johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
πππππΌπΌπ₯ππSasa kilichomfanya asimame njiani ni nini? Kwanini asingelikwenda moja kwa moja uwanjani?πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππΌπΌπ₯ππSasa kilichomfanya asimame njiani ni nini? Kwanini asingelikwenda moja kwa moja uwanjani?πππ
maneno yako ya mwisho yamechafua maana ya hoja yako nzito.Vetting??.
Bwana Mdogo, Kikwete alikiri kumshawishi Magufuli ampendekeze Samia kua makamo wake.
Kama Hilo halitoshi, Hiyo vetting ilifanywa kwa kuzingatia ukweli kwamba
1-Magufuli ndio Rais ,na mtu imara .
2-Samia ni Mzanzibari
3-Mwanamke
4-Dhaifu Ivo kua chini ya JPM Hana athari.
Vetting??? Kwa Elimu gani Sasa ??.
Pumbavu Mmoja wewe !!.
Sass kolichomsimamisha hapo ni nini?Afikishe Kwa wahusika alichotaka kusema
Za uraisi, anaomba kwa wabunge wabunge wanaenda kumuombea kwa raia anakua hapati shida ya kukutana na raia wenye ziki na matatizo mengi yasiyoishaKura za nini??
Uposawa mkuu, hakuna haja yakusimama kuongea na watu ambao hutaki kumsikiliza hata mmoja.Sasa pale kasimama kufanya nini!?....kama anajua Mbunge yupo, why bother kusimama barabarani kusikiliza kero za wananchi?...mimi naamini kuna wananchi wameshazunguka ngazi za chini na hawapati msaada, Kiongozi wa nchi akisikiliza hizo special cases,anaweza kutoa msukumo mwananch asaidiwe.
Kilichomsimamisha njiani ni nini kama sio mataizo binafsi ya wananchi? Kwanini ana sima simama njiani ikiwa anaogopa maswali? Kwanini ana simama simama?Huwezi kuongoza nchi kubwa kama Tanzania kwa mfumo wa Rais kusikiliza matatizo binafsi ya watu nchi ikasonga mbele.
Wenzetu wanaojua maana ya Rais, waziri mbunge inapofanyika town Hall meeting watu wanauliza, wanatoa malalamiko yao mapendekezo kwa masuala ya mtaa, mji, jimbo au taifa. Sio malalimiko ya umenyang'anywa kiwanja na tajiri au umefukuzwa kazini ambayo ni masuala ya polisi na mahakama.
oohh kumbe ndio yule bidada walieagana nae pale airport kiwestern western π€£.....huyo ni baaasheeer wa ndugu Tundu Lissu....[emoji106]
Ninyi sijui huko chuoni mlipitaje mkapewa mpaka vyeti vya INTERNSHIP sakala wewe....Vetting??.
Bwana Mdogo, Kikwete alikiri kumshawishi Magufuli ampendekeze Samia kua makamo wake.
Kama Hilo halitoshi, Hiyo vetting ilifanywa kwa kuzingatia ukweli kwamba
1-Magufuli ndio Rais ,na mtu imara .
2-Samia ni Mzanzibari
3-Mwanamke
4-Dhaifu Ivo kua chini ya JPM Hana athari.
Vetting??? Kwa Elimu gani Sasa ??.
Pumbavu Mmoja wewe !!.
Magufuli huwa si alisema yeye hapangiwi? Kwa nini amuweke mtu dhaifu? Alijua hatakufa?
Misukule ya Chato bana
Bora angepitiliza tu asisimame.Sababu ya msingi ya Rais kusimama barabarani ni nini hasa, huku ni kutokujitambua na kutojua uwajibikaji, in rare occasion chipping from the grassroots it's a good thing, a big shame and worse empty mind
Ni kusikiliza kero za Wananchi kutoka Kwa mbunge wao na kuwasalimiaSass kolichomsimamisha hapo ni nini?
Taifa linaanza na mwananchi mmoja mmoja! Au awamu hii tunaposema taifa tunamaamisha matajiri?Hapana, Rais anatakiwa ashughulike na mambo ya kitaifa. Huyo raia unaweza kukuta analalamikia kesi ya mirathi ya familia yao au kucheleweshwa mshahara kazini kwake.
Huyo huyo Cha msingi ni mbungeMbunge wa mchongo ππΌ
Kwanini asingetembea tuu hadi Nagwanda kuhutubia tuu au uwanja wa Ilulu kuhutubia? Kilichomsimamisha njiani ni nini?Sababu ya msingi ya Rais kusimama barabarani ni nini hasa, huku ni kutokujitambua na kutojua uwajibikaji, in rare occasion chipping from the grassroots it's a good thing, a big shame and worse empty mind
Kweli itaongeza pato la taifaNashauri rais aweke kiingilio kumuona ili wananchi wakamueleze shida zao ambao hawa watu wa chini yake wameshindwa kutoa ufumbuzi.
Ule mtindo wa Magufuli ulikuwa ni upumbavu tu kwa wananchi wapumbavu. Hakukuwa na leadership pale. Hivi Rais mmoja utawezaje kumsikia kila mwananchi?Mtanikumbuka
Ninyi sijui huko chuoni mlipitaje mkapewa mpaka vyeti vya INTERNSHIP sakala wewe....
Elimu gani unayozungumza ?!!!
Kusahihisha THESES za PhD students?!!?
Kama ndivyo basi marais wangetakiwa wawe maprofesa nguli wanaofundisha vyuoni....
Ulivyo zwazwa hujui kuwa ndani ya CCM tunafanya vetting hata kwa majina ya wagombea ubunge....
Mule Bungeni wale wabunge walioshia darasa la 7 waliiruka vetting ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Ulikwenda kusomea "kidigrii" ukagraduate na "uchooookoor"?!!
Gasho koko wee