Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mkuu mbona quotes zako nyingi hazina maandishi? Unani quote ila nikija kusoma sioni chochote[emoji2956][emoji2956]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona quotes zako nyingi hazina maandishi? Unani quote ila nikija kusoma sioni chochote[emoji2956][emoji2956]
Kuelekeza utekelezaji wa kilichopo kwenye sera na mifumo kunaleta uwazi na uwajibikaji badala ya kujiingiza kutatua shida Moja tena hadharani kwa vitisho na kejeli!Rais inatakiwa aweke mifumo na sera bora za kutatua matatizo ya watu, sio hata kuelekeza kutokea majukwaani.
Na kura akaombee bungeniHuelewei wajibu na majukumu ya Rais.
Kocha yupi ?!!!huwa anapeleka report kwa kocha wake mkuu halafu tena anafundishwa staili nyingine ya kuja nayo awamu nyingine ikiwa staili ya ilopita haijamfurahisha kocha
Kura za nini??Na kura akaombee bungeni
Levi bwabweer weeeUnajuaje sijalewa kajambe mbele huko ghasiaaa
Robert Amsterdam & co.Kocha yupi ?!!!
Hivi unacheza na kisu cha "presidential decree"?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]
Ninyi Rais wa JMT mnamchukulia ni rais wa familia hapo mtaani kwako ?!!!
Wananchi wenyewe ni ile KATIBA...Hawezi kuwa na Uchungu na Wananchi maaana hakuwaomba kura yeye.
Vetting??.Kwani posho zenu 40,000 za kukesha usiku kushona vijeraha halmashauri huwa hawawalipi ?!!
Yaani vetting ifanyike aonekane anatosha halafu sakala mmoja asiyeweza kufanya kazi bila ya leseni ya MCT atupigie makelele koko humu JF?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
Hiyo Katiba iliyoitwa KITABU tuuuWananchi wenyewe ni ile KATIBA...
Na aliapa KUILINDA....
Bwegeeeer weee
OoohMkuu mbona quotes zako nyingi hazina maandishi? Unani quote ila nikija kusoma sioni chochote
.....huyo ni baaasheeer wa ndugu Tundu Lissu....[emoji106]Robert Amsterdam & co.
Afu unafki mwingiii...huku tunamsema hafai tena asikilize haohao.mbwaimbwaiNi kweli Rais hawezi kusikiliza kero za mwananchi mmoja mmoja, itakuwa jau sana .... mwingine kapigwa na mumewe anataka kesi apeleke kwa Rais, tutamaliza saa ngapi?
Sasa kilichomfanya asimame njiani ni nini? Kwanini asingelikwenda moja kwa moja uwanjani?😂😂😂Hapana, Rais anatakiwa ashughulike na mambo ya kitaifa. Huyo raia unaweza kukuta analalamikia kesi ya mirathi ya familia yao au kucheleweshwa mshahara kazini kwake.
Kwani posho zenu 40,000 za kukesha usiku kushona vijeraha halmashauri huwa hawawalipi ?!!
Yaani vetting ifanyike aonekane anatosha halafu sakala mmoja asiyeweza kufanya kazi bila ya leseni ya MCT atupigie makelele koko humu JF?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
Mbunge wa mchongo 😂🐼Sasa Changamoto ya Zahanati si ndio mambo ya mbunge?
Sio kazi ya Rais kutatua Changamoto za mtu mmja mmja
Nonsense!.Ni kweli Rais hawezi kusikiliza kero za mwananchi mmoja mmoja, itakuwa jau sana .... mwingine kapigwa na mumewe anataka kesi apeleke kwa Rais, tutamaliza saa ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Yeye ni Rais wa nchi gani?
Magufuli huwa si alisema yeye hapangiwi? Kwa nini amuweke mtu dhaifu? Alijua hatakufa?Vetting??.
Bwana Mdogo, Kikwete alikiri kumshawishi Magufuli ampendekeze Samia kua makamo wake.
Kama Hilo halitoshi, Hiyo vetting ilifanywa kwa kuzingatia ukweli kwamba
1-Magufuli ndio Rais ,na mtu imara .
2-Samia ni Mzanzibari
3-Mwanamke
4-Dhaifu Ivo kua chini ya JPM Hana athari.
Vetting??? Kwa Elimu gani Sasa ??.
Pumbavu Mmoja wewe !!.