukiwafatilia vizuri michango yao ya kila siku wala awatakupa shida utawagundua tu kama si chuki binafsi basi ni Pinga Pinga fc
 
Kwa hiyo kwa kuwa Mzee Mchopa aligawa ardhi yetu kwa wageni, na Bi Mkubwa naye agawe siyo!

Kosa ni kosa haijalishi kafanya nani
 
Kwa hiyo kwa kuwa Mzee Mchopa aligawa ardhi yetu kwa wageni, na Bi Mkubwa naye agawe siyo!

Kosa ni kosa haijalishi kafanya nani
Kosa lipo wapi kwani umeambiwa hilo eneo litakuwa ni sehemu ya nchi ya Zambia! Hilo eneo wamepewa kwa shughuli za kibiashara na ni kwa maslahi ya nchi yetu.
Eneo bado ni letu acha uzuzu.
 
Hasa chuki,Jinsia yake,Uzanzibar wake na Dini yake ndiyo tatizo lao sema wanajizunguusha tu.
 
Kwanza Samia anajua kutafuta pesa

View: https://twitter.com/WizarayaUC/status/1717069197564317908?t=mVtvZheyuqQa-8A5EVrVsZr14vjlTzJOHTmtqJ7M_34&s=19
 
Rubbish. Heka 30 kati ya heka milioni 30? You must be mad.
 
Kazi ya bibi ni kugawa urithi kwa ndg na jamaa bila kuwasahau marafiki!!

Utawala wa awamu ya nne ulikuwa utawala mbovu, huu wasasa ni mbovu mara milioni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…