CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kapuku una hasira kweli kweli leo, usijali kesho Ijumaa ndiyo siku yenu ya kutupiwa makomboKapuku Mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapuku una hasira kweli kweli leo, usijali kesho Ijumaa ndiyo siku yenu ya kutupiwa makomboKapuku Mwenyewe
Mimi nakula kwa jasho langu na siyo kusubiri kutupiwa makombo.Kapuku una hasira kweli kweli leo, usijali kesho Ijumaa ndiyo siku yenu ya kutupiwa makombo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usisahau kutuletea habari za kitandani akiwa na Mzee Hafidh..
Kumdanganya fukara asie na akili nchi hii ni kazi rahisi sana..Acha kupotosha, Rais haishi maisha ya kawaida kama watanzania wengine, hiyo ni mbinu ya kucheza na akili za watu kuelekea Uchaguzi Mkuu
Samia alianzia wapi maisha? alizaliwa wapi? alikulia wapi? etc etc......ukimuwaza Samia in termsof her genesisi hutauiza ikuwa unatania! Niyo maana nasema mwashamba lucas Mwashamba ni wasted sperms!Kumbe na yeye samia huwa anakunywa chai na kitumbua kama Lolita wangu!!!
Vitumbua vtnoMix by Yas
Yaani angekuwa lissu hapo ingekuwa ni balaa maana yule jamaa huwa anakula Utafikiri katoka jera.Mama hana makuu kabisa, Lissu angekuwa anafakamia manyama choma tu, ugali, samaki
Sasa umeandika nini hapa au unakimbizwa nyuma ndugu yangu mtanzaniavitumbua yenyewe usalama wa taifa hivyo
Hiyo anapiga pasi ndefu, kuja kula tena ni jioni sana. Siyo kama wewe unapiga chai ingine saa nne plus lunch na chai ya saa 10Kwa kweli kanibubujisha machozi ya furaha huyu kipenzi chako.
Ila ana ulaji mmbaya sana,chai na juice kwa pamoja?
😀😀Hiyo anapiga pasi ndefu, kuja kula tena ni jioni sana. Siyo kama wewe unapiga chai ingine saa nne plus lunch na chai ya saa 10
Haswaa, na ndo mbinu inayotumiwa na CCM kulaghai watuKumdanganya fukara asie na akili nchi hii ni kazi rahisi sana..
Kwa umri huo alionao,hayo matumbura na masukari anayobugia hovyo.Vitumbua mafuta matupu
Nilitegemea wajaze matunda hapo, maana naona vitumbua zaidi ya kumi 😄
Jisemee wewe unayeukalisha mwili bila mazoezi wala kujishughulisha na shughuli zozote zile. Rais wetu muda wote yupo kaziniKwa umri huo alionao,hayo matumbura na masukari anayobugia hovyo.
Yeti macho tu.
Watu wanaipenda CCM kwa hiyari yao pasipo kilaghaiwa wala kudanganywa. CCM inapendwa na watu kwa sababu ndio mtetezi na sauti ya watanzania.ndio chama chenye uchungu na Maisha ya watu,ndio chama chenye kusikiliza na kutatua kero za watu kwa kutoa majawabu ya kueleweka.Haswaa, na ndo mbinu inayotumiwa na CCM kulaghai watu
Watu wanaipenda CCM kwa hiyari yao pasipo kilaghaiwa wala kudanganywa. CCM inapendwa na watu kwa sababu ndio mtetezi na sauti ya watanzania.ndio chama chenye uchungu na Maisha ya watu,ndio chama chenye kusikiliza na kutatua kero za watu kwa kutoa majawabu ya kueleweka.
Kwani wewe huoni hatua kubwa za kimaendeleo tulizopiga kama Taifa?Kingekuwa na uchungu na maisha ya watu Tanzania ingekuwa mbele sana kimaendeleo