Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata Nyerere hakuruhusu huo upumbavuWiki iliyopita Rais wa Nigeria Mzee Tinubu kamtoa nduki kikaoni mtoto wake wa kiume,jamaa aliingia kwenye mkutano wa Mzee Tinubu na Wafanyabiashara bila mwaliko.
Mzee kamchana live mwanae kuwa Mimi kuwa Rais haimpi nafasi Mwanangu kuudhuria ata vikao ambavyo havimuhusu.
Mzee Tinubu kauzu sana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nyie wanyonge ndio mnanyngwaAmeshapewa sasa, nenda kajinyonge
Huyu mama anastahili sana mafao yeye na mama Nyerere, majambazi mengine yangenyimwa tu kama awamu ya 3 na 4Bado mafao, ndiyo maana watu wanaloga wapate vyeo kwa juu maana hapa wana uhakika wa kula mpk kuzikwa
Naunga mkono hojaHuyu mama anastahili sana mafao yeye na mama Nyerere, majambazi mengine yangenyimwa tu kama awamu ya 3 na 4
HAjawahi kuanzisha NGO ya kifisadi wala hakushobokea mali za umma na wanawe.Naunga mkono hoja
Salma ni jangili haswaH
HAjawahi kuanzisha NGO ya kifisadi wala hakushobokea mali za umma na wanawe.
Hiyu mama ni mtu sana.
Salma akajifunze utu pale
Hiyo familia ina walaku sanaSalma ni jangili haswa
Alikuwa kwenye tanuru la moto kipindi kile!Ila mke wa hayati magufuli mbona anazidi kunenepa na kupendeza, jama mechi ya simba na yanga ni ngumu.
Sisi wananchi ndiyo wajinga tumeruhusu huu ujingaHiyo familia ina walaku sana
Anatupa dhambi waombolezaji 🤣🤣🤣🤣Huyu mama tangu mwendazake aende zake anazidi tu kunawiri🤣🤣
Hii point sana,Kila siku nasema hawa jamaa hawajui kula na vipofu...; Hakuna sababu ya ku-publicize neema wanayopata kwa watu ambao kesho yao hawana hata pensheni let alone wale wazee ambao mafao yao hata panadol hayanunui...
Alafu wanakuja watu kwa kuuza sura na kupeana cake ambayo wanasema haitoshi ila kwa wao wanajipa na makombo....
In short they are out of touch..., ndio maana wanadai mafao kwa kila mke wa kigogo
By the way simuongelei huyu mama per-se, bali muendelezo wa hii animal farm...
Sura ina nuru balaaa na tabasamu la kutosha tena lile halisi🤣🤣🤣Anatupa dhambi waombolezaji 🤣🤣🤣🤣
Inashangaza kwa nini Wananchi wanafichwa mwoneka wa nyumba hiyo!Pic za nyumba pls
Nilidhani ni Litania ya Mama Maria baadae nikaona jina la mke wa Rais wa awamu ya tano.Mama Mvumilivu
Mama mstajabivu
Mama mwenye hekima
Mama Janneth Maghufuli
Namkubali sana huyu mama.
😂 ilielekea huko ila nilipofikia kwenye bikira mwenye nikasita.Nilidhani ni Litania ya Mama Maria baadae nikaona jina la mke wa Rais wa awamu ya tano.
Sie wanyonge tunafurahia familia ya shujaa imekabidhiwa nyumba; nyie maajenti wa kuzimu ndiyo kajinyongeni.Nyie wanyonge ndio mnanyngwa