Rais Samia akishiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar leo Oktoba 4, 2022

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Wakati anaendelea kupuyanga kwenye nchi za wenzake, asisahau bidhaa muhimu nchini kwake kama mchele, maharage, na unga wa mahindi, nk. Havikamatiki kwa sasa. Na hapa sijataja vifaa vya ujenzi na mafuta ya petrol, diesel, nk.

Nimeongea kwa nia njema kabisa. Maana wakiona vijana wake akina Lucas mwashambwa, watanuna.
 
Nimeona picha kwenye mtandao fulani ukimwoneeha Rais samia akihutubia kwenye mkutano wa ubunifu wa Afya huko Doha Qatar...

Saa ngapi rais wetu kaenda huko? Au alihutubu kwa video?

Kama kaenda huko mbona hatuambiwi?
 
Nimeona picha kwenye mtandao fulani ukimwoneeha Rais samia akihutubia kwenye mkutano wa ubunifu wa Afya huko Doha Qatar...

Alikwenda na waziri wa mahusiano ya kimataifa? Asije baadae kuanza kusema watu hawakufata taratibu!

Tunamuomba Rais apige picha na kila mtu anayemuona anafaa kupiga nae picha ili baadae asije kumalizia hasira kwa wengine!
 
Ukweli ni kwamba hata Ikulu yenyewe inaona aibu kutangaza ziara za nje za Rais kwa sababu zimezidi!

Hivi tunavyozungumza Samia yupo Qatar 🇶🇦 na haipo taarifa yeyote rasmi kutoka Ofisi ya Rais kuujuza Umma kuhusu safari ya nje ya Rais.

Nb: Inakuwaje Rais asafiri kisiri-siri kama siyo kuogopa aibu?!

Ieleweke, Samia wa juzi aliyekuwa U.K na Msumbiji ndiye Samia aliyepo Doha tokea jana.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…