Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,449
Mahawara ambao hawajapata mgao ndo wanakelele za wivuTZ bana, majumba yote aliyokuwa nayo Magufuli, mengine alikwapua za Serikali, mengine akagawa hadi kwa hawara zake wameona hazitoshi? Huku wananchi kibao wakilala kwenye mapagale na mitaro?
kweli mkuu apewe maua yakeMtu wa maana sana.
Hana tamaa kama wa awamu ya 3 na 4 hao ni mafisi
Mama anajua kutabasamu tu.kweli mkuu apewe maua yake
Huyu sahivi ni fisadi papaaMama anajua kutabasamu tu.
JPM alikuwa na familia bora sana.
Sijawahi kusikia ufisadi wa mke wala watoto.
Ilishangaza kuona watoto wake wa kiume msibani tu.
Wakati kwasasa Abdul ni maarufu anafanya hadi mishe na Mseveni
Huyu mama apewe ubunge kisha apewe unaibu waziri.Mama Mvumilivu
Mama mstajabivu
Mama mwenye hekima
Mama Janneth Maghufuli
Namkubali sana huyu mama.
Awamu ya 4 ni jangili kabisaMtu wa maana sana.
Hana tamaa kama wa awamu ya 3 na 4 hao ni mafisi
Riziwan part 2Huyu sahivi ni fisadi papaa
Jambazi la mchanaAwamu ya 4 ni jangili kabisa
Rizini ni mwanafunzi kwa huyu Abdul maana huyu ni hatari snRiziwan part 2
KabisaJambazi la mchana
Unataka kusemaje? 😂😂Huyu mama tangu mwendazake aende zake anazidi tu kunawiri🤣🤣
Atakuwa mwanafunzi Rost..mRizini ni mwanafunzi kwa huyu Abdul maana huyu ni hatari sn
Wamelamba mihela sana na bado wanajengewa ma jumba makubwa. This is africa. Na picha ya nyumba tuioneRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Mama Janeth Magufuli wakati wa hafla fupi ya kukabidhi nyumba ya kuishi iliyopo wilaya ya Kinondoni ambayo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria, Jijini Dar es Salaam tarehe 5 Novemba, 2023.
Naona hana interest na siasaHuyu mama apewe ubunge kisha apewe unaibu waziri.
Hapana babe😂😂Unataka kusemaje? 😂😂