Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana, Ndio maana niliwahi kuandika humu kuwa mtu mweusi ni binadamu ambaye bado yupo kwenye stages za evolution, bado hajatimia kuwa binadamu kamili.Inahuzunisha na kusikitisha wakati fulani. Wenzetu Wazungu walikipita hiki kipindi miaka mingi iliyopita! Enzi za Middle Ages! Na leo hii wako busy na Sayansi.
Allah who akbarhalafu uanjiona unaakili? ukiumwa na kidole tu unapiga kelele kucha. kweli wewe akili zako unaziweka mfukoni
1 Wakorintho 14:34-35: "Wanawake na wapige kimya katika makanisa; kwa maana si vizuri kwao kusema; bali nawaambia kuwa watunze nyumbani kwao, kama vile Sheria inavyosema. Lakini kama wanataka kujua jambo lolote, waulize waume zao nyumbani; kwa maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika kanisa." Maandiko haya yanaeleza kuhusu wanawake kuwa kimya katika mikutano ya kanisa na kuuliza maswali nyumbani kwao.Heri ipi wakati imani zenu zinakataza mwanamke kusimama mbele ya mwanaume
Anza na FoxyNikija tu, nataka nikabidhiwe mabikira wangu 72. Sihitaji mpaka siku ya kifo. Nawataka wakati bado nipo hai.
Huna sababu ya kukejeli dini za wengine , ushauri jidhatiti kwenye IMANI YAKO.Kumekucha.
Ni mwendo wa kuita majini tu
Allah who akbarNdio, Chawa wa Allah
Wacha waite majini mahaba wanaume si hamtaki kuwaoaKumekucha.
Ni mwendo wa kuita majini tu
Huyo hana utamu tena.Anza na Foxy
Mashallah. Mashallah
Case confirmed, akili yako inahitaji maboresho ama inawezekana umeamka na hangover, ila sidhani kama hata una akili ya kuweza kuchakata kilevi ndani ya mwili wako.kama unashindwa kukariri biblia, umekasirika wanawake kuhifadhi Quran?
kazi utaikuta katika makanisa mengi siku hiziWacha waite majini mahaba wanaume si hamtaki kuwaoa
Wacha watiririke aya za kuyaita
Yesu Kutibu Majini: Katika Agano Jipya, Yesu Kristo alihusishwa sana na kutibu majini na roho chafu. Mfano maarufu ni katika Marko 1:34, ambapo inasema: "Akawaponya wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali, akatoa mapepo wengi." Yesu aliweza kutoa mapepo kwa nguvu zake za kiungu, na hili lilikuwa sehemu muhimu ya huduma yake.Wacha waite majini mahaba wanaume si hamtaki kuwaoa
Wacha watiririke aya za kuyaita
Unayo mashine ya kuboresha?Case confirmed, akili yako inahitaji maboresho ama inawezekana umeamka na hangover, ila sidhani kama hata una akili ya kuweza kuchakata kilevi ndani ya mwili wako.
Fight unbelievers who are near to you. 9:1231 Wakorintho 14:34-35: "Wanawake na wapige kimya katika makanisa; kwa maana si vizuri kwao kusema; bali nawaambia kuwa watunze nyumbani kwao, kama vile Sheria inavyosema. Lakini kama wanataka kujua jambo lolote, waulize waume zao nyumbani; kwa maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika kanisa." Maandiko haya yanaeleza kuhusu wanawake kuwa kimya katika mikutano ya kanisa na kuuliza maswali nyumbani kwao.
HALAFU KUNA WATU WANABEBA BIBLIA TU KILA J2 , HATA KUZIFUNGUA HAWAZIFUNGUI. UNAPISHANA NAE NJIANI KAIKUMBATIA LAKINI KUMBE HATA KUIFUNGUA HAIFUNGUI. SOMENI
Kumbe kuna majini tena???Huna sababu ya kukejeli dini za wengine , ushauri jidhatiti kwenye IMANI YAKO.
Hatimae umeutaka😁😁😁Unayo mashine ya kuboresha?
Nimesema dini zenu.1 Wakorintho 14:34-35: "Wanawake na wapige kimya katika makanisa; kwa maana si vizuri kwao kusema; bali nawaambia kuwa watunze nyumbani kwao, kama vile Sheria inavyosema. Lakini kama wanataka kujua jambo lolote, waulize waume zao nyumbani; kwa maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika kanisa." Maandiko haya yanaeleza kuhusu wanawake kuwa kimya katika mikutano ya kanisa na kuuliza maswali nyumbani kwao.
HALAFU KUNA WATU WANABEBA BIBLIA TU KILA J2 , HATA KUZIFUNGUA HAWAZIFUNGUI. UNAPISHANA NAE NJIANI KAIKUMBATIA LAKINI KUMBE HATA KUIFUNGUA HAIFUNGUI. SOMENI
Ila hili nalo lina ukweli. Imagine katika karne hii ya 21 eti bado kuna watu wanatangaza kutibu HIV, Kisukari, Kansa, ulemavu wa viungo, nk. Kwa miujiza!! Tena kupitia vyombo vya habari.Inasikitisha sana, Ndio maana niliwahi kuandika humu kuwa mtu mweusi ni binadamu ambaye bado yupo kwenye stages za evolution, bado hajatimia kuwa binadamu kamili.
Unayo mashine ya kuboresha?