Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Hivi hao wanawake wa kiislam wakifika huko mbinguni wanapewa nini??? Maana wanaume wanatunukiwa nguvu za kushughulikia mabikra 72 na mito ya pombe,,,,au hawa wakienda huko ndo wanakua hao ma bikra wanaopewa wanaume
Dini yako wewe ukienda unapewa nini? Kwanza ujue wewe unapewa nini kabla hujauliza wenzio
 
InshaAllah! Ngoja nianze kuvaa kobazi na kufuga ndevu kama Osama.
Katika Biblia, ndevu zinaonekana kama sehemu muhimu ya tamaduni na taratibu za kijamii. Hapa kuna baadhi ya maeneo ambapo ndevu zinatajwa:

  1. Maagizo ya Mungu kwa Waisraeli: Katika Agano la Kale, hasa katika Kitabu cha Walawi, kuna maagizo maalum kuhusu kutokukata ndevu. Katika Walawi 19:27, inasema: "Msiendelee kukata ndevu zenu, wala msivichane vichwa vyenu." Hii ilikuwa sehemu ya sheria za Waisraeli kuhusu jinsi ya kujitambulisha na kutofautiana na mataifa mengine.
  2. Ndevu na Utukufu wa Mungu: Katika baadhi ya matukio, ndevu zinahusishwa na heshima na utukufu. Kwa mfano, ndevu za Mfalme Daudi zinatajwa kwa heshima.
  3. Mifano ya Watu wa Biblia: Mifano kama ya Samson, ambaye alikuwa na nguvu kubwa na alikuwa na ndevu ndefu, zinatoa picha ya umuhimu wa ndevu katika tamaduni za wakati huo.
someni Biblia
 
Katika Biblia, ndevu zinaonekana kama sehemu muhimu ya tamaduni na taratibu za kijamii. Hapa kuna baadhi ya maeneo ambapo ndevu zinatajwa:

  1. Maagizo ya Mungu kwa Waisraeli: Katika Agano la Kale, hasa katika Kitabu cha Walawi, kuna maagizo maalum kuhusu kutokukata ndevu. Katika Walawi 19:27, inasema: "Msiendelee kukata ndevu zenu, wala msivichane vichwa vyenu." Hii ilikuwa sehemu ya sheria za Waisraeli kuhusu jinsi ya kujitambulisha na kutofautiana na mataifa mengine.
  2. Ndevu na Utukufu wa Mungu: Katika baadhi ya matukio, ndevu zinahusishwa na heshima na utukufu. Kwa mfano, ndevu za Mfalme Daudi zinatajwa kwa heshima.
  3. Mifano ya Watu wa Biblia: Mifano kama ya Samson, ambaye alikuwa na nguvu kubwa na alikuwa na ndevu ndefu, zinatoa picha ya umuhimu wa ndevu katika tamaduni za wakati huo.
someni Biblia
MashaAllah!
 
Dini imekufanya uwe mjinga na mgonvi.
Dini tumezikuta tu na tutaziacha, no need kupambana kama vile wewe ndie founder
kila mtu na kipaumbele chake. kama wewe unashinda asubuhi kwa mkapa mpaka jioni kwa ajili ya Simba na Yanga wakati hata shilingi hupati, wanaopata wachezaji unajiona unaakili, kwangu wewe sawa sawa na Juha tu. bora yule anaebeba makopo barabarani
 
Back
Top Bottom