Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Her Excellency President Samia Suluhu Hassan..."It takes two to play tangles"

Malengo bora ya kumlea mtoto wa kike yarandane pia na malezi bora kwa mtoto wa KIUME.

#Maadili kwanza [emoji7]
#Nchi Kwanza[emoji7]
 
Uliwaona Hao wanawake waliouliwa? Au umekuwa msemaji wa wanawake wa Afghanistan? mwenye akili ni yule aliyekamatwa na kijana akiwa uchi kule kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane huku chupi kaiweka begani
Inaonekana wewe ni kichwa maji bogus ambaye hata hujui yanayo endelea Afghanistan.

Hizo fikra zenu mmeshapumbazwa kutetea hekaya zenu zinazo halalisha Ujinga.
 
Namba Moja anatokea kwa wenye Akili Marekani
Namba Mbili anatokea kwa wenye Akili Algeria
Namba Tatu anatokea kwa wenye Akili Jordan
Namba Nne asiye na Akili anatokea Tanzania

Itifaki yake ingekuwa na Watu makini kamwe wasingemwandaa Yeye kwenda bali wangemtuma Waziri Mkuu tu.
 
Lakini ni Mashindano ya Kimataifa,kama wewe popoma umeshindwa na hao wageni usilaumu Rais na wapanga ratiba,jalaumu Kwa kukosa akili.
 
TBC1 jikiteni zaidi katika Kutuonyesha na Kutuibulia Watanzania matukio ya maana na siyo huu Upuuzi wa leo kwa Mkapa.
 
Abu Talha alifata nini kaburini?
Abu Talha aliingia kaburini ili amzike mtoto wa Mtume. Kwani ni taratibu ya uislam ikiwa marehemu anazikwa anatolewa kwenye jeneza na anaingizwa mwana ndani.

Turudi kwenye mada yetu! Umesema kuwa Mtume Muhammad amesema na kuyafanya haya!

“I (Muhammad) put on her my shirt that she may wear the clothes of heaven, and I SLEPT with her, in her coffin (grave) that I may lessen the pressure of the grave. She was the best of Allah’s creatures to me after Abu Talib”… The prophet was referring to Fatima, the mother of Ali."

Ninachohitaji kutoka kwako ni ushahidi ili nami niongeze elimu na kujifunza kupitia wewe!

Nipatie ushahidi tafadhali ili tuweke mambo sawa!
 
Upumbavu mtupu.kuhifadhi Ku ran ah kukariri kiarabu?
 
Key point ni tamaduni za jamii ile.
Haina uhusiano wowote na allegedly "Ahera"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…