kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Ili iweje,kwani mvua zitaacha kunyesha?Kimetokana na kodi zetu, tuoneshwe, waseme na gharama iliyotumika kujenga.
Wewe... 😂Hapana babe😂😂
Hapana mkuu kwa huyu mama anastahili kabisa. Japo Jiwe kiasili alikuwa katili na roho mbaya kwa huyu mama ana stahili kabisa. Mungu amtangulie amlinde amjalie afya na Marsha marefu mama Janet Magufuli.Huu ni ubaguzi Kwa watumishi wengine ,wapo Kwa kikokotoooooo,Leo mtumishi anasota na mafao hadi anakufa ,wenza hawa wanakazi gani Kwa Taifa nchi hii lazima tutoane damu,labda hawa wakoloni weusi wataelewa
Kwa kweli hiyo familia ni mabilionaire lakn bado wanajengewa nyumba ya kifahari hii inchi bhana hatari sana bado muswada wa kiinua mgongo cha wake wa maraisRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Mama Janeth Magufuli wakati wa hafla fupi ya kukabidhi nyumba ya kuishi iliyopo wilaya ya Kinondoni ambayo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria, Jijini Dar es Salaam tarehe 5 Novemba, 2023.
Ndio napambana hapa kwa kutaka kuona picha na gharamaIli iweje,kwani mvua zitaacha kunyesha?
Mafuta, unga,maji etc vitapungua bei?
We pambana na hali yako tu
Inaweza kuwa ni Sababu nyingine kabisa... Acha maneno ya watu waswahili waswahili.Mama Janeth kanenepa hakuwa hivi haki, yani mjane kuchana hivi maana yake nini!?
Mwenyenacho hujazwa, huko vijijini watu wanaishi kwenye ufukara huku wanene wakineemeshwa, hizi sheria zitazamwe upya zinufaishe wananchi badala ya wanaoomba kuchaguliwa kwa kisingizio cha kuwatumikia wananchi kumbe wanataka majumbanyumba hiyo imejengwa na serikali kwa mujibu wa sheria jijini Dar es Salaam, leo Novemba 5, 2023.
toa sababu kwanini anastahili na sababu ya kisheria maana hizi ni hela za watuHapana mkuu kwa huyu mama anastahili kabisa. Japo Jiwe kiasili alikuwa katili na roho mbaya kwa huyu mama ana stahili kabisa. Mungu amtangulie amlinde amjalie afya na Marsha marefu mama Janet Magufuli.
Huu ni ufisadi kwa wanasiasa wetu, wanatuibia wakiwa madarakani na kujitungia sheria za kuendelea kuwanufaisha baada ya kuondoka madarakaniRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Mama Janeth Magufuli wakati wa hafla fupi ya kukabidhi nyumba ya kuishi iliyopo wilaya ya Kinondoni ambayo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria, Jijini Dar es Salaam tarehe 5 Novemba, 2023.
Kwa mujibu wa sheriaTZ bana, majumba yote aliyokuwa nayo Magufuli, mengine alikwapua za Serikali, mengine akagawa hadi kwa hawara zake wameona hazitoshi? Huku wananchi kibao wakilala kwenye mapagale na mitaro?
Unafiki tu! Huna lolote!Zipi?
Maarufu kuliko baba yakeWakati kwasasa Abdul ni maarufu anafanya hadi mishe na Mseveni
First gentleman atakuwa hapendi dhuluma wala wizi.Maarufu kuliko baba yake
Ningeshangaa kama hasingejengewa nyumba wakati mumewe alifanya hivyo kwa Marais wastaafu. Anyway ni jambo jema. Kama siyo picha tu, huyu mama inaonekana amenawili kuliko awali na uso wake una nuru na furaha. Kuna la kujifunza ktk ndoa zetu....Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Mama Janeth Magufuli wakati wa hafla fupi ya kukabidhi nyumba ya kuishi iliyopo wilaya ya Kinondoni ambayo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria, Jijini Dar es Salaam tarehe 5 Novemba, 2023.
Ukute mke wa ndoa hakupata Chochote walifaidi Masuria tu....TZ bana, majumba yote aliyokuwa nayo Magufuli, mengine alikwapua za Serikali, mengine akagawa hadi kwa hawara zake wameona hazitoshi? Huku wananchi kibao wakilala kwenye mapagale na mitaro?