Rais Samia aiteka mijadala ya kisiasa mitaani, wananchi waupongeza uongozi wake

Rais Samia aiteka mijadala ya kisiasa mitaani, wananchi waupongeza uongozi wake

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ameendelea Kuiteka mijadala ya kisiasa Mitaani, kila mahali Ni Rais Samia. Ni Rais Samia juu ya uchapa kazi wake ulio tukuka. Ni Rais Samia juu ya kuimarisha demokrasia. Ni Rais Samia juu ya kuendesha na kuongoza maridhiano. Ni Rais Samia juu ya kulituliza Taifa letu,Ni Rais samia juu ya kukuza uchumi wetu. Ni Rais samia juu ya kuimarisha mifumo ya haki na utawala Bora. Ni Rais Samia juu ya kuhubiri na kutenda haki. Ni Rais Samia juu ya Uzalendo wake kwa Taifa letu. Ni Rais Samia juu ya mapinduzi ya kilimo. Ni Rais Samia juu ya kuliheshimisha Taifa letu. Ni Rais Samia juu ya usikivu wake. Ni Rais Samia juu ya Ukarimu na Upendo wake. Ni Rais Samia juu ya mazingira Bora ya kibiashara na kiuwekezaji.

Ni Rais Samia juu ya ushupavu na umadhubuti wake. Ni Rais Samia juu ya ujasiri na misimamo yake. Ni Rais Samia juu ya Dira na muelekeo wake ulio Bora kwa Taifa letu. Ni Rais Samia juu ya miradi mikubwa ya kimkakati Ni Rais Samia juu ya utolewaji wa huduma Bora za kiafya na kielimu. Ni Rais Samia juu ya uchumi jumuishi na kugusa kila mtu. Ni Rais Samia juu Ya Tanzania iliyo Bora na yenye kutoa matumaini yaliyo hai.

Rais Samia Mama yetu mpendwa ameamsha mioyo ya Uzalendo kwa Taifa letu. Rais Samia anajadiliwa na kupongezwa kwa kulileta Taifa pamoja na kuliweka katika vifua vya watanzania wazalendo. Rais Samia anatetewa na kupiganiwa na watanzania wengi, kila eneo ana wasemaje wa kumsemea mambo aliyo yafanya na kuyatekeleza kwa hiyari kabisa bila malipo.

Watanzania wanaonesha kuridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia,wanaonesha kukubaliana na hatua mbalimbali anazozifanya katika kuimarisha na kuupa Afya uchumi wetu, wana mpongeza kwa namna alivyoongeza makusanyo ya mapato mpaka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi pasipo mavurumai na uhasama na wafanyabiashara.

Kila mmoja Anayo amani katika biashara yake na shughuli yake ya kiuchumi, kila mmoja ana matumaini na kesho yake iliyo Bora, hakuna Mwenye wasiwasi juu ya biashara yake kuvamiwa au kufirisiwa kiuonevu. Hakuna kutunishiana misuli. Ni majadiliano na kuelimishana, Hakuna kuviziana Wala visasi, hakuna kukomoana Wala kunyanyasana. Rais Samia Ni kiongozi aliyeinuliwa na kupewa baraka zote kwa ajili ya kulivusha Taifa letu kuelekea Kanaan nchi ya Ahadi yenye maziwa na Asali.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
 
Weledi hawaangalii mapicha picha ya jukwaani. Wanaangalia jinsi mwananchi alivyokuwa anahudumiwa na serikali wakati baba mwenye nyumba alivyokuwa hai na maisha tunayoishi chini ya mama mwenye nyumba.
 

Generation ya sasa wapo vijiweni na mitandaoni tukibishana kuhusu CCM ambayo ipo madarakani toka uhuru. Serikali wanacheka na kutuona wajinga.Ujinga katika jamii zetu ni mkubwa. Vijana wamekuwa wajinga zaidi ya babu zetu kipindi cha mkoloni.
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ameendelea Kuiteka mijadala ya kisiasa Mitaani,kila mahali Ni Rais Samia,Ni Rais Samia juu ya uchapa kazi wake ulio tukuka,Ni Rais Samia juu ya kuimarisha demokrasia,Ni Rais Samia juu ya kuendesha na kuongoza maridhiano,Ni Rais Samia juu ya kulituliza Taifa letu,Ni Rais samia juu ya kukuza uchumi wetu,Ni Rais samia juu ya kuimarisha mifumo ya haki na utawala Bora,Ni Rais Samia juu ya kuhubiri na kutenda haki,Ni Rais Samia juu ya Uzalendo wake kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya mapinduzi ya kilimo,Ni Rais Samia juu ya kuliheshimisha Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya usikivu wake,Ni Rais Samia juu ya Ukarimu na Upendo wake,Ni Rais Samia juu ya mazingira Bora ya kibiashara na kiuwekezaji,

Ni Rais Samia juu ya ushupavu na umadhubuti wake,Ni Rais Samia juu ya ujasiri na misimamo yake,Ni Rais Samia juu ya Dira na muelekeo wake ulio Bora kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya miradi mikubwa ya kimkakati Ni Rais Samia juu ya utolewaji wa huduma Bora za kiafya na kielimu,Ni Rais Samia juu ya uchumi jumuishi na kugusa kila mtu,Ni Rais Samia juu Ya Tanzania iliyo Bora na yenye kutoa matumaini yaliyo hai.

Rais Samia Mama yetu mpendwa ameamsha mioyo ya Uzalendo kwa Taifa letu,Rais Samia anajadiliwa na kupongezwa kwa kulileta Taifa pamoja na kuliweka katika vifua vya watanzania wazalendo,Rais Samia anatetewa na kupiganiwa na watanzania wengi,kila eneo ana wasemaje wa kumsemea mambo aliyo yafanya na kuyatekeleza kwa hiyari kabisa bila malipo.

Watanzania wanaonesha kuridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia,wanaonesha kukubaliana na hatua mbalimbali anazozifanya katika kuimarisha na kuupa Afya uchumi wetu,wana mpongeza kwa namna alivyoongeza makusanyo ya mapato mpaka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi pasipo mavurumai na uhasama na wafanyabiashara.

Kila mmoja Anayo amani katika biashara yake na shughuli yake ya kiuchumi,kila mmoja ana matumaini na kesho yake iliyo Bora.,hakuna Mwenye wasiwasi juu ya biashara yake kuvamiwa au kufirisiwa kiuonevu,Hakuna kutunishiana misuli,Ni majadiliano na kuelimishana,Hakuna kuviziana Wala visasi,hakuna kukomoana Wala kunyanyasana. Rais Samia Ni kiongozi aliyeinuliwa na kupewa baraka zote kwa ajili ya kulivusha Taifa letu kuelekea Kanaan nchi ya Ahadi yenye maziwa na Asali.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Unamfaham Suphian Matravolta? Mnafanana sana
 
T
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ameendelea Kuiteka mijadala ya kisiasa Mitaani,kila mahali Ni Rais Samia,Ni Rais Samia juu ya uchapa kazi wake ulio tukuka,Ni Rais Samia juu ya kuimarisha demokrasia,Ni Rais Samia juu ya kuendesha na kuongoza maridhiano,Ni Rais Samia juu ya kulituliza Taifa letu,Ni Rais samia juu ya kukuza uchumi wetu,Ni Rais samia juu ya kuimarisha mifumo ya haki na utawala Bora,Ni Rais Samia juu ya kuhubiri na kutenda haki,Ni Rais Samia juu ya Uzalendo wake kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya mapinduzi ya kilimo,Ni Rais Samia juu ya kuliheshimisha Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya usikivu wake,Ni Rais Samia juu ya Ukarimu na Upendo wake,Ni Rais Samia juu ya mazingira Bora ya kibiashara na kiuwekezaji,

Ni Rais Samia juu ya ushupavu na umadhubuti wake,Ni Rais Samia juu ya ujasiri na misimamo yake,Ni Rais Samia juu ya Dira na muelekeo wake ulio Bora kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya miradi mikubwa ya kimkakati Ni Rais Samia juu ya utolewaji wa huduma Bora za kiafya na kielimu,Ni Rais Samia juu ya uchumi jumuishi na kugusa kila mtu,Ni Rais Samia juu Ya Tanzania iliyo Bora na yenye kutoa matumaini yaliyo hai.

Rais Samia Mama yetu mpendwa ameamsha mioyo ya Uzalendo kwa Taifa letu,Rais Samia anajadiliwa na kupongezwa kwa kulileta Taifa pamoja na kuliweka katika vifua vya watanzania wazalendo,Rais Samia anatetewa na kupiganiwa na watanzania wengi,kila eneo ana wasemaje wa kumsemea mambo aliyo yafanya na kuyatekeleza kwa hiyari kabisa bila malipo.

Watanzania wanaonesha kuridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia,wanaonesha kukubaliana na hatua mbalimbali anazozifanya katika kuimarisha na kuupa Afya uchumi wetu,wana mpongeza kwa namna alivyoongeza makusanyo ya mapato mpaka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi pasipo mavurumai na uhasama na wafanyabiashara.

Kila mmoja Anayo amani katika biashara yake na shughuli yake ya kiuchumi,kila mmoja ana matumaini na kesho yake iliyo Bora.,hakuna Mwenye wasiwasi juu ya biashara yake kuvamiwa au kufirisiwa kiuonevu,Hakuna kutunishiana misuli,Ni majadiliano na kuelimishana,Hakuna kuviziana Wala visasi,hakuna kukomoana Wala kunyanyasana. Rais Samia Ni kiongozi aliyeinuliwa na kupewa baraka zote kwa ajili ya kulivusha Taifa letu kuelekea Kanaan nchi ya Ahadi yenye maziwa na Asali.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Tafuta hata genge uuze
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ameendelea Kuiteka mijadala ya kisiasa Mitaani,kila mahali Ni Rais Samia,Ni Rais Samia juu ya uchapa kazi wake ulio tukuka,Ni Rais Samia juu ya kuimarisha demokrasia,Ni Rais Samia juu ya kuendesha na kuongoza maridhiano,Ni Rais Samia juu ya kulituliza Taifa letu,Ni Rais samia juu ya kukuza uchumi wetu,Ni Rais samia juu ya kuimarisha mifumo ya haki na utawala Bora,Ni Rais Samia juu ya kuhubiri na kutenda haki,Ni Rais Samia juu ya Uzalendo wake kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya mapinduzi ya kilimo,Ni Rais Samia juu ya kuliheshimisha Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya usikivu wake,Ni Rais Samia juu ya Ukarimu na Upendo wake,Ni Rais Samia juu ya mazingira Bora ya kibiashara na kiuwekezaji,

Ni Rais Samia juu ya ushupavu na umadhubuti wake,Ni Rais Samia juu ya ujasiri na misimamo yake,Ni Rais Samia juu ya Dira na muelekeo wake ulio Bora kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya miradi mikubwa ya kimkakati Ni Rais Samia juu ya utolewaji wa huduma Bora za kiafya na kielimu,Ni Rais Samia juu ya uchumi jumuishi na kugusa kila mtu,Ni Rais Samia juu Ya Tanzania iliyo Bora na yenye kutoa matumaini yaliyo hai.

Rais Samia Mama yetu mpendwa ameamsha mioyo ya Uzalendo kwa Taifa letu,Rais Samia anajadiliwa na kupongezwa kwa kulileta Taifa pamoja na kuliweka katika vifua vya watanzania wazalendo,Rais Samia anatetewa na kupiganiwa na watanzania wengi,kila eneo ana wasemaje wa kumsemea mambo aliyo yafanya na kuyatekeleza kwa hiyari kabisa bila malipo.

Watanzania wanaonesha kuridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia,wanaonesha kukubaliana na hatua mbalimbali anazozifanya katika kuimarisha na kuupa Afya uchumi wetu,wana mpongeza kwa namna alivyoongeza makusanyo ya mapato mpaka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi pasipo mavurumai na uhasama na wafanyabiashara.

Kila mmoja Anayo amani katika biashara yake na shughuli yake ya kiuchumi,kila mmoja ana matumaini na kesho yake iliyo Bora.,hakuna Mwenye wasiwasi juu ya biashara yake kuvamiwa au kufirisiwa kiuonevu,Hakuna kutunishiana misuli,Ni majadiliano na kuelimishana,Hakuna kuviziana Wala visasi,hakuna kukomoana Wala kunyanyasana. Rais Samia Ni kiongozi aliyeinuliwa na kupewa baraka zote kwa ajili ya kulivusha Taifa letu kuelekea Kanaan nchi ya Ahadi yenye maziwa na Asali.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Umeanza kuwa mwehu taratibu,

Tangu niitwe kuandikisha jina langu kwa kitongoji kwa ajili ya foleni ya mbolea ya ruzuku yapita miezi miwili naa sasa na hakuna hata hiyo mbolea!

Wananchi watampendaje huyo mtu?
 
Umeanza kuwa mwehu taratibu,

Tangu niitwe kuandikisha jina langu kwa kitongoji kwa ajili ya foleni ya mbolea ya ruzuku yapita miezi miwili naa sasa na hakuna hata hiyo mbolea!

Wananchi watampendaje huyo mtu?
Huku kwetu mbolea ya Ruzuku IPO na inaendelea kupatikana kwa Bei elekezi na wakulima kila mmoja anakwenda kununua kwa wakati wake,na wale waliotaka kuleta janja janja wamekumbana na mkono wa serikali shupavu na madhubuti ya Rais samia
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ameendelea Kuiteka mijadala ya kisiasa Mitaani,kila mahali Ni Rais Samia,Ni Rais Samia juu ya uchapa kazi wake ulio tukuka,Ni Rais Samia juu ya kuimarisha demokrasia,Ni Rais Samia juu ya kuendesha na kuongoza maridhiano,Ni Rais Samia juu ya kulituliza Taifa letu,Ni Rais samia juu ya kukuza uchumi wetu,Ni Rais samia juu ya kuimarisha mifumo ya haki na utawala Bora,Ni Rais Samia juu ya kuhubiri na kutenda haki,Ni Rais Samia juu ya Uzalendo wake kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya mapinduzi ya kilimo,Ni Rais Samia juu ya kuliheshimisha Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya usikivu wake,Ni Rais Samia juu ya Ukarimu na Upendo wake,Ni Rais Samia juu ya mazingira Bora ya kibiashara na kiuwekezaji,

Ni Rais Samia juu ya ushupavu na umadhubuti wake,Ni Rais Samia juu ya ujasiri na misimamo yake,Ni Rais Samia juu ya Dira na muelekeo wake ulio Bora kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya miradi mikubwa ya kimkakati Ni Rais Samia juu ya utolewaji wa huduma Bora za kiafya na kielimu,Ni Rais Samia juu ya uchumi jumuishi na kugusa kila mtu,Ni Rais Samia juu Ya Tanzania iliyo Bora na yenye kutoa matumaini yaliyo hai.

Rais Samia Mama yetu mpendwa ameamsha mioyo ya Uzalendo kwa Taifa letu,Rais Samia anajadiliwa na kupongezwa kwa kulileta Taifa pamoja na kuliweka katika vifua vya watanzania wazalendo,Rais Samia anatetewa na kupiganiwa na watanzania wengi,kila eneo ana wasemaje wa kumsemea mambo aliyo yafanya na kuyatekeleza kwa hiyari kabisa bila malipo.

Watanzania wanaonesha kuridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia,wanaonesha kukubaliana na hatua mbalimbali anazozifanya katika kuimarisha na kuupa Afya uchumi wetu,wana mpongeza kwa namna alivyoongeza makusanyo ya mapato mpaka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi pasipo mavurumai na uhasama na wafanyabiashara.

Kila mmoja Anayo amani katika biashara yake na shughuli yake ya kiuchumi,kila mmoja ana matumaini na kesho yake iliyo Bora.,hakuna Mwenye wasiwasi juu ya biashara yake kuvamiwa au kufirisiwa kiuonevu,Hakuna kutunishiana misuli,Ni majadiliano na kuelimishana,Hakuna kuviziana Wala visasi,hakuna kukomoana Wala kunyanyasana. Rais Samia Ni kiongozi aliyeinuliwa na kupewa baraka zote kwa ajili ya kulivusha Taifa letu kuelekea Kanaan nchi ya Ahadi yenye maziwa na Asali.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Unajitahidi sana kusifia.
Hebu jaribu kurekodi mazungumzo ya hao watu ili tupate ukweli.

Maana mimi mwananchi mwenzio kuna siku nilipita mahali nikawasalimu watu kwa salamu ya mama, manusula nipigwe makofi.

"Na ugumu huu wa maisha, biashara haziendi, bidhaa bei ghali...hebu tupishe hapa, ushatuvurugaaa" walisema kwa hasira

Sikutarajia kabisa maana ni wafanyabiashara ambao walionekana kuwa na hali bora kuliko yangu. Loh !Akija huku bila ulinzi watampiga mayai viza
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ameendelea Kuiteka mijadala ya kisiasa Mitaani,kila mahali Ni Rais Samia,Ni Rais Samia juu ya uchapa kazi wake ulio tukuka,Ni Rais Samia juu ya kuimarisha demokrasia,Ni Rais Samia juu ya kuendesha na kuongoza maridhiano,Ni Rais Samia juu ya kulituliza Taifa letu,Ni Rais samia juu ya kukuza uchumi wetu,Ni Rais samia juu ya kuimarisha mifumo ya haki na utawala Bora,Ni Rais Samia juu ya kuhubiri na kutenda haki,Ni Rais Samia juu ya Uzalendo wake kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya mapinduzi ya kilimo,Ni Rais Samia juu ya kuliheshimisha Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya usikivu wake,Ni Rais Samia juu ya Ukarimu na Upendo wake,Ni Rais Samia juu ya mazingira Bora ya kibiashara na kiuwekezaji,

Ni Rais Samia juu ya ushupavu na umadhubuti wake,Ni Rais Samia juu ya ujasiri na misimamo yake,Ni Rais Samia juu ya Dira na muelekeo wake ulio Bora kwa Taifa letu,Ni Rais Samia juu ya miradi mikubwa ya kimkakati Ni Rais Samia juu ya utolewaji wa huduma Bora za kiafya na kielimu,Ni Rais Samia juu ya uchumi jumuishi na kugusa kila mtu,Ni Rais Samia juu Ya Tanzania iliyo Bora na yenye kutoa matumaini yaliyo hai.

Rais Samia Mama yetu mpendwa ameamsha mioyo ya Uzalendo kwa Taifa letu,Rais Samia anajadiliwa na kupongezwa kwa kulileta Taifa pamoja na kuliweka katika vifua vya watanzania wazalendo,Rais Samia anatetewa na kupiganiwa na watanzania wengi,kila eneo ana wasemaje wa kumsemea mambo aliyo yafanya na kuyatekeleza kwa hiyari kabisa bila malipo.

Watanzania wanaonesha kuridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia,wanaonesha kukubaliana na hatua mbalimbali anazozifanya katika kuimarisha na kuupa Afya uchumi wetu,wana mpongeza kwa namna alivyoongeza makusanyo ya mapato mpaka kufikia Trioni mbili kwa Mwezi pasipo mavurumai na uhasama na wafanyabiashara.

Kila mmoja Anayo amani katika biashara yake na shughuli yake ya kiuchumi,kila mmoja ana matumaini na kesho yake iliyo Bora.,hakuna Mwenye wasiwasi juu ya biashara yake kuvamiwa au kufirisiwa kiuonevu,Hakuna kutunishiana misuli,Ni majadiliano na kuelimishana,Hakuna kuviziana Wala visasi,hakuna kukomoana Wala kunyanyasana. Rais Samia Ni kiongozi aliyeinuliwa na kupewa baraka zote kwa ajili ya kulivusha Taifa letu kuelekea Kanaan nchi ya Ahadi yenye maziwa na Asali.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Mitaani kumejaa vilio tupu, hata wamama wenzake hawana shobo nae umebakia wewe tu chawa.
 
Unajitahidi sana kusifia.
Hebu jaribu kurekodi mazungumzo ya hao watu ili tupate ukweli.

Maana mimi mwananchi mwenzio kuna siku nilipita mahali nikawasalimu watu kwa salamu ya mama, manusula nipigwe makofi.

"Na ugumu huu wa maisha, biashara haziendi, bidhaa bei ghali...hebu tupishe hapa, ushatuvurugaaa" walisema kwa hasira

Sikutarajia kabisa maana ni wafanyabiashara ambao walionekana kuwa na hali bora kuliko yangu. Loh !Akija huku bila ulinzi watampiga mayai viza
Rais Samia ni kipenzi Cha watanzania ndio maana katika ziara zake watanzania wamekuwa wakifurika kwa wingi Sana kumlaki na kumpokea mh Rais kwa shangwe na furaha huku wakiwa na Tabasamu mioyoni mwao Hadi katika nyuso zao.

Mh Rais amefanya kazi kubwa Sana katika ujenzi wa Taifa hili kiuchumi na pale eneo linalokuwa limeonyesha halinya mfumuko wa Bei Kama ilivyokuwa kwenye mafuta na mbolea , serikali imekuwa ikitoa mabillioni ya Ruzuku ili kumpunguzia mzigo mwananchi
 
Mitaani kumejaa vilio tupu, hata wamama wenzake hawana shobo nae umebakia wewe tu chawa.
Wana wake wanaendelea kumshukuru Sana mh Rais ,kwanza kwa kuwatua ndoo kichwani kutokana na miradi ya maji aliyoijenga, pili kwa kuwasogezea huduma za Afya karibu yao kwa kujenga vituo vya Afya karibu yao,Tatu kwa kuwapatia mitaji kupitia mikopo ya halmashauri zao Inayowasaidia kujikwamua kiuchumi na kuondokana na utegemezi wa kiuchumi. Pia wanafurahi namna alivyo amsha morali ya kusoma na kupendwa Elimu kwa mtoto wa like ambapo kila binti anaona anaweza kutimiza Ndoto zake pasipo kujali jinsia yake,ndio maana hata watoto wenye majina ya Samia Ni wengi Sana mitaani ikiwa Ni ishara ya upendo kwa Rais wetu walio nao akina mama,

wakina mama wanasema Rais Samia amewaheshimisha Sana na kuwafungulia njia za kiuongozi ngazi za juu na kuweza kuaminika na watanzania kiuongozi ukilinganisha na kipindi Rais Samia hajapanda juu kiuongozi. Rais Samia amekuwa Ni Mfano na kiongozi wa mfano
 
Back
Top Bottom