Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Mijitu yenye rangi nyeusi ni kama ina laana hivi, ulimwengu upo kwenye nyakati za 4th industrial rev. Sisi bado tunashindana kuhifadhi stori za kusadikika kichwani, hii inafanya hata nape aonekane ni mtu mwenye akili kubwa kwa kutuletea 'mdoli' Eunice
 
Nikija tu, nataka nikabidhiwe mabikira wangu 72. Sihitaji mpaka siku ya kifo. Nawataka wakati bado nipo hai.
Nenda kwenye hilo shindano wako kibao na kuzidi hao

Ila Mwambie Allah kuwa unawachukua in advance ili ukifa ukifika peponi usipewe tena ubaki kapela sababu mgao wako ulishapata hapahapa duniani

Takbiriiii
 
Mijitu yenye rangi nyeusi ni kama ina laana hivi, ulimwengu upo kwenye nyakati za 4th industrial rev. Sisi bado tunashindana kuhifadhi stori za kusadikika kichwani, hii inafanya hata nape aonekane ni mtu mwenye akili kubwa kwa kutuletea 'mdoli' Eunice
Mbona watu wakijazana Mkapa asubuhi mpaka jioni huku wakipiga kelele, wakilipa pesa, wakiacha familia yao kwa ajili ya X Day , huoni wajinga? unamuona mjinga yule anaenda kupata kheri, ukapimwe akili wewe jamaa
 
kila mtu na kipaumbele chake. kama wewe unashinda asubuhi kwa mkapa mpaka jioni kwa ajili ya Simba na Yanga wakati hata shilingi hupati, wanaopata wachezaji unajiona unaakili, kwangu wewe sawa sawa na Juha tu. bora yule anaebeba makopo barabarani
Hapa ndio naamni ujuha wako.
Kweli dini imefanikiwa kukuweka mateka.
 
Nenda kwenye hilo shindano wako kibao na kuzidi hao

Ila Mwambie Allah kuwa unawachukua in advance ili ukifa ukifika peponi usipewe tena ubaki kapela sababu mgao wako ulishapata hapahapa duniani

Takbiriiii
Wallah tena lazima niende kuchungulia ili nijionee mwenyewe kwa macho yangu neema za Allah.
 
Hapa ndio naamni ujuha wako.
Kweli dini imefanikiwa kukuweka mateka.
halafu uanjiona unaakili? ukiumwa na kidole tu unapiga kelele kucha. kweli wewe akili zako unaziweka mfukoni
 
Mbona watu wakijazana Mkapa asubuhi mpaka jioni huku wakipiga kelele, wakilipa pesa, wakiacha familia yao kwa ajili ya X Day , huoni wajinga? unamuona mjinga yule anaenda kupata kheri, ukapimwe akili wewe jamaa
Heri ipi wakati imani zenu zinakataza mwanamke kusimama mbele ya mwanaume
 
Dini yako wewe ukienda unapewa nini? Kwanza ujue wewe unapewa nini kabla hujauliza wenzio
Uzima wa milele tukiwa pamoja na malaika tukisifu na kumuabudu mwenye nguvu kuu,,,haja zote za kimwili hazitakuwepo,,,,itakua ni upendo ,furaha na amani kwenda mbele
 
Mbona watu wakijazana Mkapa asubuhi mpaka jioni huku wakipiga kelele, wakilipa pesa, wakiacha familia yao kwa ajili ya X Day , huoni wajinga? unamuona mjinga yule anaenda kupata kheri, ukapimwe akili wewe jamaa
Murder, theft, rape, bigamy, pedophoelia, violent conquest, genocide, torture, extortion, inciting violence, slavery, oppressing the rights of others (speech, religion, expression, thought, sexual choice etc.), lying (on a massive scale), manipulation, jealousy, adultery, the list goes on and on.
 
Mijitu yenye rangi nyeusi ni kama ina laana hivi, ulimwengu upo kwenye nyakati za 4th industrial rev. Sisi bado tunashindana kuhifadhi stori za kusadikika kichwani, hii inafanya hata nape aonekane ni mtu mwenye akili kubwa kwa kutuletea 'mdoli' Eunice
Inahuzunisha na kusikitisha wakati fulani. Wenzetu Wazungu walikipita hiki kipindi miaka mingi iliyopita! Enzi za Middle Ages! Na leo hii wako busy na Sayansi.
 
Mbona watu wakijazana Mkapa asubuhi mpaka jioni huku wakipiga kelele, wakilipa pesa, wakiacha familia yao kwa ajili ya X Day , huoni wajinga? unamuona mjinga yule anaenda kupata kheri, ukapimwe akili wewe jamaa
kuna kheri gani katika kukariri mambo ya kusadikika? Ni sawa sawa na kujivunia kukariri gazeti la nipashe, malaria yako inaonekana imepanda kichwani.
Unaweza ukanitajia daraja hata moja lililo wahi kujengwa kutokana na maarifa/uwezo wa kukariri quran au biblia?
 
kuna kheri gani katika kukariri mambo ya kusadikika? Ni sawa sawa na kujivunia kukariri gazeti la nipashe, malaria yako inaonekana imepanda kichwani.
Unaweza ukanitajia daraja hata moja lililo wahi kujengwa kutokana na maarifa/uwezo wa kukariri quran au biblia?
kama unashindwa kukariri biblia, umekasirika wanawake kuhifadhi Quran?
 
Screenshot_20240527-222507.png
 
Back
Top Bottom